Ni kweli mwenge haukufika kileleni?

Ni kweli mwenge haukufika kileleni?

Kamera ya miaka 50 iliyopita ilipiga picha kileleni, japo si ya video. Leo inakosekana kamera ya video? Sio kweli iko sababu ingine. Labda wapigaji ndio walichemsha maana fitness zetu siku hizi mgogoro. Hata mtoto wa Nyirenda anaitwa Foti kachemsha kupanda, mafuta yamezidi mwilini
nyirendabc.jpg
 
Inasemekana ni kutoelewana kati ya serikali na JWTZ kutokana na serikali kuvunja makubaliano ya awali kuwa jeshi la wananchi ndilo lishughulikie mipango yote ya kupandisha na kuzima mwenge miaka 50 ya uhuru. TBC nao (walisusa?). Tukio la mwenge kufikishwa katika kilele cha mlima Kilimanjaro lilipaswa kurushwa LIVE lakini hata hilo halikufanyika sababu wanazotoa ilitokana na kamera za kituo hicho kushindwa kufanya kazi vizuri katika miinuko ya juu. Hata hivyo, mmoja wa watangazaji wa TBC Sostehes Amas, alionekana kupitia kituo hicho akiripoti kutoka katika kilele cha Mlima Kilimanjaro. Hadi leo hakujatolewa hata picha moja ya mwenge ukiwa kileleni.

::Mwananchi

Hizi hapa wacha kuipakazia serekali,
Tumethubutu, Tumeweza, Tunasonga.
Mwe.JPG

Mwenge.JPG
 
kazi ya kupanda mlima kilimanjaro huchukua siku tano na kushuka siku mbili ni jumla ya siku tano ni lazima mtu awe fit na abebe mgongoni chakula chake cha siku tano. chakula hicho kinapikwa kwenye vituo vya mlima huo kama vile mchele, unga, maharage, juice na viatu vya ziada vizito kama nusu kilo kwa ajili ya kuvaa eneo la barafu na nguo zaidi za kuongeza kileleni kwenye barafu. kutoka kituo kimoja hadi kingine ni masaa 8 hadi 10 inahitaji mazoezi ya kutosha na mwili wenye afya

Hata kina mama wanweza sembuse TBC?
New_Picture_%2815%29.png
 
Katika hili tutaendelea kuumana mpaka dakika za mwisho. Ile bajet iliyotengwa kwa shughuli hiyo ya kupandisha mwenge kileleni irudishwe hasinani. Kwa kuwa kazi iliyo lengwa haikufanyika kwa kiwango stahiki. Katika hili tuache longo longo. La sinvyo penalt haitakwepeka mwaka 2015 by no means!
 
Katika hili tutaendelea kuumana mpaka dakika za mwisho. Ile bajet iliyotengwa kwa shughuli hiyo ya kupandisha mwenge kileleni irudishwe hasinani. Kwa kuwa kazi iliyo lengwa haikufanyika kwa kiwango stahiki. Katika hili tuache longo longo. La sinvyo penalt haitakwepeka mwaka 2015 by no means!

Si huuuuu kaka au huoni?
Mwenge.JPG
 
Inasemekana ni kutoelewana kati ya serikali na JWTZ kutokana na serikali kuvunja makubaliano ya awali kuwa jeshi la wananchi ndilo lishughulikie mipango yote ya kupandisha na kuzima mwenge miaka 50 ya uhuru. TBC nao (walisusa?). Tukio la mwenge kufikishwa katika kilele cha mlima Kilimanjaro lilipaswa kurushwa LIVE lakini hata hilo halikufanyika sababu wanazotoa ilitokana na kamera za kituo hicho kushindwa kufanya kazi vizuri katika miinuko ya juu. Hata hivyo, mmoja wa watangazaji wa TBC Sostehes Amas, alionekana kupitia kituo hicho akiripoti kutoka katika kilele cha Mlima Kilimanjaro. Hadi leo hakujatolewa hata picha moja ya mwenge ukiwa kileleni.

::Mwananchi

Ukweli siku zote humtenga mtu mnafiki na mzandiki dhidi ya muungwana na mstaarabu, ww kwenye wakweli haumo. Sothenes Almas hakufika kileleni bali aliishia kituo cha 3 kutoka chini. Na hii yeye mwenyewe alisema kwenye Taarifa ya habari ya TBC kuwa alishindwa kufanya hivyo kutokana na kukosa pumzi na hali ya hewa kuwa nzito. Sasa nakushangaa ww unaesema Sosthenes , yupi huyo sasa? Kuwa mkweli siku zote.

 
you mean hata helikopta ilishindikana kutumika kuchukua picha? haka kanchi bana, kila mtu la lwake
 
Mpaka hapo sijui niamini kipi. Ulifika kileleni ama haukufika?
 
kipindi cha TBC kilikuwa kizuri tu na kilionyesha kila kitu hatua kwa hatua kuanzia kupanda, kileleni na kushuka hadi kupewa vyeti kwa waliofanikiwa kufika kileleni

Baada ya mwandishi wa habari wa TBC kushindwa kufika kileleni (aliishia Holombo) kituo cha pili kuelekea kileleni kuna mwanajeshi alichukua jukumu la kuchukua picha japo sio kwa kiwango cha juu. Vituo viko 6 cha kwanza Malangu, mandara, Holombo, kibo, Gilman's na uhuru peak
Mbona unajichanganya baada ya mwandishi wa TBC kushindwa kufika kileleni huyo mwanajeshi alichukua video camera au still photos ambayo unasema TBC walionyesha, gazeti lao la Habari Leo kwa walivyo na kiherehere wasingeacha kuziweka.
 
Currently mwenge wa uhuru ni alama ya ufisadi! Hauna tija
 
Back
Top Bottom