Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Kwanini nguvu kubwa sana inatumika kumpinga? I mean kama suala ni huo unaoitwa udiktekta au sijui nguvu ya Polisi dhidi ya Upinzani hakuna jipya Nyerere alifanya, Mwinyi alifanya, Mkapa hadi alituma askari kuua Waislamu Misikitini Mwembechai na Pemba
Kikwete alifanya akina Slaa walipigwa mabomu Arusha, yule Kiongozi wa mgomo wa madaktari alipigwa karibia kufa, mwingine mwandishi wa habari alipigwa risasi na Polisi Iringa lkn sijuwahi kusikia nguvu kubwa hivi ikitumika nje na ndani, hivyo ni aidha Rais Magufuli anapatia au anakosea na hakuna katikati
Sasa ukiangalia SGR karibia inaisha, umeme wa uhakika stiegler, miundombinu, maji ya kunywa safi na salama, hivyo hawezi kukosea, wanaompinga ni house niggers ambao wananufaika na umaskini wa Mtanzania na kutaka abakie hivyo ili
waendelee kumtawala.
Mbowe alipenda aendelee kukaa bure kwenye nyumba zetu za nhc, Kitila alipenda aendelee kuiba, Rugemalira alipenda aendeleze wizi Zito alipenda aendelee kuiba na rushwa nssf, acacia walipenda waendelee kutuibia na kutokulipa kodi kutumia house negros akina Mwanyika, walanguzi wa korosho waliokuwa wanawaibia Wakulima siku zote lzm wachukie, F.Karume na immma walikuwa mabilionea kwa kuishauri Serikali halafu kuigeuka kuishitaki leo hii hana kazi ndo maana kakimbilia instagram sijui eti shangazi wa Taifa n.k., ...
Kikwete alifanya akina Slaa walipigwa mabomu Arusha, yule Kiongozi wa mgomo wa madaktari alipigwa karibia kufa, mwingine mwandishi wa habari alipigwa risasi na Polisi Iringa lkn sijuwahi kusikia nguvu kubwa hivi ikitumika nje na ndani, hivyo ni aidha Rais Magufuli anapatia au anakosea na hakuna katikati
Sasa ukiangalia SGR karibia inaisha, umeme wa uhakika stiegler, miundombinu, maji ya kunywa safi na salama, hivyo hawezi kukosea, wanaompinga ni house niggers ambao wananufaika na umaskini wa Mtanzania na kutaka abakie hivyo ili
waendelee kumtawala.
Mbowe alipenda aendelee kukaa bure kwenye nyumba zetu za nhc, Kitila alipenda aendelee kuiba, Rugemalira alipenda aendeleze wizi Zito alipenda aendelee kuiba na rushwa nssf, acacia walipenda waendelee kutuibia na kutokulipa kodi kutumia house negros akina Mwanyika, walanguzi wa korosho waliokuwa wanawaibia Wakulima siku zote lzm wachukie, F.Karume na immma walikuwa mabilionea kwa kuishauri Serikali halafu kuigeuka kuishitaki leo hii hana kazi ndo maana kakimbilia instagram sijui eti shangazi wa Taifa n.k., ...