Ni kweli Sumbawanga kuna uchawi?

Ni kweli Sumbawanga kuna uchawi?

Mkuu kabla haujaondoka,tembela mitaa ya mazwi,bangwe,izia katandala na chanji.Usisahau kwenda kuiona shule kongwe kantalamba high school,shule yangu ya miaka hiyo iliyopita! Nimepamis sana sumbawanga,nimemis sana totoz za kifipa!!
 
Nimeskia hizo story kwamba kuna watu walikuja na ushababi wakarudi kwenye majeneza..
Hiyo ni kweli kabisa mimi jamaaa zangu watatu wametangulia mbele ya Haki.Kama utani vile Jitahidi kujiheshimu na usiwadharau,usigombanenao Tafadhali.
 
Huko vituko vya kichawi, vipi sana, ni katikati ya mwaka jana tu, afisa mtendaji, alilala ndani kwake, asbuhi, akajikuta amelala nje ya nyumba yeye na familia yake.
Mbaya zaidi, wote wamelala uchi wa mnyama.
Uchawi sio kama majani polini, eti ukienda tu huko, basi uone wazi wazi, vitendo vya kichawi, kwanza wachawi, katika mazingira ya kawaida, ni watu wema huwezi dhani. Ila ndugu yangu hata ukisikia samaki baharini, sio ukienda tu baharini, basi utawaona wanaogelea tu, la hasha, ila ni kweli samaki wapo baharini na ndipo makazi yao.
 
Kila sehemu kuna wachawi,ukiingia kichwa kichwa maeneo ya watu na kujifanya mjuaji
 
Kuna jamaa niliwah soma nae alkua anaishi uko akanambia mtaan kwao kulikua na mzee anafuga radi4 yaan bibi na bwana, bibi na bwana cjui nikwel
 
Sumbawanga mpaka Kuna vijiji vya wachawi tupu.

Hapo kila raia ni mchawi na gari hazishushi kati kati ya Kijiji.

Kule mto wisa ndio hakufai.

Nadhani upo Sumbawanga mjini, tuambie Hali ikifika usiku?

Wafipa huwa hawakuanzi mpaka uwachokoze, jaribu mmoja

Tahadhari: Usikatae mimba huko ya Binti wa kifipa kama kweli ni ya kwako maana wanakuhamishia.
 
Sumbawanga mpaka Kuna vijiji vya wachawi tupu.

Hapo kila raia ni mchawi na gari hazishushi kati kati ya Kijiji.

Kule mto wisa ndio hakufai.

Nadhani upo Sumbawanga mjini, tuambie Hali ikifika usiku?

Wafipa huwa hawakuanzi mpaka uwachokoze, jaribu mmoja

Tahadhari: Usikatae mimba huko ya Binti wa kifipa kama kweli ni ya kwako maana wanakuhamishia.
Acha umbumbumbu Kila Kona ya nchi hii Kunanuka uchawi.
 
I miss swax, nimekaa Swax kwa miaka 10 toka 1993 , niliishi majengo, nilisoma shule ya msingi katandala B. Uchawi upo tena wa hataree .Niliwahi kuishi pia kizwite . Nimemkumbuka yule mgonjwa wa akili miaka hiyo ya tisini aliitwa wadudu. Nakumbuka tulikuwa tunaenda kuangalia movies baa ya kataushanga . Dah Swax, wapi mchungaji kinyanjui...One day I will go back there just as a tour
 
Sumbawanga mpaka Kuna vijiji vya wachawi tupu.

Hapo kila raia ni mchawi na gari hazishushi kati kati ya Kijiji.

Kule mto wisa ndio hakufai.

Nadhani upo Sumbawanga mjini, tuambie Hali ikifika usiku?

Wafipa huwa hawakuanzi mpaka uwachokoze, jaribu mmoja

Tahadhari: Usikatae mimba huko ya Binti wa kifipa kama kweli ni ya kwako maana wanakuhamishia.
Stori za kusadikika hizi
 
I miss swax, nimekaa Swax kwa miaka 10 toka 1993 , niliishi majengo, nilisoma shule ya msingi katandala B. Uchawi upo tena wa hataree .Niliwahi kuishi pia kizwite . Nimemkumbuka yule mgonjwa wa akili miaka hiyo ya tisini aliitwa wadudu. Nakumbuka tulikuwa tunaenda kuangalia movies baa ya kataushanga . Dah Swax, wapi mchungaji kinyanjui...One day I will go back there just as a tour
Karibu Swax.

Hapo ulipo hivi sasa hakuna uchawi???
 
Back
Top Bottom