Ni kweli kuto kusex miaka mitano kunarudisha bikra kwa mwanamke aliyezaa?

Mzeee 😂 Pole ila hiyo kitu ni feki, Mwanamke asipofanya mapenzi muda mrefu ni kuwa uke unakuwa tight tuuu ,Ila in time mukiwa mnafanya siku hiyo hiyo unaanza kurudi kawaida.....Hakuna Damu mzee, It's a fake na kuna dawa Mitishamba wanatumiaga kitu kinableed mzee.....Ila kwa maelezo zaidi labda ni miracle kweli au Anaumwa na ugonjwa wa Virginity regeneration, Itakuwa a Rare disorder hii
Uki sema rare disorder atajifichia hapo ila huyu ni mhuni tuu
 
Back
Top Bottom