Ni kweli kabisa tumefika huku?

Ni kweli kabisa tumefika huku?

Na kuna watoto nao wapo hapo hapo wanashuhudia mambo haya. hili ni darasa lao la mwanzo kabisa katika maisha yao.

Ila inanibidi kidogo nikushangae wewe kwa hilo swali la mada yako. Bado huamini kuwa tumefika huku?; wakti kila siku humu humu Jf tunayashuhudia yote haya?

Kuna lipi jipya hapa, mkuu 'Mshana' ambalo ni tofauti na haya?

Sasa nakutahadharisha ujiweke tayari kwa yatakayofuata endapo waTanzania watamwachia Samia aendelee na mambo yake haya.

Akina Ritz na Tlaatlaah, Kaitan na wengine humu wanaitangazia vita kila siku TEC. Hawa hawatanii hata kidogo.
 
Wanajihangaisha tu.

Uthibitisho wa kwamba Mungu ni porojo ndo huu sasa!

Muuaji wa maelfu ya Watanzania eti anaombewa kwa mungu.

Na wale ambao wameumizwa na mauaji nao wanamwomba mungu.

Utapeli mtupu.
 
Uislamu hauna tatizo ni dini safi na ya haki.

Mimi muislam naelewa hilo.

Ila tatizo ni kuwa kuna waislamu ambao huitwa Mashekh ubwabwa hawa ni Kama watu kati, hata ukiwa umeua watu elfu tano unawaita unawapa posho wanakuombea dua



Changamoto kubwa ya waislamu Ubwabwa hawana Elimu ya dunia Ila wamekariri quruan juuu juuu.
 
Hahaah ile ya shekhe wa Dar wa enzi hizo iliishia hewani? Au wanaboost mambo?

Hiyo kondoo si bora akale na wanae wandugu? Tumeambiwa kuna njaa na mkubwa mmoja tutunze chakula. Au ni funding ya sisiemu

Hivi uchawi huwa unavuka bahari? Just curious wakuu...
 
Mwanzoni nilikuwa nam
Nani anaruhusu haya mambo?
Mfadhili wake ni nani?
Nia yao ninini?
Matokeo yake ni yapi?
Kwanini tunaendelea kuruhusu kuonekana kituko cha dunia?


View: https://www.facebook.com/share/v/1BfeZK52Wz/%5B/UR


View:
Nani anaruhusu haya mambo?
Mfadhili wake ni nani?
Nia yao ninini?
Matokeo yake ni yapi?
Kwanini tunaendelea kuruhusu kuonekana kituko cha dunia?


View: https://www.facebook.com/share/v/1BfeZK52Wz/


mwanzoni nilikuwa namlaumu sana Benja Netanyau lakini tangu nimejua vizuri tabia za hawa wapumbavu natamani nikutane na netanyau nimuombe msamaha
 
Back
Top Bottom