Safari za Rais Samia Suluhu zimekua zikileta matokeo chanya kila siku lakini hii safari ya China imekua babkubwa imeleta Fursa nyingi kwa watanzania zitakazoinua uchumi wa nchi na wananchi Fursa hizo ni za kibiashara kama vile;
1. Kufungua kwa soko kubwa la usafirishaji wa maparachichi kutoka Tanzania kwenda China.
2. Soko la usafirishaji wa mabondo ya samaki pamoja na bidhaa nyingine za uvuvi kutoka Tanzania kwenda china.
Ukiachana na Fursa hizo za kibiashara, China imeipunguzia Tanzania sehemu ya deni lake la thamani ya Tsh Bilioni 31.4.
Lakini pia Tanzania imepata msaada wa RMB milioni 100 za ushilikiano wa kiuchumi na kitaaluma baina ya nchi hizi mbili.
Vilele China imetoa mkopo wa dola za kimarekani milioni 56.72 kuendeleza ujenzi wa ndege wa zanzibar Terminal II.
Rais Samia Suluhu ni mwanadiplomasia namba moja Toka Tanzania ipate uhuru
1. Kufungua kwa soko kubwa la usafirishaji wa maparachichi kutoka Tanzania kwenda China.
2. Soko la usafirishaji wa mabondo ya samaki pamoja na bidhaa nyingine za uvuvi kutoka Tanzania kwenda china.
Ukiachana na Fursa hizo za kibiashara, China imeipunguzia Tanzania sehemu ya deni lake la thamani ya Tsh Bilioni 31.4.
Lakini pia Tanzania imepata msaada wa RMB milioni 100 za ushilikiano wa kiuchumi na kitaaluma baina ya nchi hizi mbili.
Vilele China imetoa mkopo wa dola za kimarekani milioni 56.72 kuendeleza ujenzi wa ndege wa zanzibar Terminal II.
Rais Samia Suluhu ni mwanadiplomasia namba moja Toka Tanzania ipate uhuru