Ni kweli kuwa January Makamba hagusiki?

Ni kweli kuwa January Makamba hagusiki?

Kahtan Ahmed

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
765
Reaction score
490
Ni dhahiri na wazi kuwa Waziri January Makamba imemshinda wizara yake kutokana na ukosefu na usumbufu wa huduma ya umeme nchi nzima.

Ninachojiuliza kuwa ameshindikana vipi kuwajibishwa kwa jambo kubwa kama hili na badala yake ameachwa kana kwamba wizara yake inafanya vizuri na hakuna dosari.

Hivi ni kweli January Makamba hawezi kunyooshewa kidole kisa ni mtoto wa Yusuf Makamba? Serikali inatufundisha nini?
 
Ni dhahiri na wazi kua Waziri January Makamba imemshinda wizara yake kutokana na ukosefu na usumbufu wa huduma ya umeme nchi nzima

Ninachojiuliza kua ameshindikana vipi kuwajibishwa kwa jambo kubwa kama hili na badala yake ameachwa akana kwamba wizara yake inafanya vizuri na hakuna dosari

Hivi ni kweli January makamba hawezi lunyooshewa kidole kisa ni mtoto wa Yusuf makamba? Serikali inatufundisha nini?
Umimwajibisha tunamweka nani mbadala

USSR
 
Kwanini mtu ang'ang'anie jambo ambalo haliwezi kulitekeleza huku mamilion ya watu wakiathirika sababu yake? Maisha ya watanzania wengi hutegemea nishati ya umeme, January makamba hafai tena hafai kabisa anadumaza maisha ya watanzania
 
Ni dhahiri na wazi kuwa Waziri January Makamba imemshinda wizara yake kutokana na ukosefu na usumbufu wa huduma ya umeme nchi nzima

Ninachojiuliza kuwa ameshindikana vipi kuwajibishwa kwa jambo kubwa kama hili na badala yake ameachwa kana kwamba wizara yake inafanya vizuri na hakuna dosari

Hivi ni kweli January Makamba hawezi kunyooshewa kidole kisa ni mtoto wa Yusuf Makamba? Serikali inatufundisha nini?
Hamna kuwajibishwa kwenye awamu hii. Ile ya Mafuta ilikuwa twende kazi huwezi kaa pembeni na haikuwa na masihara! Hii ya Sasa wanapewa mafungo nendeni mkawafanye kazi na hakuna kinachoonekana wanaipigia kwenda mbele. Shamba la bibi
 
Ni dhahiri na wazi kuwa Waziri January Makamba imemshinda wizara yake kutokana na ukosefu na usumbufu wa huduma ya umeme nchi nzima

Ninachojiuliza kuwa ameshindikana vipi kuwajibishwa kwa jambo kubwa kama hili na badala yake ameachwa kana kwamba wizara yake inafanya vizuri na hakuna dosari

Hivi ni kweli January Makamba hawezi kunyooshewa kidole kisa ni mtoto wa Yusuf Makamba? Serikali inatufundisha nini?
Ukitaka kujuanuozo uliopo nenda kwenye thread za hizi wizara hapa JF usome malalamiko na Naomi ya wananchi wengi halafu ona majibu yao yalivyo ya mkato ! Ni SAWA na pale Bungeni mbunge analeta mchango mzuri tu na unahitaji majibu lakini spika /Naibu mwenyekiti wa bunge anasema tumekusikia !!?
 
Ni dhahiri na wazi kuwa Waziri January Makamba imemshinda wizara yake kutokana na ukosefu na usumbufu wa huduma ya umeme nchi nzima
Mkuu Kahatani, sii kweli wizara imemshida kutokana na issues ndogo za umeme!. Kuna mambo makubwa mazuri yanafanyika hivyo vuta subra mambo yatengamae. Hebu msikilize mwenyewe
Ninachojiuliza kuwa ameshindikana vipi kuwajibishwa kwa jambo kubwa kama hili na badala yake ameachwa kana kwamba wizara yake inafanya vizuri na hakuna dosari
Waziri awajibishwe kwa kosa gani?. Kwani ni yeye ndiye anakata umeme?.
Hivi ni kweli January Makamba hawezi kunyooshewa kidole kisa ni mtoto wa Yusuf Makamba? Serikali inatufundisha nini?
Sio hawezi kunyooshewa vidole kisa ni mtoto wa Yusufu bali anyooshewe kidole kwa kosa gani?!.

Mbona watu mna chuki tuu za ajabu dhidi ya baadhi ya watu for no apparent reasons?.
P
 
Ndio ni untouchable.

Katika uzinduzi wa mradi ule wa kukarabari gridi.

Rais alisema kwa kauli yake wakafanye kazi anawaamini.

Hivyo huyo ni mtu ambaye Rais anamuamini despite all these pitfalls.
 
Ni dhahiri na wazi kuwa Waziri January Makamba imemshinda wizara yake kutokana na ukosefu na usumbufu wa huduma ya umeme nchi nzima

Ninachojiuliza kuwa ameshindikana vipi kuwajibishwa kwa jambo kubwa kama hili na badala yake ameachwa kana kwamba wizara yake inafanya vizuri na hakuna dosari

Hivi ni kweli January Makamba hawezi kunyooshewa kidole kisa ni mtoto wa Yusuf Makamba? Serikali inatufundisha nini?
Ni bomu linasubiri kumlipukia mama. Pia ni mpigaji ndio maana na wahuni wenzake walimuita magufuli mshamba. Mama akiendekeza urafiki au kuogopa wahuni yatamshinda.
Wazo la kufumua grid ni kitu cha ulaji tu. Kinachotakiwa ni ukarabati wa grid. Hiyo project wamezusha lengo lao kubwa kupiga hela ya umma. Tr 11 sio hela ya mchezo.
 
Ndugu jitafutie maendeleo yako binafsi na wanao hao kina Maropu hawako kazini for you wako kwa matumbo yao tu!

Kuna siku genge lao lote watachoka watazeeka na watadedi na hapo nchi itaendelea but ni miaka 30 ijayo kama utakuwepo hai utaenjoy.

Kwasasa hatuna Cha kufanya zaidi ya kuwalaani tu wapate Renal failure Yale matrilioni yaishie Dialysis japo ni dua la kuku😁
 
Ni dhahiri na wazi kuwa Waziri January Makamba imemshinda wizara yake kutokana na ukosefu na usumbufu wa huduma ya umeme nchi nzima

Ninachojiuliza kuwa ameshindikana vipi kuwajibishwa kwa jambo kubwa kama hili na badala yake ameachwa kana kwamba wizara yake inafanya vizuri na hakuna dosari

Hivi ni kweli January Makamba hawezi kunyooshewa kidole kisa ni mtoto wa Yusuf Makamba? Serikali inatufundisha nini?
makamba ni kiongozi makini sana
 
Umimwajibisha tunamweka nani mbadala

USSR
Swali la kipuuzi kabisa, watz tupo mamilioni yaani akosekane mtu mmoja smart wa kuendesha hiyo wizara vizuri?!.

Tena mie naona tungeweza kuanza upyaaa tukabadili kuanzia top kwa dereva tukashuka chini na wasaidizi wote kabisa.
Tuanze na majina mapya sio hayahaya kila mwaka wanabadilishana nafasi tuu huku uwezo mdogo.
 
Nape Nnauye, January Makamba, Ridhiwani Kikwete, Mchengerwa, hawakupewa Wizara walete Ufanisi.

Wamepewa Wizara kwa kazi Maalum kutokana na FADHILA za wazee wao.
 
Ni dhahiri na wazi kuwa Waziri January Makamba imemshinda wizara yake kutokana na ukosefu na usumbufu wa huduma ya umeme nchi nzima

Ninachojiuliza kuwa ameshindikana vipi kuwajibishwa kwa jambo kubwa kama hili na badala yake ameachwa kana kwamba wizara yake inafanya vizuri na hakuna dosari

Hivi ni kweli January Makamba hawezi kunyooshewa kidole kisa ni mtoto wa Yusuf Makamba? Serikali inatufundisha nini?
Yule anaakili sana alishasema ili yy ainyooshe tanesco lazima ipatika trillion 11 sasa hapo unamnyoosha vipi wakati hujampa anachotaka??
 
Back
Top Bottom