Ni kwanini sasa miaka 58 ya Uhuru wa Tanganyika iadhimishiwe jijini Mwanza?

G Sam

JF-Expert Member
Apr 20, 2013
11,555
35,880
Huku kukiwa na lundo la tuhuma kuwa utawala wa awamu ya tano umegubikwa na ubaguzi wa kikanda hatimaye Rais John Pombe Magufuli atakuwa mgeni rasmi katika maadhimisho ya miaka 58 ya uhuru wa Tanganyika. Sherehe hizo kwa mara ya kwanza zinafanyika nje ya makao makuu ya nchi ukiachilia mbali serikali ilipohamia Dodoma.

Swali la msingi ni kwanini sherehe hizo ziende jijini Mwaanza eneo ambalo limetawaliwa na kabila atokalo Rais Magufuli? Ni hoja gani hasa iliyotumika kuzipeleka jijini humo?

Ni jambo la ajabu kuona serikali ikikumbatia waziwazi upendeleo wa ukanda! Haya yanayofanywa yanatupa sisi ari ya kujiridhisha kuwa tumetawaliwa na upendeleo wa waziwazi wa kikabila awamu hii ya uongozi.

Kwa maana hiyo sasa jeshi, viongozi wote wa juu pamoja na wageni wanapelekwa Mwanza ili kuhudhuria sherehe za uhuru.

Siwezi kusema mengine yaliyotokea huko nyuma katika utawala huu yakionyesha mwenendo mbaya wa kikabila ila kiukweli jambo hili halileti picha nzuri hata kidogo.

Hii ni Tanzania imejengwa ila kiobomoa ni kazi rahisi sana.
 
Huku kukiwa na lundo la tuhuma kuwa utawala wa awamu ya tano umegubikwa na ubaguzi wa kikanda hatimaye Rais John Pombe Magufuli atakuwa mgeni rasmi katika maadhimisho ya miaka 58 ya uhuru wa Tanganyika. Sherehe hizo kwa mara ya kwanza zinafanyika nje ya makao makuu ya nchi ukiachilia mbali serikali ilipohamia Dodoma.

Swali la msingi ni kwanini sherehe hizo ziende jijini Mwaanza eneo ambalo limetawaliwa na kabila atokalo Rais Magufuli? Ni hoja gani hasa iliyotumika kuzipeleka jijini humo?

Ni jambo la ajabu kuona serikali ikikumbatia waziwazi upendeleo wa ukanda! Haya yanayofanywa yanatupa sisi ari ya kujiridhisha kuwa tumetawaliwa na upendeleo wa waziwazi wa kikabila awamu hii ya uongozi.

Kwa maana hiyo sasa jeshi, viongozi wote wa juu pamoja na wageni wanapelekwa Mwanza ili kuhudhuria sherehe za uhuru.

Siwezi kusema mengine yaliyotokea huko nyuma katika utawala huu yakionyesha mwenendo mbaya wa kikabila ila kiukweli jambo hili halileti picha nzuri hata kidogo.

Hii ni Tanzania imejengwa ila kiobomoa ni kazi rahisi sana.
Hakuna hoja hapa na tafadhali leteni mada zenye mashiko na manufaa kwa nchi ili tujadili na kueleweshana.
 
Kwani mkuu what is so special about hiyo 58??

Mbona hukulalamika kuhusiana na 57, 56, au 50 au 45??

Sherehe za Uhuru miaka 50 zilifanyika wapi??

Kwa fikra zangu miaka 58 haina uzito wa miaka 25,50,75, 100 katika kumbukizi.

Ingawa hata hivyo Mwanza ni sehemu ya Tanganyika na kufanyika kwa sherere yeyote nje ya uwanja wa Uhuru hakuondoi kumbukizi adhimu kabisa kwa Taifa hili, bado mioyoni mwetu tunaikimbuka 9th Dec,1961 na kuisherehekea popote pale katika jamhuri yetu hii pendwa.
 
Kwani mkuu what is so special about hiyo 58??

Mbona hukulalamika kuhusiana na 57, 56, au 50 au 45??

Sherehe za Uhuru miaka 50 zilifanyika wapi??

Kwa fikra zangu miaka 58 haina uzito wa miaka 25,50,75, 100 katika kumbukizi.

Ingawa hata hivyo Mwanza ni sehemu ya Tanganyika na kufanyika kwa sherere yeyote nje ya uwanja wa Uhuru hakuondoi kumbukizi adhimu kabisa kwa Taifa hili, bado mioyoni mwetu tunaikimbuka 9th Dec,1961 na kuisherehekea popote pale katika jamhuri yetu hii pendwa.
Hamuwezi kuelewa ila mwenyekiti wenu ni mtu anayetukuza ukanda kwenye mambo ya kitaifa.
 
Huku kukiwa na lundo la tuhuma kuwa utawala wa awamu ya tano umegubikwa na ubaguzi wa kikanda hatimaye Rais John Pombe Magufuli atakuwa mgeni rasmi katika maadhimisho ya miaka 58 ya uhuru wa Tanganyika. Sherehe hizo kwa mara ya kwanza zinafanyika nje ya makao makuu ya nchi ukiachilia mbali serikali ilipohamia Dodoma.

Swali la msingi ni kwanini sherehe hizo ziende jijini Mwaanza eneo ambalo limetawaliwa na kabila atokalo Rais Magufuli? Ni hoja gani hasa iliyotumika kuzipeleka jijini humo?

Ni jambo la ajabu kuona serikali ikikumbatia waziwazi upendeleo wa ukanda! Haya yanayofanywa yanatupa sisi ari ya kujiridhisha kuwa tumetawaliwa na upendeleo wa waziwazi wa kikabila awamu hii ya uongozi.

Kwa maana hiyo sasa jeshi, viongozi wote wa juu pamoja na wageni wanapelekwa Mwanza ili kuhudhuria sherehe za uhuru.

Siwezi kusema mengine yaliyotokea huko nyuma katika utawala huu yakionyesha mwenendo mbaya wa kikabila ila kiukweli jambo hili halileti picha nzuri hata kidogo.

Hii ni Tanzania imejengwa ila kiobomoa ni kazi rahisi sana.
Kuibomoa ni kazi ndogoo???????!!!!
Are you serious??? Stop kidding.
 
Hamtaki kumuelewa tuu mleta mada. Imekuwa ni kawaida sherehe hizi kufanyika makao makuu ya nchi, hivyo ingekuwa sio ajabu ingefanyikia Dodoma.
Lakini hata hivyo yanaweza kufanyika nje ya makao makuu ya nchi, lakini lazima yakafanyike mahali ambapo pana historia ya jambo lenyewe, yaani UHURU. Mfano Tabora, sababu zingekuwepo zinazohusiana na harakati za Uhuru.
Sasa Mwanza kuna lolote limesha tajwa kuifunganisha na Uhuru?
Hapo ujue Magufuli kaamka asubuhi moja na kusema Mwanza! Na hakuna wa kuhoji, kushauri au kupinga. Full serikali ni makondoo tuu, kila utakaye mhoji atakuambia rais kasema.
Taifa gani linalokwenda kama kundi la kondoo hili?
 
Hamtaki kumuelewa tuu mleta mada. Imekuwa ni kawaida sherehe hizi kufanyika makao makuu ya nchi, hivyo ingekuwa sio ajabu ingefanyikia Dodoma.
Lakini hata hivyo yanaweza kufanyika nje ya makao makuu ya nchi, lakini lazima yakafanyike mahali ambapo pana historia ya jambo lenyewe, yaani UHURU. Mfano Tabora, sababu zingekuwepo zinazohusiana na harakati za Uhuru.
Sasa Mwanza kuna lolote limesha tajwa kuifunganisha na Uhuru?
Hapo ujue Magufuli kaamka asubuhi moja na kusemea Mwanza! Na hakuna wa kuhoji, kushauri au kupinga. Full serikali ni makondoo tuu, kila utakaye mhoji atakuambia rais kasema.
Taifa gani linalokwenda kama kundi la kondoo hili?
Yani haoni hata soni kujionyesha waziwazi kukumbatia ukanda na ukabila wakati ni kiongozi mkuu wa nchi! Hakuna la zaidi ya upendeleo wa kikabila!
 
Mara nyingine Magufuli mnamuonea bure. Mnafahamu fika Chato ilikuwa Kagera, Kagera wana jadi yao na Mwanza jadi yao iweje leo eti Magufuli anatoka kabila la Mwanza? Hata kama bado hajavuka mipaka ya nchi.

Halafu watu wa Dar es Salaam na Arusha nimegundua hampendi maendeleo yapelekwe sehemu nyingine za nchi. Ningelikuwa Magufuli kwanza Dar es Salaam ningeifuta kwenye ramani ya taifa hili maana ndio chanzo cha umaskini sehemu nyingine za taifa hili.

Kama mnaona ukanda basi peleka mswada bungeni tuwe na states ambazo zitasimama Kama Kanda uione mtavyoburuzwa.

Watu wa ajabu sana nyie.
 
Back
Top Bottom