Ni lini tutaheshimu kazi za wengine?

@HT
Napenda kujua kama kuna sofware ya tanzania au ya mtanzania au ya kampuni ya kitanzania imeshindwa kufankiiwa na sababu kuwa ikawa ni PIracy?
 
kwanini ulipe wakati kuna mitandao inaofa commercial apps for free. Wakitaka kuweza wafunge hiyo mitandao/watoe cracked software kwenye hizo websites but for the best waweke protection kali kwenye software ambayo itakuwa kazi kucrack.

Note: commercial softwares are always better than freeware.
 
everything kwangu natumia free hawa jamaa tayari washapata pesa ......nawanahuzia makampuni so kama wametumia teknolojia kutengeneza...............na sisis tutatumia teknolojia hiyohiyo ya kupirate......so waweke more sucurity kama mambo ya APPLE hapo hangalau wanaweza kila mtu anakula kwake;but wao wanakula bonge la dongo zaidi yetu sisi so DEVELOPERS bado wako juu
hapa nimefunga eset 5 linceses paid mpaka 2017 ;bure bila kwenda kwenye duka la wahindi kuwapa 30,000 ;;
****the technology ,is the 1 we use to pirate****:juggle:torents forever:juggle:
 
Apa akuna wasomi wote feki programing na mpaka kutengeneza software ikauzika duniani sio lele mama. Akuna udsm wala wapi,kila kitu mnadesa mpaka kwenye vitu vyenye kuitaji umakini.
nikiwa kama software developer huwa sifurahii kuiba kazi ya mtu. Watanzania huu ni ugonjwa sugu japo upo dunia yote. Hivi mtu ameajiri watu wakatengeneza kazi wanauza halafu we unachukua pirated? Kwa nini hatuheshimu kazi za watu? Mtu anatumia windows os ya wizi na ukiuliza ni blah blah nyingi. Kama huna pesa kwa nini usipakue os ambazo ni legally free? Au unaiba DW ili uonekane dev mkubwa, kwa nini usitumie free soft kama eclipse, NB et al?

Ni lini tutaanza kuheshimu software za watu? Kama unafanya hobby kwa nini usitumie foss na kama ni commercial kwa nini usiwalipe?
Tunahitaji kubadilika. No wonder waTz wengi hawatengenezi software kwa watu wa kawaida kwa kuwa wanajua wataibiwa. Tunajikosesha mengi. Fikiri Mtanzania akitengeneza office suite, itakuwa bei rahisi, lakini hawatenegenezi kwa kuwa wanaona wizi unaoendelea. Utapigaje kelele mafisadi mafisadi wakati os unayotumia umeipata kifisadi?
 
One of the greatest problem faced by our developers, is the notion you can lock yourself in your house and develop a software! This will never happen in a million years. Software development is a huge and very demanding venture. For instance a very small software might have involved more than 20 guys with more than 100,000 lines of code! You guys need to come together, this field has never been easy for a lone ranger. Then make sure you understand the minute details of software development. You can be very good in coding in either java,c++,C#,Delphi but that does not make you a good developer if you have no idea in Algorithm design and analysis! On top of this you must be familiar with the following six languages;

  • "Structured Programming": C, maybe Fortran if you're going to work with numerics
  • Generic Programming & OO: C++
  • Script Language: Python, Ruby or Perl; Matlab if you want numerics
  • Heavy Object Oriented with VM: C#, Java or Smalltalk
  • Functional Programming: Ocaml, Haskell, Scala
  • Machine Programming: i686 Assembly
  • Logic Declarative Programming: Prolog
  • Database Querying Language: SQL
For any aspiring developer out there, that should act like your bible and you will never get it wrong, you can get into any company if you so wish or become consultant after few years of experience. By the way no university will ever teach you all that especially hapa kwetu. Please please anyone using VB 5 or 6 migrate to the .NET we longer develop stand alone application in this era everything tend to lean towards the internet!
 
Zing,
developers wengi kama siyo wote wanaotaka kufanya miradi ya software wanafanya na institutions na sio persons at least to my knowledge. Ask them watakwambia nani atanunua? Akinunua mmoja wanakopi tu. Lakini makampuni yana mikataba mizuri

HT
do u mean developer

  • Wanaokimblia kufanya development za sofware fulani kama ya USA au developer waliofanya na sofware development process kwa makini huku wakizangatia Tanzania enviroment
  • Developer wanaotaka kuuza software kwa individual kama zing, paulss ,kiranga( eg game) au developer amabo market ya software wanayotaka kuuza mteja mkubwa anatakiwa kuwa Wizara XYZ( eg sofware ya bajeti) hospitali HHH.
Wakiuliza nani atanunua nitawajibu kuwa success ya sofware in Tanzania Inategema among other things na aina ya sofware anyotaka kutengeza , target key market/custmer ya sofware yake. Na ni Approch gani atatumi kuitengeza na kuiwasiisha kwa stakeholders


 
One of the greatest problem faced by our developers, is the notion you can lock yourself in your house and develop a software! This will never happen in a million years. Software development is a huge and very demanding venture. For instance a very small software might have involved more than 20 guys with more than 100,000 lines of code! You guys need to come together, this field has never been easy for a lone ranger. Then make sure you understand the minute details of software development. You can be very good in coding in either java,c++,C#,Delphi but that does not make you a good developer if you have no idea in Algorithm design and analysis! On top of this you must be familiar with the following six languages;
  • "Structured Programming": C, maybe Fortran if you're going to work with numerics
  • Generic Programming & OO: C++
  • Script Language: Python, Ruby or Perl; Matlab if you want numerics
  • Heavy Object Oriented with VM: C#, Java or Smalltalk
  • Functional Programming: Ocaml, Haskell, Scala
  • Machine Programming: i686 Assembly
  • Logic Declarative Programming: Prolog
  • Database Querying Language: SQL
For any aspiring developer out there, that should act like your bible and you will never get it wrong, you can get into any company if you so wish or become consultant after few years of experience. By the way no university will ever teach you all that especially hapa kwetu. Please please anyone using VB 5 or 6 migrate to the .NET we longer develop stand alone application in this era everything tend to lean towards the internet!


This is almost complete BS, a Web Developer has no reason to know C,C++, Prolog, Assembly etc, as long as he has enough knowledge in a web stack e.g PHP, MySQL and a little HTML and CSS, he knows more than enough to make a great website.

The same goes for any other kind of developer, someone who develops corporate applications in .Net has no professional reason to know any low level language.

The biggest BS is that you need to understand algorithms to be a good programmer, 90%+ of programming will never involve you writing your own algorithm, only a few specialized areas of programming will require any real knowledge of algorithms.
 
Hakuna market ya consumer software Tanzania, kwa sababu ya piracy na matatizo mengine.

Kama unataka kutengeneza software TZ basi lenga biashara, hakikisha software yako ni custom enough kwamba haiibiki (Software kwa ajili ya kampuni A, haiwezi kutumika na kampuni B) au weka software yako kwenye web "Cloud" based, hauwezi kuiba software ya cloud, mwenye access ni yule tu anayelipa.

Pia web based software hazina mipaka kama traditional software, hakuna sababu ya muhimu kulilenga soko la Tanzania peke yake, same for traditional software unaweza kufanya distribution kupitia net, ila hili ni gumu zaidi.

Pia kuna mobile Apps lakini biashara hii ni ngumu kuliko watu wanavyofikiri, na story za developers waliobahatika kupata millions zinapoteza picha halisi.

Pia unaweza ukawa Freelancer, angalia website kama ODesk.com ambapo watu wanaoutsource kazi zao to freelance developers/designers etc.
 
Hakuna market ya consumer software Tanzania, kwa sababu ya piracy na matatizo mengine.

Piracy sio sio tatizo kiasi hicho Inabidi tufike sehemu kwanza tutambue matatizo yetu binafsi kabla ya kulaumu yale ya nje. Kitu pekee cha usingizia nachoweza kukubali kama alivyosema mdau mmoja ni tatiz ni serikali na taasisi zetu kutokuw ana sera ya kutambua kuziinua software za ndani.

Toeni mfano wa software iliyoshdwa Tanzania sababu ya piracy au develepr ameshindwa kuiweka hewani sababu kuna piracy.

Tufike hatua kwanza tukubali kuwa na sisi weneywe tuna udhaifu kama vile

  • hatuna creative ideas
  • Competetion of already available sofware.
  • Hatuna ushirikiano na
  • hatufuati Software devopment process
Piracy is the last thing u can blame in Tanzania Unless we are talking about entertaimnet sofware na games sofware.
 
Piracy sio sio tatizo kiasi hicho Inabidi tufike sehemu kwanza tutambue matatizo yetu binafsi kabla ya kulaumu yale ya nje. Kitu pekee cha usingizia nachoweza kukubali kama alivyosema mdau mmoja ni tatiz ni serikali na taasisi zetu kutokuw ana sera ya kutabua kuziunia software za ndani.

Toeni mfano wa software ilishdwa Tanzania sababu ya piracy au develepr ameshindwa kuiweka hewani sababu kuna piracy.

Tufike hatua kwanza tukubali kuwa na sisi weneywe tuna udhaifu kama vile
  • hatuna creative ideas
  • Competetion of already available sofware.
  • Hatuna ushirikiano na
  • hatufuati Software devopment process
Piracy is the last thing u can blame in Tanzania Unless we are talking about entertaimnet sofware na games sofware.

Sio sawa kusema turelease software kisha ndo uwe ushahidi kuwa kuna piracy, lazima tuiangalie market kabla ya kutumia resources bure, angalia around you asilimia ngapi ya watumiaji wa software wamezipata kihalali? Angalia humu JF ni kuomba keys na cracks tu.
 
Kwa hiyo kumbe tatizo ni marketing sio piracy Au marekting ndio inashindiana sababu ya piracy? Piracy Ni sabbau ndogo tena kwa sofware isyo na jina piracy inaweza kutumika kama tool ya marketting mwanzoni.

Kuhusu arround me ndio kama walivysoema jamaa tatizo kama deveoper unatangeneza software ya games an entertertaiment amabye customer ni individual na mtu moja mmoja hesabu maumivu.......
Laini kama ni enterprise software ya kutumika kwenye wizara, mikoa, idata na taaasisisi na makampuni Piracy is the last thing to fear.

Na ukisema key za crack zinazoombwa humu JF ina maana kuna mtanzania anataka kutengeza
  • antivirus software-
  • OS software-
  • Ms office -
So huyu mtanzania anashindwa akutengeza software hizo sababu tu eti ya crack na piracy. Piracy is not a problem bana tuache kudanganyana. Problem ni developer wenyewe kutouwa na strategy sahii na serikali

Na deveoper wa Tanzania akitengeza yeye software hata kama hakuna piracy
  • ataiuza kiasi gani ili ishindane na ( MS security essetial ,Open Office za bure au Ms office na karpesky zinazouzwa) na ifanikiwe
 
Kwa hiyo kumbe tatizo ni marketing sio piracy Au marekting ndio inashindiana sababu ya piracy? Piracy Ni sabbau ndogo tena kwa sofware isyo na jina piracy inaweza kutumika kama tool ya marketting mwanzoni.

Kuhusu arround me ndio kama walivysoema jamaa tatizo kama deveoper unatangeneza software ya games an entertertaiment amabye customer ni individual na mtu moja mmoja hesabu maumivu.......
Laini kama ni enterprise software ya kutumika kwenye wizara, mikoa, idata na taaasisisi na makampuni Piracy is the last thing to fear.

Na ukisema key za crack zinazoombwa humu JF ina maana kuna mtanzania anataka kutengeza
  • antivirus software-
  • OS software-
  • Ms office -
So huyu mtanzania anashindwa akutengeza software hizo sababu tu eti ya crack na piracy. Piracy is not a problem bana tuache kudanganyana. Problem ni developer wenyewe kutouwa na strategy sahii na serikali

Na deveoper wa Tanzania akitengeza yeye software hata kama hakuna piracy
  • ataiuza kiasi gani ili ishindane na ( MS security essetial ,Open Office za bure au Ms office na karpesky zinazouzwa) na ifanikiwe
NDo maana nikasema hakuna market ya consumer, ya corporate ni tofauti sana ila hapo unakuwa unagongana moja kwa moja na makampuni makubwa ya Software, ambayo ni challenge kubwa nayo.
 
Apa akuna wasomi wote feki programing na mpaka kutengeneza software ikauzika duniani sio lele mama. Akuna udsm wala wapi,kila kitu mnadesa mpaka kwenye vitu vyenye kuitaji umakini.
wewe bado kijana mdogo katika fani hii. Majibu yako yanaonesha hivyo.
 
HT
do u mean developer

  • Wanaokimblia kufanya development za sofware fulani kama ya USA au developer waliofanya na sofware development process kwa makini huku wakizangatia Tanzania enviroment
  • Developer wanaotaka kuuza software kwa individual kama zing, paulss ,kiranga( eg game) au developer amabo market ya software wanayotaka kuuza mteja mkubwa anatakiwa kuwa Wizara XYZ( eg sofware ya bajeti) hospitali HHH.
Wakiuliza nani atanunua nitawajibu kuwa success ya sofware in Tanzania Inategema among other things na aina ya sofware anyotaka kutengeza , target key market/custmer ya sofware yake. Na ni Approch gani atatumi kuitengeza na kuiwasiisha kwa stakeholders


zing,
sijaelewa point zako hapo juu naomba ufafafanue tena. Ila tu ninaongelea soko la software la retail la mtu mmoja mmoja na sio kuuzia makampuni. Hapa ndipo wengi wanakimbia
 
This is almost complete BS, a Web Developer has no reason to know C,C++, Prolog, Assembly etc, as long as he has enough knowledge in a web stack e.g PHP, MySQL and a little HTML and CSS, he knows more than enough to make a great website.

The same goes for any other kind of developer, someone who develops corporate applications in .Net has no professional reason to know any low level language.

The biggest BS is that you need to understand algorithms to be a good programmer, 90%+ of programming will never involve you writing your own algorithm, only a few specialized areas of programming will require any real knowledge of algorithms.
algo ni kama unaandika library ambazo zitatumia algo kama crypto++ au mysql server. Btw, well written. +1 for your post
 
Piracy sio sio tatizo kiasi hicho Inabidi tufike sehemu kwanza tutambue matatizo yetu binafsi kabla ya kulaumu yale ya nje. Kitu pekee cha usingizia nachoweza kukubali kama alivyosema mdau mmoja ni tatiz ni serikali na taasisi zetu kutokuw ana sera ya kutabua kuziunia software za ndani.

Toeni mfano wa software ilishdwa Tanzania sababu ya piracy au develepr ameshindwa kuiweka hewani sababu kuna piracy.

Tufike hatua kwanza tukubali kuwa na sisi weneywe tuna udhaifu kama vile

  • hatuna creative ideas
  • Competetion of already available sofware.
  • Hatuna ushirikiano na
  • hatufuati Software devopment process
Piracy is the last thing u can blame in Tanzania Unless we are talking about entertaimnet sofware na games sofware.
ni tatizo kwa kuwa kama unategemea watu wanunue ndipo upate pesa na akinunua mmoja anawanakilia rafiki zake mia na kuiweka ktk p2p network then untumia resources nyingi faida kidogo. Hii ni tofauti sana na kampuni ambazo internally zina jinsi ya ku comply na supplier agreement
 
Sio sawa kusema turelease software kisha ndo uwe ushahidi kuwa kuna piracy, lazima tuiangalie market kabla ya kutumia resources bure, angalia around you asilimia ngapi ya watumiaji wa software wamezipata kihalali? Angalia humu JF ni kuomba keys na cracks tu.
again well said! +1
 
Back
Top Bottom