Kinyonyoke
JF-Expert Member
- Oct 4, 2016
- 3,495
- 13,132
Ok nisaidie kuandika Cv
Ok nisaidie kuandika Cv
Mkuu ungetufahamisha humo harmonize ni nani na anahusika na nini.umeandika kama wote tunamfahamu.
Hapana halikuwa lengo la mada hii kumtambulishs harmonize... Bali imekuja kama hojaji kuhusiana na malipo ya million 500... Siamini mpaka sasa kama umesoma na baadhi ya replies useme bado humfahamu Harmonize... Kwahiyo hata video ya YouTube hukuangalia
Yupo yule mmoja alioa Rwanda eti kanunua na nyumba marekani, akiulizwa umeitoa wapi pesa eti oooh biashara zangu za mziki nimeinvest sana, sasa ukifutilia huo mziki wanaousema ndio tunafanya wapande ndege first class unabaki midomo wazi.Hahahaha we jamaa unaakili sana,Mfano kale ka Sheta!!eti nako kanapesa za show kutokana na music. Biashara hii bana
Yupo na waswahili, babu tale na yule mkubwa fella, wakiongozwa na salama SK ambaye mpaka leo ana mambo ya mwaka 90, sifa na mabifu ya ajabu ajabu tutashukuru harmonize anaenda wapoteza maana kama ndele zao anazijua so tukae mkao wakuzika CWBLkn nasisitiza pia Harmo kaikuta WCB changa sana kama sio bado kabisa tena hata ofis cjui kama walikua nayo,so ana asilimia kubwa sana ya mchango pale,je hili wanaliconsider vip?? point iko hapa KAIKUTA kwahiyo sio mwanzilishi hivyo hawezi kuwa na haki zote
Yupo na waswahili, babu tale na yule mkubwa fella, wakiongozwa na salama SK ambaye mpaka leo ana mambo ya mwaka 90, sifa na mabifu ya ajabu ajabu tutashukuru harmonize anaenda wapoteza maana kama ndele zao anazijua so tukae mkao wakuzika CWB
Yupo na waswahili, babu tale na yule mkubwa fella, wakiongozwa na salama SK ambaye mpaka leo ana mambo ya mwaka 90, sifa na mabifu ya ajabu ajabu tutashukuru harmonize anaenda wapoteza maana kama ndele zao anazijua so tukae mkao wakuzika CWB
Waswahili Bwana,usiwe smart ki biashara ukafanikiwa lazima watasema ndele! Hivi kuna managers kwenye music walio kaa muda mrefu na ambao atleast Wana usimamizi mzuri kama akina Babu Tale na Fella? Mi nnachoona Harmonize Kwa kuwa ameondoka kwenda kutafuta kikubwa zaidi,Basi sie Tumuombee Tu nae awe msanii mkubwa zaidi hapa Bongo! Hizi blah blah za sijui WCB walikuwa Wana m tumia hakuyaona kipindi hicho anatafuta wapi pa kushika? Hakuziona terms za mkataba anazohisi zilikuwa zinamkandamiza? NI Shida yetu wabongo wengi,yaani MTU akitoka kwenda sehem kutafuta kikubwa lazima aonekane ametoka Kwa bifu kule anako kuacha.
😀😀😀 usicheke huo ndio ukweli hakuna wafanya biashara pale wale ni waswahili walikuja ma mfumo wa clouds plus ushirikina kwaiyo kwakua aliyekuwa nao katika kuna uwezekano wakapwaya maana anajua chochoro zao
usicheke huo ndio ukweli hakuna wafanya biashara pale wale ni waswahili walikuja ma mfumo wa clouds plus ushirikina kwaiyo kwakua aliyekuwa nao katika kuna uwezekano wakapwaya maana anajua chochoro zao
Wale bila kiki na ujinga ujinga hakuna mziki ona dai anajua kabisa wimbo wa baba lao ni copy and paste ila kaimba kafanya na video lengo nini apate kiki azungumziwe kwenye social media
Sasa miye ningekuwa meneja wa harmonize mda huu huu dai kachia wimbo ambao watu washajua ameukopy na miye naachia kitu matata no copying kitu OG ili nimkalishe boss na nimpanikoshe kabisa
Fella kawashindwaa yamoto band, kawashimdwa T.M.K, uyo babu tale kawakimbia Tip top au mgeni mjini hapa
Wanaweza kubeba ngada, maana mziki bongo si rahisi kama wanavyoona zamani uzinduzi tu wa ablam tulizaja diamond jubilee, bado kwa mdosi japo tuliibiwa ila pesa kidogo tuliona bado show za mikoni japo mapromota wanazingua ila tulipata kidogoHebu njoo Pwani kuna vijana huku wanahitaji usimamizi.. Wana vipaji lakini hawama mwongozo