Mwita Matteo
JF-Expert Member
- May 16, 2010
- 216
- 55
Lakini hawa ndugu zetu waislamu wa Tanzania ni wanafiki kwa vigevyo vifuatavyo...kwanza kule Somalia nchi nzima ni ya kiislamu, kwahiyo ni waislamu wenyewe kwa wenyewe wanauwana kinacho nisikitisha na kunishangaza hatujawahiu kuwasikia waislamu wa tanzania wakiitisha maandamano ya kulaani kitendo cha waslamu kuuwana wenyewe kwa wenyewe kule somalia. Pili, kule Darfu ambapo Jajaweed ambao ni waislamu walipo kuwa wanawauwa waafrika wenzetu weusi hatukusikia Mwislamu ikilaani vitu hivyo. sisi kinachopolekea wao kuandamana ni kufikiria kuwa Gaddafi akitoka watakosa misaada wanayopata kama vile kujengewa miskiti au???