Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,344
- 159,496
🤣🤣🤣🤣 acha tu mwenyekiti!Katibu unacheka kiSukUma
🤣🤣🤣🤣 acha tu mwenyekiti!Katibu unacheka kiSukUma
Kijana kaliwa nauli anakuja kutukana nchi nzima🤣🤣🤣🤣 acha tu mwenyekiti!
Hii ndio ulitakiwa uiweke km 'title head' pale juu, noma sana ni hatari kweli kweliWamegeuka kuwa ombaomba kwa kutumia jinsia zao.
🤣🤣🤣Kijana kaliwa nauli anakuja kutukana nchi nzima
KATAA NDOA LINDA MAISHA YAKOKizazi cha kondomu hakiambiliki..
Ndoa ni kamaliKATAA NDOA LINDA MAISHA YAKO
Haujakifikiwa na hao matapeli wa kutumia jinsia zao kufanya utapeli, utasikia nakupa na blow jobs ukisikia hivyo ficha kibundaSijui kwanini watu wanaona mapokeo yao binafsi yanatosha kukashifu kundi la watu/jamii nzima.
Mchawi ni 50/50.Ni kwanini wanawake siku hizi wamekuwa waovu Sana.
Wanawake wengi wamejaa ujeuri, umalaya, roho mbaya, uongo, Ukatili, kukosa utu, kupenda pesa kupita kiasi.
Mbona wanawake miaka ya 2000 down hawakuwa hivyo. Hizi tabia siku wamezitoa wapi.
Wanawake wamekuwa vyanzo vikubwa vya uvunjifu wa ndoa. Wanawake hawaheshimi tena waume zao. Hawa watu wamevamiwa na nini? Wanawake wameiharibu mno dunia. Wanafanya umalaya utafikili mbwa. Wamegeuka kuwa ombaomba kwa kutumia jinsia zao.
Sijui wamepatwa na nini
Usi kubali iku haribie maisha yako, wapo wenye ndoa nzuri.Ndoa ni kamali
Sio tu bj wanasemaga ntakupa kila kituHaujakifikiwa na hao matapeli wa kutumia jinsia zao kufanya utapeli, utasikia nakupa na blow jobs ukisikia hivyo ficha kibunda
Utasikia nakupa na blow jobs wakati huo mkono umeshafika kwenye mfuko wa nyuma unataka wallet ilipoNdoa ni kamali
Ndoa ni ujambazi wa bila silahaUsi kubali iku haribie maisha yako, wapo wenye ndoa nzuri.
Wapo wenye mabomu mazito shingoni😄
Wewe unasemaga HIVYO Mimi hunikamati kirahisi 'kila kitu' ndio nini?Sio tu bj wanasemaga ntakupa kila kitu
Napenda familia Sana, shida hizi mambo za kugawana nilicho tafuta ni matatizo.Ndoa ni ujambazi wa bila silaha
Mali kitu gani ndugu, kesho unadanja shwaaaa ndani ya futi sita unaacha hicho kitv na sabufa...Napenda familia Sana, shida hizi mambo za kugawana nilicho tafuta ni matatizo.
Madam watu Wana tofautiana, nime bahatika kuhudhuria wiki hii kesi ya familia 1.Mali kitu gani ndugu, kesho unadanja shwaaaa ndani ya futi sita unaacha hicho kitv na sabufa...
Mie katika vitu sinaga muda wa kuwaza ni mali ya mtu
Mambo Mrs bui bui😹😹 hehee