ni kweli wanaume wenye asili ya tanga wabahiliiiii? hawajui kutunza wapenzi wao,

mi nilimpataga huyo wa tanga,jamani sijawahi hata kuona senti tano yake,ila wanajua sana mapenzi na kulaghai,wazuri wa mahaba,kwahiyo vijisenti vyangu vyote nilikuwa namuhonga yeye,maana nilipozinduka ilikuwa too late:faint2:,nimeshaibiwa sana tu.:disapointed:
hawa watu bwana ni BIG NO:nono::nono:
 
mi nilimpataga huyo wa tanga,jamani sijawahi hata kuona senti tano yake,ila wanajua sana mapenzi na kulaghai,wazuri wa mahaba,kwahiyo vijisenti vyangu vyote nilikuwa namuhonga yeye,maana nilipozinduka ilikuwa too late:faint2:,nimeshaibiwa sana tu.:disapointed:
hawa watu bwana ni BIG NO:nono::nono:
Aisee pole ndugu, hii mianaume ya pande hizo sijui why.....kweli BIG NO to them, inaboaa, hata ukiifundisha nasikia haibadiliki
 
GFM, hii topic haiishi mpaka na wewe useme ukweli, au we mtanga pia nn, hahaaa
Hahah ningekuwa mtanga nngekwambia hahah, mie nyanda za juu kaskazini, kimo karibia mita 2 hahah
 
mi nilimpataga huyo wa tanga,jamani sijawahi hata kuona senti tano yake,ila wanajua sana mapenzi na kulaghai,wazuri wa mahaba,kwahiyo vijisenti vyangu vyote nilikuwa namuhonga yeye,maana nilipozinduka ilikuwa too late:faint2:,nimeshaibiwa sana tu.:disapointed:
hawa watu bwana ni BIG NO:nono::nono:
hahah kalubandika..........hahah, lakini kuna mbaya gani kama una uwezo na mnapendana. Si
unaprovide tu, Mbona sie akina kaka tunawapa na hatusemi mnatuibia, na majina mtatupa sijui ATM du
 
Hushangai ukimtuma mwanaume wa kitanga anunue mahitaji ya nyumbani anakuja na nyanya 2, vitunguu 2, tunda moja au mawili, mafuta ya chakula yakupima kama ya jero hivi , loh nisitaje sana, kitoweo ndo kabsaaaa, mwanaume kama huyo nitampeleka wapi mie, halafu anapenda kula vizuri na sana tu, hivi hiyo ni akili kweli alafu ni msomi na anamshahara usopungua laki 6 kwa mwezi....sio ubahili ni nini! Kweli tanga kunani.....
shemeji detty huyu ulienae hulka yake tu ya ubahili siye watanga twajua penda na kutunza pia na usiombe ukimkuta na mijihela ndo utafaidi kweli.
 
Hushangai ukimtuma mwanaume wa kitanga anunue mahitaji ya nyumbani anakuja na nyanya 2, vitunguu 2, tunda moja au mawili, mafuta ya chakula yakupima kama ya jero hivi , loh nisitaje sana, kitoweo ndo kabsaaaa, mwanaume kama huyo nitampeleka wapi mie, halafu anapenda kula vizuri na sana tu, hivi hiyo ni akili kweli alafu ni msomi na anamshahara usopungua laki 6 kwa mwezi....sio ubahili ni nini! Kweli tanga kunani.....
shemeji detty huyu ulienae hulka yake tu ya ubahili siye watanga twajua penda na kutunza pia na usiombe ukimkuta na mijihela ndo utafaidi kweli.
 
mi nilimpataga huyo wa tanga,jamani sijawahi hata kuona senti tano yake,ila wanajua sana mapenzi na kulaghai,wazuri wa mahaba,kwahiyo vijisenti vyangu vyote nilikuwa namuhonga yeye,maana nilipozinduka ilikuwa too late:faint2:,nimeshaibiwa sana tu.:disapointed:
hawa watu bwana ni BIG NO:nono::nono:
Pole sana!
 
Mamushka umenichekesha...hawajui kutafuta ela kumbe.....sa wanategemea nn??

Hahaaaa kweli hawajui maranyingi huridhika na vitu vidogo na huwezi mkuta nitajiri wachache sana, wanawivu sana but sio wivu wamaendeleo. Ukiwa nae hamtaendelea anaweza hata kukuloga.
 
shemeji detty huyu ulienae hulka yake tu ya ubahili siye watanga twajua penda na kutunza pia na usiombe ukimkuta na mijihela ndo utafaidi kweli.

Hahaaaa mbona tanga kunani? Mh hao hawawezekani naskia wanaitwa milango saba maendeleo kwao ni no.
 
hahahaha, acha hiyoo wewe umewahi kusiki watu wanaitwa "skafunje"?
ngoja warembo wenzako waliopambana na wanaumbe wa kipande hiyo
wakueleze lol

Eti wanaume wa tanga mradi wakishapata malavidavi na kula vizuri baaaas! Hawajui kingine, wabahili, wanapenda kutafuta wamama wenye ela zao ili. Kukwepa majukumu au wasichana wenye kazi ili wasicare , wanakera hao, waige mfano wa wanaume wa kichaga bwana, atabalance mambo yake ili apate. Maendeleo na mpenz wake ahudumiwe vizuri, loh....wadau semeni ukweli wa mnalojua
 
kinadada tunapenda kuhongwa ndio maana hatuheshimiki!!!

apana.
si kuhongwa bt at least mwanaume inabd awe na dalili na ajitoe katika kubeba renponsblty
mwanaume afunui walet lake kila kitu ufunue kipoch chako yahuu??ahh akafe mbele uko
 
hahah kalubandika..........hahah, lakini kuna mbaya gani kama una uwezo na mnapendana. Si
unaprovide tu, Mbona sie akina kaka tunawapa na hatusemi mnatuibia, na majina mtatupa sijui ATM du

cz moja ya UANAUME wako ni katika kuprovaid kwa dada...thast y hamtakiwi kufili vbaya km u mwanaume kweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom