Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
Wanabodi nilikuwa nasoma makala kwenye Gazeti la Raiamwema ambayo imeandikwa na Msomaji Raia yenye kichwa cha Habari Majaji wana chanjo ya kutotumiwa kisiasa? nikakutana na sntensi zifuatazo:
Mpaka hapa ni sahihi pia kuhoji ikiwa majaji wetu wako salama na michezo ya kisiasa. Hawa ni watu muhimu katika wajibu wa kutoa haki, je, wanayo chanjo ya kuwazuia kupata ugonjwa unaoitwa siasa?
Kama wanayo mbona hawa wao wenyewe wanatuhumiana na kuitana majina ya bandia. Wako majaji wanaoitwa M-serikali, Wa system, wa Voda Fasta, Wa Ikulu na wa awamu ya nne.
Raia Mwema | Majaji wana chanjo ya kutotumiwa kisiasa?
Hivi kweli wakuu Majaji wetu ambao tunawategemea kutoa haki wamefikia hatua ya kuitana majina hayo? Kwa maana nyingine ni kwamba judiciary yetu imegawanyika kiasi cha mgawanyiko huo kuwa reflected na hayo majina ambayo Msomaji anasema wanaitana? Je ukiwa na kesi yako kwa Voda fasta utatapata haki sawa na kesi hiyo hiyo kama ingepelekwa kwa M-serikali, nk?
Mpaka hapa ni sahihi pia kuhoji ikiwa majaji wetu wako salama na michezo ya kisiasa. Hawa ni watu muhimu katika wajibu wa kutoa haki, je, wanayo chanjo ya kuwazuia kupata ugonjwa unaoitwa siasa?
Kama wanayo mbona hawa wao wenyewe wanatuhumiana na kuitana majina ya bandia. Wako majaji wanaoitwa M-serikali, Wa system, wa Voda Fasta, Wa Ikulu na wa awamu ya nne.
Raia Mwema | Majaji wana chanjo ya kutotumiwa kisiasa?
Hivi kweli wakuu Majaji wetu ambao tunawategemea kutoa haki wamefikia hatua ya kuitana majina hayo? Kwa maana nyingine ni kwamba judiciary yetu imegawanyika kiasi cha mgawanyiko huo kuwa reflected na hayo majina ambayo Msomaji anasema wanaitana? Je ukiwa na kesi yako kwa Voda fasta utatapata haki sawa na kesi hiyo hiyo kama ingepelekwa kwa M-serikali, nk?