Mdakuzi
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 4,293
- 6,897
Muhongo amaziba mianya ya wizi ya wafanyabishara wasiokuwa na uzalendo ndiyo maana kutwa wanamtafuta angalia mengi na mkono wanavyomwandama kisa tu mengi amekosa kitaru cha gesi na mkono kuondolewa kuwa advocate wa Tanesco baada ya kubaini kuwa anafanyabishara badala ya kuitetea Tanesco.
Mbona umesahau kusema kwamba tangu ateuliwe katika Wizara hiyo Tanesco imekuwa ikipata hasara zaidi ya mara mbili na chini ya Mawaziri wengine, licha ya kwamba aliongeza bei ya umeme maradufu na kufanya kupanda kwa gharama za maisha nchini?!
Ova