Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 11,634
- 26,373
Wataalamu naombeni majibu,
Kwanini chanjo nyingi hata hii ya Covid 19 zinatolewa kwa kuchomwa begani na sio sehemu nyingine kama makalio au mapajani au kuingizwa kwenye mshipa wa damu moja kwa moja?
Nimeuliza hili swali baada ya raisi mtata wa Phillipines Rodrigo Duterte kutangaza kwamba yeye atachanjwa chanjo ya Covid 19 kwenye makalio na sio begani, huu uamuzi wake ulileta maoni mchanganyiko kutoka kwa wataalamu nguli wa chanjo kutoka nchi mbalimbali.
Na mimi nikaona niulize,Je haiwezekani kuchomwa chanjo sehemu nyingine za mwili?
Ahsante
Kwanini chanjo nyingi hata hii ya Covid 19 zinatolewa kwa kuchomwa begani na sio sehemu nyingine kama makalio au mapajani au kuingizwa kwenye mshipa wa damu moja kwa moja?
Nimeuliza hili swali baada ya raisi mtata wa Phillipines Rodrigo Duterte kutangaza kwamba yeye atachanjwa chanjo ya Covid 19 kwenye makalio na sio begani, huu uamuzi wake ulileta maoni mchanganyiko kutoka kwa wataalamu nguli wa chanjo kutoka nchi mbalimbali.
Na mimi nikaona niulize,Je haiwezekani kuchomwa chanjo sehemu nyingine za mwili?
Ahsante