22nd
JF-Expert Member
- Aug 1, 2010
- 495
- 137
mi nilimpataga huyo wa tanga,jamani sijawahi hata kuona senti tano yake,ila wanajua sana mapenzi na kulaghai,wazuri wa mahaba,kwahiyo vijisenti vyangu vyote nilikuwa namuhonga yeye,maana nilipozinduka ilikuwa too late:faint2:,nimeshaibiwa sana tu.:disapointed:
hawa watu bwana ni BIG NO:nono::nono:
hawa watu bwana ni BIG NO:nono::nono: