Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 19,021
- 9,177
Kamera ya miaka 50 iliyopita ilipiga picha kileleni, japo si ya video. Leo inakosekana kamera ya video? Sio kweli iko sababu ingine. Labda wapigaji ndio walichemsha maana fitness zetu siku hizi mgogoro. Hata mtoto wa Nyirenda anaitwa Foti kachemsha kupanda, mafuta yamezidi mwilini