yanaruhusu wachezaj huruLabda mashindano ya SportPesa yanaruhusu kusajili wachezaji but sidhani kama hao wachezaji watachezea Yanga baada ya hayo mashindano ya SportPesa.Kumbuka hayo mashindano yanaanza wakati wachezaji wengi wako kwenye timu zao za taifa
Emmanuel OKWI ni kinda la miaka 19.Ndala bhana mchezaji jua la magharibi lakini bado wanae
Ajibu kafanya Trial Mara 3 na timu tofauti tofauti.....Ni haki kumsajili maana Yanga ndo mumempotea future yake Ngasa kwa kujifanya ana mapenzi sana na nyinyi bila kumsahau Tegete.
Msuva na wewe jiangalie Yanga pia watakupotezea mda wako.
Enyi wachezaji vijana mnaotaka kwenda kucheza nje ya nchi kamwe msiende Yanga hawauzi wachezaji, nendeni Simba na Azam
kwenye ndala ungeweka hili neno "kandambili" ingekaa poa zaidiHayo magarasa saizi ya ndala fc
ngasa ashakua msondo ngomaIkiwa hivyo nitafurahi sana na naamini hata Ngasa atafurahi pia! Yanga mrudisheni huyo mtu! Bado ana uwezo wa kucheza ligi ya bongo. Ondoa Busungu, Matheo na magalasa mengine rudisha Ngasa!
Ajibu kafanya Trial Mara 3 na timu tofauti tofauti.....
Mkude kaenda south Mara 2 kwa ajili ya Trial.....
Ndio huu mfumo wenu wa kutoa wa mchezaji wakacheze nje ya Bongo?
Ndio kama wangepita si tungekuwa tunajivunia leo? Huyo Msuva ataenda vipi nje kama hata trial tu hatafutiwi?