Kaduguda
JF-Expert Member
- Aug 1, 2008
- 724
- 641
Wadau kuna mbunge wa Mtera kupitia CCM naona anafoka hapa bungeni na kutoa povu kwamba CHADEMA wanafadhiliwa na Ujerumani ili kupinga muswaada wa katiba mpya na kusababisha machafuko katika nchi hii. Naona huu kama uzushi usio kifani ambao una namna ya udaku fulani hivi! Na kama ni kweli basi kuna tatizo hapa! Vinginevyo hapa kuna umuhimu wa kuiomba serikali ya Ujerumani ilitolee ufafanuzi suala hili au huyu mbunge afute kauli yake.