Ni kwanini watu wengi hasa watanzania wanaipenda Rwanda?

MAHORO

JF-Expert Member
Sep 3, 2013
7,585
2,568
Wadau...
Huwa nikipita mitaani hapa Tanzania huwa hasikia watu wengi wakiisifia Sana inchi ya Rwanda na rais wao mpendwa kagame..

Inafikia hatua Hadi wanatamani Sana kuwa wanyarwanda kulingana na mafanikio waliyonayo kwa kipindi kifupi know..

Mfano, utasikia watu wakisema eti mm Babu yangu ama Bibi yangu ametokea Rwanda, wengine wakifanana kidogo tu na wa kule lazima wanajiita wanyarwanda na wanajivunia Sana nchi hiyo hata Kama siyo kwao..

Hata mikoa na sehemu nyingi za pembezoni Kama kigoma, na baadhi ya sehemu za kagera watu wengi wanajivunia kuwa wanyarwanda kuliko watanzania..

Nashindwa kujua tatizo ni mini..
Je,

Tumekosa uzalendo?

Rwanda inavutia Sana kuliko Tanzania?

Maendeleo ya Rwanda ndio yanatuvutia zaidi?
..



Naomba kutoa hoja.
 
Msishangae.... hilo ni moja wapo la tango pori linalosambaa kwa media za Rwanda,

angesema tunapenda mabinti zao ingeleta ka ukweli fulani.........umeshaona mtanzania gani anakwenda kutafuta maisha Rwanda?
Zaidi ni wao kuja bongo kusaka life... btw Kigali ni sehemu ndogo ya kawaida ambayo ukitembea kwa bicycle muda mfupi utakuwa umepamaliza.
 
Msishangae.... hilo ni moja wapo la tango pori linalosambaa kwa media za Rwanda,

angesema tunapenda mabinti zao ingeleta ka ukweli fulani.........umeshaona mtanzania gani anakwenda kutafuta maisha Rwanda?
Zaidi ni wao kuja bongo kusaka life... btw Kigali ni sehemu ndogo ya kawaida ambayo ukitembea kwa bicycle muda mfupi utakuwa umepamaliza.
Wanajipendekeza sana Tanzania.
 
Duh haya ni maajabu ya 10 ya dunia, watanzania waipende Rwanda?????? Kwa kipi haswa?? Ka nchi hata mkononi hakajai ni wakimbizi wao tu walioko bongo labda ndio wanapakumbuka kwao lakini asilimia kubwa hawataki hata kurudi huko kwa mishale...cc operation kimbunga....JK kiboko yao.
 
Mimi nilianzia kugegeda mnyaru, ndicho nawakumbukia tu.

lkn sijawaza kuishi Rwanda, hata nikipewa ubarozi Rwanda ntakataa,

lkn wanyarwanda wanadharau sana, wananyodo na maringo.

dawa yao ipo 2035 nikiwa rais wa hii inji
 
Rwanda nahc katika Africa inaongoza kwa kua na wanawake na warembo wazuri zaidi. I also ponder to marry a woman from Rwanda. Help me God!
 
Back
Top Bottom