Ungeeleza na vyanzo vya majanga hayo ungesaidiwa lakini unaonekana kama unabashiri bashiri tu.
BaRaa; utabiLi... BaRaa ni neno la kiarabu maanake TANGAZO/kupiga mbiu. utabiLi em tuekee hapa maana yake. vinginevyo hariri uzi wako uondoe huo ukakasi mkuu
Mkuu hili neno zuri ni baraa au majanga kwani angako lolote la chama lina athari kubwa kwa viongozi ,wanachama na mali za chama. Mambo hayo yanaweza kupelekea baadhi yao wajae ndani ya nondo imara na pia kufirisi baadhi ya watu na kutaifishwa baadhi ya mali za chama , viongozi na hata wanachama.Hili kama si baraa au majanga ni nini?
mbona sioni mbadala wa nambari wani?