Ni kweli?

Ni kweli?

Joined
Jul 19, 2015
Posts
7
Reaction score
1
Hivi ni kweli kwamba baadhi ya wasichana siku hizi huwa wasafi wanapotafuta wanaume, wakipata tu ni shida utajuta kumjua.

NI KWELI?
 
Hiyo ni asili yake mchafu ila akitoka anapendeza unaona mtu amaizing kumbe hata shuka analolalia lina tomato!
 
Wengi wanapenda kupendeza lakini usafi usafi huo unawashinda. Mbele ya watu safi nenda anapoishi...utaogopa..
 
Anakuwa msafi kwenye viwalo papuchi inatema na hapo bado hujaingia room kwake na kamwe usitake kuijua harufu iliyopo ndani ya wigi
Ndo dada zetu lakini!!
 
Wengi wanapenda kupendeza lakini usafi usafi huo unawashinda. Mbele ya watu safi nenda anapoishi...utaogopa..

dah!..ndo maana unaweza kuwa na demu kila ukimwambia nataka nije kwako utasikia "nipo kwa rafiki yangu"kumbe anaogopa tu kwake pachafu.
 
Back
Top Bottom