Tundapori
JF-Expert Member
- Aug 12, 2007
- 645
- 260
Joka kuu nina hasira sana na huyu mama kiukweli lakini imebidi nicheke tu kwamba akiulizwa kuhusu vigogo atasema ni vipande vya miti .. huu umetoa mfano mzuri sana maana nilikuwa nikijaribu kufikiria niandike kitu gani kieleweke kwa urahisi but thanx that u made it clear.
Fisadi ni mwinzi wa wake za watu!!!
Hili ni jibu la kutaka kuzingua tu watu ndiyo majibu ya kisanii hayo.
Anajua fika kabisa nini maana ya neno fisadi katka Tanzania ya leo.
kwa maana nyingine hilo ni jibu la mipasho zaidi.