Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,099
- 12,926
Nimezaliwa nimekulia huko na naishi huku sioni hayo anayoongelea huyu jamaa..Si uende ukajionee
Nimezaliwa nimekulia huko na naishi huku sioni hayo anayoongelea huyu jamaa..Si uende ukajionee
Yapo maeneo yameyazidi maeneo mengine mkuu.Acha umbumbumbu Kila Kona ya nchi hii Kunanuka uchawi.
Nimezaliwa nimekulia huko na naishi huku sioni hayo anayoongelea huyu jamaa..
Weee! hujaingia kwenye 18 zao..Ni kama vile zile story za tanga ukikuta kifuu usikipige teke kitakwambia umenipigia nini au uchume embe likwambie nirudishe uliko nitoa nilikua naogopa kuja kwa kweli lakini toka nimefika haya mambo sjayaona