Ni kweli ubani ni chakula cha majini?

kibaravumba

JF-Expert Member
Dec 21, 2012
6,635
7,005
Nimekuwa nikisikia hii kitu ni chakula cha majini na hivi sasa nashuhudia TBC1 Askofu wa kanisa katoliki Olasiti AR anafukiza ubani kibao kuweka wakfu altare na sasa wanataka kuwasha mishumaa.Nini ukweli wa hii kitu maana naamini watu wengi hawapendi kabisa matumizi ya hii kitu kwa hofu ya. Kuwa ni kuita majini au mapepo wabaya

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Majini ni viumbe hawana mwili kama mimi na ww. Hawali chakula cha aina yeyote, ubani,udi manukato,damu wanatumia arufu tu
 
Imani za kijinga tu. Stone age.

Wanatumia huo ubani ni watu wenye akili pengine kuliko wewe maana sote tunajua ili uwe father hadi askofu lazima upitie seminary na hadi leo kama si kesho hizi ndo shule zimekuwa zikifanya vizuri zaidi kuliko shule nyingine.Sasa hoja yako inakuwa haina mashiko maana wenye imani hiyo si wajinga wa level hiyo unayotaka kutwambia

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Imani za kijinga tu. Stone age.
Refer zile zawadi alizopewa Yesu Kristu na wale mamajusi, ambazo zilikuwa ubani, dhahabu na manemane (Math 2:11) tafuta maana ya kila zawadi, halafu urudi hapo jamvini kuleta mrejesho.
 
Catholic = universal. Choma ubani ita viumbe wasioonekana nao waje kusali pamoja na sie tunaoonekana. Dini nzuri ni ile isiyobagua, ni dini ya wote, karibuni catholic church. Njoo sali chapa lapa hakuna atakayekuuliza.
 
Refer zile zawadi alizopewa Yesu Kristu na wale mamajusi, ambazo zilikuwa ubani, dhahabu na manemane (Math 2:11) tafuta maana ya kila zawadi, halafu urudi hapo jamvini kuleta mrejesho.

Ukisoma King James version Mamajusi ni "Magician"sasa kama ni wachawi huoni walikuwa wanasalimisha zana zao?

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Ukisoma King James version Mamajusi ni "Magician"sasa kama ni wachawi huoni walikuwa wanasalimisha zana zao?

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Watu wa design yako ndo mnaambiwa msalimishe vito vya dhahabu vyote kwa mchungaji kwa kudanganywa kuwa mnasalimisha dhana za 'magician'. Tafsiri ya ushirikiano wa makanisa ya vyama vya biblia Kenya na Tanzania ina waita mamajusi kuwa ni 'wataalamu wa nyota'.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom