Ni kweli au hawa wasudani wanatupiga fix tu?

Danpol

JF-Expert Member
Aug 15, 2013
5,682
8,809
Nimepita kwenye account yao nikakutana na hii habari, nikashtuka kidogo, ni zaidi ya nusu ya kikos hiki, inasadika kuna waliougua covid 19, wengine injuries na wengine ni kadi (wapo watatu)

Lakini swali langu ni Je, hii idadi ya hawa watu ni sahihi?

Naishauri Simba sc isije bweteka na hili, ijiandae full mziki ikiwa ni kweli tuwaue kabisa ikiwa ni fx tuwe na uhakika wa point yetu moja.

au tatu
Screenshot_20210305-104727.jpg
 
Hiyo ya kadi ni kweli.
Ila kwakuwa Simba hawajawafanyiwa mizengwe kama walivyofanyiwa Namungo kule Angola - Ni jambo zuri.
Nasi tutawapokea bila mizengwe.

Wakileta mizengwe nasi 'kamati ya roho mbaya' tutafanya mara mbili yao.
Kwa hiyo hata yule Mganga wenu wa kuingia na Paka uwanjani hatakuwepo kwenye hiyo mechi yenu ya marudio? Maana huwa hamtabiriki nyinyi!!😟
 

Michuano ya Caf ligi ya mabingwa, Wachezaji Simba watengewa mamilioni wakiishinda El Merrikh​


Source: Global tv online


Caf Champions League: Simba SC promised Tsh200m if they beat Al Merrikh
Posted byGoal.comMarch 3, 2021

The Msimbazi officials have once again tabled a cash incentive to the squad, should they beat the Red Devils in Khartoum
Simba SC management has for the third time offered cash incentives to the team, this time if they beat Al Merrikh in their Caf Champions League fixture on Saturday.

Ahead of their first Group A match against AS Vita Club of the Democratic Republic of the Congo, Simba players were promised Tsh200m – which they received after beating the hosts 1-0 away in Kinshasa.
The Msimbazi giants were also offered Tsh200m if they beat Egyptian champions Al Ahly in Dar es Salaam for their second match – which they pocketed after they won the game 1-0.

Editors’ Picks

Goal can exclusively reveal Simba management through chairman Mohamed Dewji have promised each player another Tsh200m as an incentive if they beat the Sudanese outfit away.
“The team management led by Dewji met players on Monday for a closed-door meeting and they openly told them each one of them will pocket Tsh200m if they return home with victory from Sudan,” a source in Simba, who attended the meeting and did not want to be named, told Goal on Wednesday.
The management feels the players deserve more [from them], they deserve to be boosted and such incentives will give them the result they want, and the players have promised they will deliver by beating Al Merrikh.”
On Tuesday, Simba coach Didier Gomez Da Rosa warned his players to prepare for a real fight against the Sudanese side.
“They have already lost twice and the last time it was at home but I know these players and the team very well, they are very dangerous at home and they have a squad of proud players who cannot allow losing three matches in a row in the competition,” Da Rosa told Goal on Monday.
“Al Merrikh is one of the biggest clubs in Africa and so we must be very serious, ready, and convinced that we have the quality, the ability, and the discipline to get a very good result there.
“But to be honest, it will be a very big fight because like I said Al Merrikh cannot accept to lose three times consecutively so we must be ready but you know what we have already done against Al Ahly and if we are able to play like we did [against Al Ahly] in Sudan, we have some clear hopes to win.”
Source : Caf Champions League: Simba SC promised Tsh200m if they beat Al Merrikh - Football News 24
 
Nimepita kwenye account yao nikakutana na hii habari, nikashtuka kidogo, ni zaidi ya nusu ya kikos hiki, inasadika kuna waliougua covid 19, wengine injuries na wengine ni kadi (wapo watatu)

Lakini swali langu ni Je, hii idadi ya hawa watu ni sahihi?

Naishauri Simba sc isije bweteka na hili, ijiandae full mziki ikiwa ni kweli tuwaue kabisa ikiwa ni fx tuwe na uhakika wa point yetu moja.

au tatuView attachment 1717911
Tusubiri tuone dakika 90 zinaongea hapo kesho!!
 
Hiyo ya kadi ni kweli.
Ila kwakuwa Simba hawajawafanyiwa mizengwe kama walivyofanyiwa Namungo kule Angola - Ni jambo zuri.
Nasi tutawapokea bila mizengwe.

Wakileta mizengwe nasi 'kamati ya roho mbaya' tutafanya mara mbili yao.
Nilimsikia manara anasema hawajafanyiwa mizengwe na vipimo vya covid wote wametoka salama
 
Back
Top Bottom