ChescoMatunda
JF-Expert Member
- Jan 7, 2009
- 1,232
- 443
:tape😀uh!! duh duh hii kali Nakohoa tuu wajameni sijasema kitu!!
mhh naogopa ku comment maana huyu mama analindwa kweli kwlei hapa JF..Muulize Kigogo kafanywa nini kwa kum comment huyu mama...yangu macho
Kumradhi mapema kaka. But this is id!otic. Re-read your post again. Who are you now, a prophet?
mafisadi gani hao waliosherehekea kuanguka kwa 6?
Akina mama nao wanaweza
Kwa upande wa kidini mwanamke yeyote anaekimbilia kuwa na mamlaka juu ya wanaume huyo anajulikana kama Yezebel. Yezebel ni mwanamke aliyejiweka juu ya watumishi wa Mungu kwa kumpiku mmewe Ahabu aliyekuwa mfalme wakati huo. Huyu spika tuliye naye sasa hana tofauti na Yezebel na kibaya zaidi kawekwa pale na kundi lililojiapisha kudhulumu haki ya wanyonge (mafisadi) na tayari kashaanza kuwazuga wananchi kuhusu maana ya fisadi tofauti na jinsi walivyowapa jina hilo wezi wa hazina ya taifa. Kuhusu usawa wa kijinsia, haiingii akilini kunyanyasa kijinsia kwa maana ya kutibu unyanyasaji kijinsia. Sita hakuondolewa katika nafasi yake kwa kushindwa kuimudu bali ameondolewa pale kwa sababu moja tu kwamba yeye ni mwanamume. Huu ni unyanyasaji wa kijinsia wa kiwango cha juu kabisa. Kama sivyo basi kauli za makamba kuhusu kuondolewa kwa Sitta zifutwe.........Sasa hivi nimepoteza imani na bunge kwa asilimia 85 unless otherwise!
Siamini kuwa huyu Anna Semamba Makinda aliyechaguliwa na Wabunge wa CCM kwa kishindo baada ya kuteuliwa na CCM(CHAMA CHA MAFISADI) ameanza kuchemsha hata kabla ya Bunge kuanza rasmi.
Anne Makinda ameanza kuropoka na kuongea hovyo kana kwamba bado ni Mbunge wa kawaida. Inasikitisha sana. Kuna kauli mbili zenye utata ambazo tayari ameshazitoa katika siku hizi mbili. Hebu tizijadili:
Kwa hiyo BELIEVE ME,ANNA MAKINDA HATAKUWA SPIKA MZURI WA HILI BUNGE LA 10. YEYE ATAKUWA NI MWANAMKE WA KWANZA KUWA SPIKA NA SPIKA ALIYE MBOVU KABISA KULIKO MASIPIKA WOTE WALIOWAHI KUONGOZA BUNGE LA TANZANIA TOKEA WAKOLONI MPAKA SASA.
- Kwamba FISADI ni yule anayeiba WAKE ZA WATU. Siamini masikio yangu kama kweli huyu mama ameongea kwa dhamiri toka moyoni au ilikuwa ni joke! Kama ni joke basi HATATUFAA kwenye nafasi hii ya Spika kwasababu huwezi kuanza kuleta utani kwenye maswala ambayo ni very sensitive kama hili la UFISADI. Hii tayari inaanza kutupa picha na uhalisia wa Spika tuliyenaye. Kama ameshaanza kupindisha maana halisi ya UFISADI ndipo tuanze kujua kuwa huyu mama kweli amewekwa na MAFISADI na tayari ameshaanza kazi ya kuwasafisha mafisadi.
- Kwamba katika kuzungumzia UHUSIANO wake na Spika Samwel Sitta kuwa ni kaka yake na anamheshimu na kama kuna mazuri au mabaya yaliyofanyika kwenye uongozi wa Spika Sitta na yeye anahusika. Sawa. Kauli iliyonipa utata mimi ni hiii ya kusema kuwa anamuheshimu Spika Sitta na kama Jina la Sitta lingelikuwemo kwenye orodha ya walioomba kugombea Uspika yeye angetoa jina lake!!!Uongo mkubwa. Kila mtu anajua kuwa Sita alishatangaza mapema kuwa ataendelea kuwania kiti chake cha Usipika na mdiyo maana hata mzee wa Vijisenti Chenge alianza kumrushia makombora Sitta kuwa hafai. Katika majina 13 yaliyopelekwa CC jina la Sitta lilikuwemo,Je mbona hatukumsikia Anne akijitoa kumwachia kaka yake Sitta anayemweheshimu. Na kama Chenge alitupa lawama kwa Spika Sitta kuwa aliliongoza Bunge vibaya basi nayeye Makinda ANAHUSIKA MAANA ALIKUWA NAIBU WAKE kwa hiyo na yeye angewajibika kwa kutoa jina lake lakini haikuwa hivo. Kwa hiyo huyu mama ni mwongo,mzushi na kigeugeu na hii inathibitisha tu kuwa ni kweli akatae au akubali ukweli ni kwamba yeye ametumwa na hao MAFISADI kuwa angombee hiyo nafasi ili kumtibulia na hatima yake kumnng'oa Spika Sita ili MAFISADI wapate nafasi ya kufanya mipango yao ya UFISADI na kuandaa Rais wao atakayekuja 2015.
Wakti mwingine inabidi watu turudi kwenye vitabu vitakatifu kabla hatujachukua maamuzi. Kweli watu wanazungumzia GENDER ISSUES,GENDER EQUALITY,etc. Usawa na upuuzi mwingine kama huo. Lakini hebu tuwe wa kweli wa kusema;call a spade a spade and not a big spoon. Biblia inasema SIMPI RUHUSA YA MWANAMKE KUMTAWALA MWANAMME.Yes,I like this. Utasema oh,mfumo dume,oh unyanyasaji wa kijinsia etc,etc.Lakini ukweli utasimama. Mwanamke hapashwi kuongoza wanaume,NEVER! Hiyo ni Biblia,Huyo ni Mungu. Anayepingana na hilo ataona matokeo yake. CCM kimetufikisha hapo kwa kisingizio cha kijinga kabisa! Kwamba ati tangu tupate uhuru nchi yetu haijawahi kuweka mwanamke kwenye mojawapo ya mihimili 3 ya nchi! Ebo,yaani all thise years mlikuwa wapi,mmekuja kuzinduka kwenye kiti cha Usipika 2010 kuwa ndiyo awe mwanamke. Basi na Waziri Mkuu 2010 awe mwanamke na Rais wa 2015 wekeni mwanamke halafu mtaona muziki wa kinamama kuendesha nchi!! Hivi kwanini mnafikiri Mungu amekataza wanawake wasiwatawale wanaume? Kwanini wanawake hawaruhusiwi kuwa Wachungaji au Mapadre?Je, kuna mwanamke anaweza kumuweka mwanamme mimba?? Show me one. Watu wanatafsri vibaya kuhusu hii lugha ya usawa. Ni katika maeneo fulani fulani tu siyo kuwa mwanamke anaweza kufanya kila jambo. Kuna mambo wanawake hawayawezi na hawatakaa wayaweze hata siku moja!Maumbile yao proves what they are. Biblia ina sema kuwa KAENI NA WANAWAKE KWA AKILI MAANA NI VIUMBE DHAIFU.That is the Bible. Kiumbe dhaifu unakipa kuongoza mhimili wa nchi kama Bunge,what do you expect?Sitaki kuingia sana into details kuhusu hayo lakini is a big discussion forum.
Mbona JK hakuanzaia kwake kwa kujitoa kwenye kugombea Urais akawaachia mwanamke ili awe Rais wa kwanza mwanamke? Kwanini Mwanamke aanzie kwenye Bunge kama siyo ilikuwa janja ya kumwengua Sitta.
Matokeo yake hayako mbali sana mtaanza kuyaona muda si mrefu.
CCM msifikiri Watanzania tunadanganyika kwa upuuzi wenu huu mnaowafanyia. Anne Semamba Makinda tuna uhakika AMEWEKWA KWA AJILI YA MASLAHI YA MAFISADI n akuna gazeti leo limeandika kuwa MAFISADI WAMEKUNYWA POMBE KUSHANGILIA KUONG'OLEWA KWA SPIKA SITTA.
Iko siku CCM mtakuja kulipia uhuni mnatufanyia Watanzania.
Wasaalamu.
Sifa kubwa ambayo ssm wanataka kuwarithisha watanzania ni UNAFIKI na Mama hana jipya anauendeleza. Ole wako wananjombe kusini wakizinduka usingizini. Muulize Masha!!!! mtzzzzzzzssssSiamini kuwa huyu Anna Semamba Makinda aliyechaguliwa na Wabunge wa CCM kwa kishindo baada ya kuteuliwa na CCM(CHAMA CHA MAFISADI) ameanza kuchemsha hata kabla ya Bunge kuanza rasmi.
Anne Makinda ameanza kuropoka na kuongea hovyo kana kwamba bado ni Mbunge wa kawaida. Inasikitisha sana. Kuna kauli mbili zenye utata ambazo tayari ameshazitoa katika siku hizi mbili. Hebu tizijadili:
Kwa hiyo BELIEVE ME,ANNA MAKINDA HATAKUWA SPIKA MZURI WA HILI BUNGE LA 10. YEYE ATAKUWA NI MWANAMKE WA KWANZA KUWA SPIKA NA SPIKA ALIYE MBOVU KABISA KULIKO MASIPIKA WOTE WALIOWAHI KUONGOZA BUNGE LA TANZANIA TOKEA WAKOLONI MPAKA SASA.
- Kwamba FISADI ni yule anayeiba WAKE ZA WATU. Siamini masikio yangu kama kweli huyu mama ameongea kwa dhamiri toka moyoni au ilikuwa ni joke! Kama ni joke basi HATATUFAA kwenye nafasi hii ya Spika kwasababu huwezi kuanza kuleta utani kwenye maswala ambayo ni very sensitive kama hili la UFISADI. Hii tayari inaanza kutupa picha na uhalisia wa Spika tuliyenaye. Kama ameshaanza kupindisha maana halisi ya UFISADI ndipo tuanze kujua kuwa huyu mama kweli amewekwa na MAFISADI na tayari ameshaanza kazi ya kuwasafisha mafisadi.
- Kwamba katika kuzungumzia UHUSIANO wake na Spika Samwel Sitta kuwa ni kaka yake na anamheshimu na kama kuna mazuri au mabaya yaliyofanyika kwenye uongozi wa Spika Sitta na yeye anahusika. Sawa. Kauli iliyonipa utata mimi ni hiii ya kusema kuwa anamuheshimu Spika Sitta na kama Jina la Sitta lingelikuwemo kwenye orodha ya walioomba kugombea Uspika yeye angetoa jina lake!!!Uongo mkubwa. Kila mtu anajua kuwa Sita alishatangaza mapema kuwa ataendelea kuwania kiti chake cha Usipika na mdiyo maana hata mzee wa Vijisenti Chenge alianza kumrushia makombora Sitta kuwa hafai. Katika majina 13 yaliyopelekwa CC jina la Sitta lilikuwemo,Je mbona hatukumsikia Anne akijitoa kumwachia kaka yake Sitta anayemweheshimu. Na kama Chenge alitupa lawama kwa Spika Sitta kuwa aliliongoza Bunge vibaya basi nayeye Makinda ANAHUSIKA MAANA ALIKUWA NAIBU WAKE kwa hiyo na yeye angewajibika kwa kutoa jina lake lakini haikuwa hivo. Kwa hiyo huyu mama ni mwongo,mzushi na kigeugeu na hii inathibitisha tu kuwa ni kweli akatae au akubali ukweli ni kwamba yeye ametumwa na hao MAFISADI kuwa angombee hiyo nafasi ili kumtibulia na hatima yake kumnng'oa Spika Sita ili MAFISADI wapate nafasi ya kufanya mipango yao ya UFISADI na kuandaa Rais wao atakayekuja 2015.
Wakti mwingine inabidi watu turudi kwenye vitabu vitakatifu kabla hatujachukua maamuzi. Kweli watu wanazungumzia GENDER ISSUES,GENDER EQUALITY,etc. Usawa na upuuzi mwingine kama huo. Lakini hebu tuwe wa kweli wa kusema;call a spade a spade and not a big spoon. Biblia inasema SIMPI RUHUSA YA MWANAMKE KUMTAWALA MWANAMME.Yes,I like this. Utasema oh,mfumo dume,oh unyanyasaji wa kijinsia etc,etc.Lakini ukweli utasimama. Mwanamke hapashwi kuongoza wanaume,NEVER! Hiyo ni Biblia,Huyo ni Mungu. Anayepingana na hilo ataona matokeo yake. CCM kimetufikisha hapo kwa kisingizio cha kijinga kabisa! Kwamba ati tangu tupate uhuru nchi yetu haijawahi kuweka mwanamke kwenye mojawapo ya mihimili 3 ya nchi! Ebo,yaani all thise years mlikuwa wapi,mmekuja kuzinduka kwenye kiti cha Usipika 2010 kuwa ndiyo awe mwanamke. Basi na Waziri Mkuu 2010 awe mwanamke na Rais wa 2015 wekeni mwanamke halafu mtaona muziki wa kinamama kuendesha nchi!! Hivi kwanini mnafikiri Mungu amekataza wanawake wasiwatawale wanaume? Kwanini wanawake hawaruhusiwi kuwa Wachungaji au Mapadre?Je, kuna mwanamke anaweza kumuweka mwanamme mimba?? Show me one. Watu wanatafsri vibaya kuhusu hii lugha ya usawa. Ni katika maeneo fulani fulani tu siyo kuwa mwanamke anaweza kufanya kila jambo. Kuna mambo wanawake hawayawezi na hawatakaa wayaweze hata siku moja!Maumbile yao proves what they are. Biblia ina sema kuwa KAENI NA WANAWAKE KWA AKILI MAANA NI VIUMBE DHAIFU.That is the Bible. Kiumbe dhaifu unakipa kuongoza mhimili wa nchi kama Bunge,what do you expect?Sitaki kuingia sana into details kuhusu hayo lakini is a big discussion forum.
Mbona JK hakuanzaia kwake kwa kujitoa kwenye kugombea Urais akawaachia mwanamke ili awe Rais wa kwanza mwanamke? Kwanini Mwanamke aanzie kwenye Bunge kama siyo ilikuwa janja ya kumwengua Sitta.
Matokeo yake hayako mbali sana mtaanza kuyaona muda si mrefu.
CCM msifikiri Watanzania tunadanganyika kwa upuuzi wenu huu mnaowafanyia. Anne Semamba Makinda tuna uhakika AMEWEKWA KWA AJILI YA MASLAHI YA MAFISADI n akuna gazeti leo limeandika kuwa MAFISADI WAMEKUNYWA POMBE KUSHANGILIA KUONG'OLEWA KWA SPIKA SITTA.
Iko siku CCM mtakuja kulipia uhuni mnatufanyia Watanzania.
Wasaalamu.
any way , tusimpuuze huyu mdau nae inawezekana ana aikli
ndugu zangu, najua sote tumeumizwa sana na padri Slaa kutokuwa raisi, juhudi za maaskofu na wana mtandao wengine wa kanisa waliojivika kofia za wanaharakati wa demokrasia hazikusaisia, ifike wakati tuache jazba tuwe wazalendokwani kura zimeamua
hiviiiiiii kwani Biblia ina ruhusu kuiba wake za watu? au tulipo fungua tu ukurasa ulio funguka uliandika kwamba mwanamke hafai kuwa kiongozi,, na tumsaidie mwenzetu juuu ya kazi za spika kama yeye ni mtawala au kiongozi wa bunge, na kama ni kiongozi basi quotation zaka za Biblia hapa hza apply kwani anaekemewa na Mungu ni mwanamke anae watawala wanaume
aaaaaa bana tunatia aibu,,, hivi nani asie jua kuwa kampeni za chadema zilifadhiliwa na Alex Massawe, lile jambazi la Moshi, nani asiye jua fedha za kuendeshea Chadema zinatoka kwa ufulisi na uhujumu uchumi uliofanywa na viongozi waandamizi wake wa akina mzee MTEI,, ANY WAY TUANGALIE TULIKO JIKWAAAIYA SIO TULIPOANGUKIA
TUACHENI UTABIRI WA KINA SHEIKH YAHYA
TUMUACHENI TUMUONE
Akina Makoye2009 ndiyo nyinyi munaokaa mumejifungia na kuanza kusema vitu vya ajabu ajabu visivyokuwa na mpangilio kwa visingizio vya kuchomoa sentensi moja kutoka kwenye kitabu cha dini na kukitolea maelezo kwa urefu.
Si ajabu wewe wasichana walikuwa wanakupita kwa saaaaaana huko madarasani ndiyo maana ukawa na hasira. Na hata hizo arguments zako zinaonyesha hivyo.
Endeleeni kulala tu akina nyinyi. Muwacheni mama wa watu aongoze mumeanza kumhujumu hata hajaanza kazi.
Kwani huyo Sitta ndiyo msafi hivyo?
Naomba nikusaidie.
1. Tafsiri rasmi ya FISADI... ndiyo hiyo aliyotoa huyo mama.
2. Kuhusu kumwachia SITA anamaanisha ingekuwa kwenye majina matatu ya kwenda kwenye uchaguzi ndani ya wabunge wa CCM angetoa jina lake. Hii ni sawa sawa na Jenista Mhagama alivyomwachia Job Ndugai.
Sasa kosa wapi hapo?
hahahahahahahaha:tape:
Natamani kukutusi ila naogopa ban.any way , tusimpuuze huyu mdau nae inawezekana ana aikli
ndugu zangu, najua sote tumeumizwa sana na padri Slaa kutokuwa raisi, juhudi za maaskofu na wana mtandao wengine wa kanisa waliojivika kofia za wanaharakati wa demokrasia hazikusaisia, ifike wakati tuache jazba tuwe wazalendokwani kura zimeamua
hiviiiiiii kwani Biblia ina ruhusu kuiba wake za watu? au tulipo fungua tu ukurasa ulio funguka uliandika kwamba mwanamke hafai kuwa kiongozi,, na tumsaidie mwenzetu juuu ya kazi za spika kama yeye ni mtawala au kiongozi wa bunge, na kama ni kiongozi basi quotation zaka za Biblia hapa hza apply kwani anaekemewa na Mungu ni mwanamke anae watawala wanaume
aaaaaa bana tunatia aibu,,, hivi nani asie jua kuwa kampeni za chadema zilifadhiliwa na Alex Massawe, lile jambazi la Moshi, nani asiye jua fedha za kuendeshea Chadema zinatoka kwa ufulisi na uhujumu uchumi uliofanywa na viongozi waandamizi wake wa akina mzee MTEI,, ANY WAY TUANGALIE TULIKO JIKWAAAIYA SIO TULIPOANGUKIA
TUACHENI UTABIRI WA KINA SHEIKH YAHYA
TUMUACHENI TUMUONE