Ni kweli USA supremacy ina collapse?

Leo US imetangaza kuuza silaha za hatari za kwa jeshi la majini la Taiwan. Kuna kitu US anajaribu kumchokonoa China, kuna namna US anamtafuta China aingie anga zake ila mchina ni kama ameshausoma mchezo.
 
Leo US imetangaza kuuza silaha za hatari za kwa jeshi la majini la Taiwan. Kuna kitu US anajaribu kumchokonoa China, kuna namna US anamtafuta China aingie anga zake ila mchina ni kama ameshausoma mchezo.
Naona US wanatumia kila namna kufanya uchokozi...lakini nafikiri kitendo cha China kuendelea kukaa kimya kinaweza sababisha yeye kuipoteza Taiwan....au mkuu mtizamo wako no upi?
 
Leo US imetangaza kuuza silaha za hatari za kwa jeshi la majini la Taiwan. Kuna kitu US anajaribu kumchokonoa China, kuna namna US anamtafuta China aingie anga zake ila mchina ni kama ameshausoma mchezo.
Yaani mkuu hili battle la China na U.S.A Lina furahisha balaa kwa watu wanao lifuatilia China anatafutwa kadri U.S.A inavyo weza Ila China ana mkwepa U.S.A Ila huu mtafuto wa U.S.A kwa China 🙌 akichomoka China hapa hakika atakuwa amemuweza U.S.A Ila huu mtafuto Kuna hati hati anaweza akajaa kwenye 18 za mtu mzima U.S.A wacha mimi niendelee kufuatilia hili battle la U.S.A na China la Ukraine na Russia nawaachia wengine maana Nina mengi sana ya kujifunza kupitia huu mchuano wa China na U.S.A namna hizi nchi giant zinavyo endeshwa na wataalamu.
 
Naona US wanatumia kila namna kufanya uchokozi...lakini nafikiri kitendo cha China kuendelea kukaa kimya kinaweza sababisha yeye kuipoteza Taiwan....au mkuu mtizamo wako no upi?
Hapa mchina mkuu ana tafutwa balaa kuitangaza na kuitambua Taiwan kama nchi huru hili litakuwa bomu la mwisho la mtu mzima U.S.A
 
Hawa wote ni wamoja hawana uadui wowote. Wanatuchezea tu akili.
 

Attachments

  • 527a684deab8eabd4d9ab764.jpeg.10fdcfde5b4165dbd9df2eb35b348e4b.jpeg.jpg
    72.1 KB · Views: 12
Siyo shabiki wa HIMARS hata wewe hapa unapost kwa hisani ya USA. Tuache ushabiki wale wapo mbali. They control everything you see and and everything you hear!
Sio kweli,wanachoweza zaidi ni fitna na unyojaji Kwa wengine,angalia wanavyo nyanyaswa na mrusi,kwani ameshaeajulia wao ni fitna unyonyaji na Hila ndio wanacho mudu zaidi🚶
 
Nilitaka kuelezea kwa mapana lakin kwakua watu wanachukulia Mambo kawaida, nipende kusema kuwa kwa wale wanaoliangalia taifa la marekani kwa jicho la tatu.

Wanajua what is going on katika dunia yetu hii, kwa ufupi nipende kusema ijapokua ukweli mchungu napia unauma. nikwamba kuanguka kwa taifa la marekani cjui kinguvu na kiushawishi dunia hilo halitakaa litokee .

Sababu tatizo sio taifa la marekani bali wanaorun taifa la marekani hao ndio tatizo, nakwakua ni ngumu kuwakwepa sababu wapo kila sehemu katika dunia yetu hii. Hivyo atakayeweza kuwadhibiti hawa watu ndie atakayeweza kuliangusha taifa la marekani, si mwingine bali ni Mwenyezi Mungu pekee mwenye uwezo huo. Be aware people's there is GOD a bove and the devil below.
 
Hao watu ndio watakaoiangusha hiyo USA mipango Yao ikitimia. Nadhani umeona hiyo Picha hapo juu bush putin na Rais WA China wakiwa kwa lodges za FM. They are not enemies like pipo think. But wote wana kiongozi mmoja ambaye Nia yake ni New world order. Na haiweiz kuwa mpk aondoe Old order ambayo ndio hii Sasa ambayo USA ni kama Kiranja WA Dunia. Aka bwana demokrasia hiyo New Wolrd order haitakuwa na mambo ya demokrasia. So lazima USA na China waingie vitani wapasuke Ile mbaya Dunia iwe apeche alolo... And since wote bwana wao ni mmoja so it's easy ni kama KUPIGANISHA mbwa wako wawili unaowamiliki.
 
Marekani hakuwa na ushawishi wowote,Ila alikuwa anaogopwa kwa sababu ya propaganda zake.Lakini vita ya Ukraine imemvua nguo.Si unaona SADC juzi walivyomdindia!.
sbr muda utaongea , USA sio mchina , muuliz mwenzio Rais wa Afghanstan alidinda watu wakamuachia Tailban akakimbia nchi , kuna kitu USA anakipika dhidi ya Afrika
 
Naona US wanatumia kila namna kufanya uchokozi...lakini nafikiri kitendo cha China kuendelea kukaa kimya kinaweza sababisha yeye kuipoteza Taiwan....au mkuu mtizamo wako no upi?
Ofkoz China anaweza ipoteza Taiwan sababu kwa sasa Taiwan inaonesha kujiimarisha zaidi kisiasa na kijeshi.
 
Nasemaga kila siku humu, CIA ni chombo hatari saaaana.
 
vitbu vyenu ni USAIDS , pia madawa hata fedha za kujazia bajeti zenu , dinda wakuoneshe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…