wadau kunamdau aliwahi kupost kuwa alikuwa amempata mpenzi wake na alipodoo naye aligundua kuwa yule mwenzake hana joto yaani ni wabaridi but kuna baadhi ya watu walipost kwa kujokes bt swala hili ni la kweli kwani nimejaribu kuulizia kwa watu mbali mbali hasa kijana moja aamelikuta suala hilo majuzi tu na mdada moja amesema huwa akipata boyfriend na wakifanya tu huwa wanamwacha na kuanza kumkejeli ati ye hana jotoso nambeni je kudoo ni suala muhimu sana katika mapenzi?Je?kwa mwadilifu anaye subiri hadi ndoa na akakutana na suala hilo afanyaje?Je?ni vizuri kujaribu kabla ya ndoa