Brodre
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 2,351
- 1,372
Tutazungumza watasema ni upepo tu na utapita.
1. Wanakaa kwenye ma estate na ma mansion, wanafikia five stars hotels watafamu lini kuwa kuna maisha ya watu wa chini wanaolala kwenye nyumba za tope?
2. Barabara za rami zipo hadi chooni, 24/7 wapo angani lini watafahamu kuna barabara ya vumbi?
3. watoto wao wanasoma UK,Canada, USA lini watafahamu kuna St. Kayumba schools hazina madawati wala waalimu?
4. wana umeme majumbani kwao muda wote eti wanakaa kwenye special lines ambazo ni marachache umeme kukatika pia wanastandby generators lini watajua kuwa kuna mgao wa umeme?
5. Wana maccounts uswizi ya kuwalisha wao na watoto wwao na vijukuu vyao miaka nenda rudi lini watafahamu kuna watanzania wanakosa hata 200 ya unga?
6.watoto wao wanatembelea gari za Anasa wengine za serikali lini watafahamu kuwa Kuna wasiojiweza wanaohitaji hata baiskeli za gurudumu tatu?
7. Wanatibiwa India na UK lini watafahamu kuwa kuna hospital hazina wauguzi?
8. Magari yanassimamishwa wakiwa wanapita kwa raha zao lini watajua kwamba kuna foleni za gari waongeze barabara au watafute njia mbadala?
TUSIDANGANYANE: Hao viongozi wataishia kupiga kelele tutawajengea barabara,mara mgao wa umeme utaisha, ohh tutainua mfumo wa elimu mara hii mara lile lakini kutokana na sababu ya kwamba hawa experience tunayo experience sisi watu wa hali ya chini hata siku moja hawawezi leta maendeleo zaidi wataishia kuendelea kutunyonya na kuimagine kuwa tunaishi kama wao yani kwa kifupi wanaconclude kwamba wote tunaishi kama wao wanavoishi na hakuna haja ya maendeleo.
We ushawahi ona wapi mtu anakua kiongozi miaka 40, lini ataonja shida ndio maana wakiingia huko hawataki kutoka kwa sababu wanajua nini kiko juu huko. tubadilishane nao hata kwa muda wa saa 3 waje huku twende huko uone kama wakirudi hawatabadilisha maisha ya watu.
sio siri kuna vitu vinakera sana ila hata tukisema tuliowapa dhamana ya kututetea nao washajisahau wakifika huko wanakuwa na kale ka usemi "For God and for my Stomach" Badala ya "For God and for my people"
Vizazi vijavyo mtatusamehe kwa haya yafuatayo;
Mtusamehe tu walisema maisha bora kwa kila Mtanzania, tukawapa kura lakini matokeo yake yakawa maisha duni kwa kila Mtanzania.
1. Wanakaa kwenye ma estate na ma mansion, wanafikia five stars hotels watafamu lini kuwa kuna maisha ya watu wa chini wanaolala kwenye nyumba za tope?
2. Barabara za rami zipo hadi chooni, 24/7 wapo angani lini watafahamu kuna barabara ya vumbi?
3. watoto wao wanasoma UK,Canada, USA lini watafahamu kuna St. Kayumba schools hazina madawati wala waalimu?
4. wana umeme majumbani kwao muda wote eti wanakaa kwenye special lines ambazo ni marachache umeme kukatika pia wanastandby generators lini watajua kuwa kuna mgao wa umeme?
5. Wana maccounts uswizi ya kuwalisha wao na watoto wwao na vijukuu vyao miaka nenda rudi lini watafahamu kuna watanzania wanakosa hata 200 ya unga?
6.watoto wao wanatembelea gari za Anasa wengine za serikali lini watafahamu kuwa Kuna wasiojiweza wanaohitaji hata baiskeli za gurudumu tatu?
7. Wanatibiwa India na UK lini watafahamu kuwa kuna hospital hazina wauguzi?
8. Magari yanassimamishwa wakiwa wanapita kwa raha zao lini watajua kwamba kuna foleni za gari waongeze barabara au watafute njia mbadala?
TUSIDANGANYANE: Hao viongozi wataishia kupiga kelele tutawajengea barabara,mara mgao wa umeme utaisha, ohh tutainua mfumo wa elimu mara hii mara lile lakini kutokana na sababu ya kwamba hawa experience tunayo experience sisi watu wa hali ya chini hata siku moja hawawezi leta maendeleo zaidi wataishia kuendelea kutunyonya na kuimagine kuwa tunaishi kama wao yani kwa kifupi wanaconclude kwamba wote tunaishi kama wao wanavoishi na hakuna haja ya maendeleo.
We ushawahi ona wapi mtu anakua kiongozi miaka 40, lini ataonja shida ndio maana wakiingia huko hawataki kutoka kwa sababu wanajua nini kiko juu huko. tubadilishane nao hata kwa muda wa saa 3 waje huku twende huko uone kama wakirudi hawatabadilisha maisha ya watu.
sio siri kuna vitu vinakera sana ila hata tukisema tuliowapa dhamana ya kututetea nao washajisahau wakifika huko wanakuwa na kale ka usemi "For God and for my Stomach" Badala ya "For God and for my people"
Vizazi vijavyo mtatusamehe kwa haya yafuatayo;
- kushindwa kuwaandalia Tanzania ambayo mtaishi kwa raha.
- Kushindwa kuzuia vitendo vya rushwa
- Kushindwa kukemea maovu yanayofanyanywa na viongozi.
- Kushindwa kuzuia unyonyaji wanaofanya wawekezaji
Mtusamehe tu walisema maisha bora kwa kila Mtanzania, tukawapa kura lakini matokeo yake yakawa maisha duni kwa kila Mtanzania.
As long as hayo hapo juu yapo tutaendelea kuwa masikini daima
Vizazi vijavyo mtatusamehe kwa kushindwa kuwa
Vizazi vijavyo mtatusamehe kwa kushindwa kuwa