Hapana tunao bado Kama marehemu Rugakingira
Tutajie japo Jaji mmoja ambaye viwango vyake japo vinakaribia vya Judge Lugakingira.
Tutajie japo Jaji mmoja ambaye viwango vyake japo vinakaribia vya Judge Lugakingira.
Hakuna hata mmoja, wangekuwepo wasingetoa hukumu za hovyo kama zifuatazo;
1. Babu Seya
2. Dowans
3. Mgombea Binafsi
4. Ditto (kabla Mungu hajaamua kumhukumu)
5. Lema
6. makongoro Mahanga (haijatoka ila upepo unaonekana labda waone aibu)
7. Chenge alivyoachiwa huru baada ya kuua makusudi (alipigwa faini)
8. EPA
Jamani nchi hii kuna wanasheria wasiojua sheria. Hiyo ni mifano tu kuna kesi nyingi majaji wanahukumu mpaka layman anabaki mdomo wazi
Tutajie japo Jaji mmoja ambaye viwango vyake japo vinakaribia vya Judge Lugakingira.
(4) RCs & DCs
Kwa hali hiyo nchi itazama.
- RC wa Arucia
- DC wa Igunga TABORA
- ...
Kwenye bold ndiyo wapi Mkuu? Of all DC's.... Mnari (aliyewaramba bakora walimu) was the best.
Mkuu wangu kinachonitisha ni haya majina wanayoitana. Unajua kama waalimu wanaoitwa Vodafasta tunajua kuwa wamepelekwa wakasoma fasta fasta na matokeo yake tunayaona. Sasa kama watoa haki nao ni fasta fasta matokeo yake ni nini?
Ngoja nikupe Kifupi nimekulia na kuishi kambini mpk juzi tu nimeanza kujitegemea na bado natembelea coz ndugu zangu wapo humo kwny MAkambi ya Jeshi, ktk sehemu ambazo ccm haikubaliki ni Jeshini, ila na hata 2010 ccm walipata kura chache kuliko maelezo ktk makambi ya Jeshi nao wanajua tatizo wale jamaa nidhamu kwa sana but ukikaa nao hadi wazee wanapinga ccm live vijana ndio hawataki kuickia cdma inakubalika kuliko hama chochote na kuhusu elimu ur wrong ckuhizi hakuna std 7 anayechukuliwa na wengi wamejiendeleza, again maduka yasiyolipiwa kodi yanauza bidhaa feki tena bei juu na ni vichaka vya wahindi kuingiza bidhaa bila kodi then kidogo tu ndio hupelekwa ktk maduka hayo. Cku hizi huko majeshini full ufisadi c mlisikia jamaa anamiliki fungu la kutisha Kwa Madib?Wangu hata mie hiyo makala nimeiona, ukweli inasikitisha sana kuona sasa Judicial system kwisha habari yake, na hiyo ni kutokana na hawa jamaa(majaji) kuwa presidential appointees, lazima wafanye kazi kwanza wakihakikisha wanalinda maslahi ya aliye wateua, na mwisho ndipo wewe na mimi tushughulikiwe na si kupewa haki. Jambo hili halina dawa kwa sasa mpaka tutakapo kuwa tumepata katiba mpya ambayo itatoa mwongozo wa kuwapata majaji. Tunashukuru hukumu ya kesi ya Lema ambayo imefumbua macho wengi japo watu walikuwa wakihoji kimya kimya weledi wa majaji wetu. Yaani inatia hasira kiasi ikitokea ukawa raisi unaweza kuwapiga chini majaji wote iwapo sheria ingeruhusu na kuajili upya kwa interview kali wao pia wakipewa fursa ya kuomba ajira hiyo na kampuni maarufu zinazo jali credibility kufanya kazi hiyo ndipo bunge liridhie. Watu wengine ambao wanapaswa kupigwa chini kama alivyo fanya raisi mpya wa Malawi ni kupiga chini IGP, RCs,DCs, na hata mkuu wa majeshi sababu amewafanya wanajeshi wetu wamekuwa mbumbumbu pasipo kuona maslahi ya taifa yanaporwa wao wako kimya tu! au kwa sababu wanauziwa bia na bidhaa nyingine kwa bei ya chini! Waangalie mfano wa nchi ya Mali na kwingineko. Nadhani imefika wakati wa askari wa vyeo vya chini kuchukua hatua kwa sababu wao ndio wamewahi kushinikiza mabadiliko haswa katika nchi nyingine. Wakikaa kusubiri tu amri hata za kishenzi ndipo tunazidi kuwaona hamnazo. Wasidhani hata siku moja IGP,mkuu wa majeshi na wenzake watakuwa upande wa wanyonge kwa sababu wao ndio wanafaidi inchi na mafisadi, inabidi ifike wakati waasi na wakatae amri za kishenzi, inakuwaje mtu anakataza watu wasiandamane na wewe unaye pewa amri ukawadhibiti unajua kuwa ni haki yao kikatiba na sheria inasema hivyo? hseria gani hiyo wanayo simamia? ya magamba au? oneni wenzenu Misri na Tunisia walicho fanya na mjifunze. Ipo siku mtafanya maafa na hao wanao watumeni watawaruka kwenye mkono wa sheria. Mfano huo umetokea Rwanda, askari wengi wamejikuta na kesi za kuhusika katika mauaji ya kimbari pasi kutetewa na walio watuma wakati walikuwa wanatimiza amri wanazodai ni halali. Lazima muwe na uwezo wa kuangalia kuwa je, ninacho amriwa kufanya ni kwa mujibu wa sheria? Mie wakati mwingine nashawishika kufikiria kuwa labda ni kutokana na uwezo mdogo wa kufikiria na kuchambua mambo wa askari wetu ambacho nadhani kinachangiwa zaidi na elimu ndogo sababu wengi ni Darasa la saba na walio feli kidato cha nne. Kwa hiyo wanaona iwapo watashindwa kutii amri watafukuzwa kazi na hawana uwezo wa kupata kazi mahali pengine. Unganeni na jeshi la umma la ukombozi tukomboe nchi yetu kwa kukataa kutii amri ambazo hazina tija kwa taifa, kwani kazi ni kuwa polisi au mwanajeshi tu? uiacha au ukafukuzwa utakufa? mnatutia aibu kwa mawazo mgando.
Nionavyo, tunaopaswa kuwalaumu wala si majaji. Hawa ni matokeo ya mfumo mbovu. Na ukichunguza kwa kina utabaini kuwa tatizo hili halipo miongoni maw majaji tu. Hay a ni matokeO ya mfumo mbovu ambao unazalisha wanataalamanwa majina tu na wall taalama Yao haioneKani katika weledi waoMkuu wangu kinachonitisha ni haya majina wanayoitana. Unajua kama waalimu wanaoitwa Vodafasta tunajua kuwa wamepelekwa wakasoma fasta fasta na matokeo yake tunayaona. Sasa kama watoa haki nao ni fasta fasta matokeo yake ni nini?
Nionavyo, tunaopaswa kuwalaumu wala si majaji. Hawa ni matokeo ya mfumo mbovu. Na ukichunguza kwa kina utabaini kuwa tatizo hili halipo miongoni maw majaji tu. Hay a ni matokeO ya mfumo mbovu ambao unazalisha wanataalamanwa majina tu na wall taalama Yao haioneKani katika weledi wao
Nchi ya tatu kwa umasikini duniani, sasa tunajiongeze matatizo namna hii. Maana maskini haki yake anaitegemea mahakamani. Au kwa sababu Tanganyika haipo. Mungu tusaidie.
guys where are we going, we need to find the chanjo as soon as possible. By the way kuna namna yoyote ya kuweza kutangua u-jaji wwa mtu iwapo nanashambuliwa na ugonjwa wa siasa?
Mkuu hao majaji ndio wamepewa jukumu la kusimamia katiba mpya! Hapa ni kweli inatakiwa tufanye kama Kenya manake wao waliamua kuanza upya kwenye judiciary wakapiga chini kuanzia Chief Justice hadi majaji wa mahakama kuu. Watu wakaomba na kuhojiwa hadharani na kama ulihukumu kakkesi kako huko nyuma kwa magumashi inakuwa hapo ndipo unapigwa chini mwanzoooni!