nokwenumuya
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 810
- 2,851
Bavicha na wale makomandoo wa mboweKikundi kama hiko Tanzania ni sawa na kipi?
Bavicha na wale makomandoo wa mboweKikundi kama hiko Tanzania ni sawa na kipi?
wagner group wapo ukraine ila wanauwawa vizuri ushahid wa dog tag za member wao waliouwawa Twitter zimesambaa sanaHakuna kundi kama hilo, hizo ni hadithi tu za kijiweni, leo ni wiki tatu zimeisha wameshindwa kukamata hata mji moja wa maana ni kuharibu tu miundombinu na kuua raia.
Jeshi la Russia sio kama ilivyokuwa inadhaniwa, swagger ndio nyingi lakini combat capabilities hamna kitu.
Inategemea taarifa unazitoa wapi, ikiwa unazipata BBC, CNN nk ni kweli russia kapigwa Ukraine.Hakuna kundi kama hilo, hizo ni hadithi tu za kijiweni, leo ni wiki tatu zimeisha wameshindwa kukamata hata mji moja wa maana ni kuharibu tu miundombinu na kuua raia.
Jeshi la Russia sio kama ilivyokuwa inadhaniwa, swagger ndio nyingi lakini combat capabilities hamna kitu.
Lipo acha ushambaInategemea taarifa unazitoa wapi, ikiwa unazipata BBC, CNN nk ni kweli russia kapigwa Ukraine.
Ushamba ndio nini?Lipo acha ushamba
Wagner ni secreat military private army ambalo limeasisiwa na KGB chini ya kachero putin na fidel casto wa cuba kwa kifupi hili ni jeshi la kukodi ambalo huwa linafanya kazi za kijeshi katika nchi yeyote paleMara nyingi USA na NATO wamekuwa wakilalamika kuhusu hili kundi la wagner group ambalo linasemekana chimbuko lake urusi limekuwa likiwanyima usingizi
sasa hivi taarifa kutoka kwenye taasisi za kijajusi zinasemekana hili kundi ambalo lipo ukraine wamepewa kazi ya kuhakikisha wanamkamata na kumteka raisi wa ukraine kisha kumpelelaka urusi akiwa haiii
je wagner group ni kundi gani hilo na ni kwanini wamekuwa tishio nchi za magharibi
Pumzika mkuu, umelewaHakuna kundi kama hilo, hizo ni hadithi tu za kijiweni, leo ni wiki tatu zimeisha wameshindwa kukamata hata mji moja wa maana ni kuharibu tu miundombinu na kuua raia.
Jeshi la Russia sio kama ilivyokuwa inadhaniwa, swagger ndio nyingi lakini combat capabilities hamna kitu.
Pia anatakiwa aelewe .akili zingine za ajabu,kwa hiyo kwenda kuteka nchi,unaenda tu unakuwa umeiteka,labda tumpe mfano marekani kama ilimchukua wiki moja,kuteka iraq,au syria kafanikiwa kuiteka..
Mkuu andika Kiingereza, Kirusi utaandika ukiwa Kremlin.Mwabepande Americans and Bunju EU civilians still proceeding to be tortured with adorable hearts by believing the such hypocritical people though they eventually showed what their true colors is to the Poland Nation on NATO issues
Huijui Russia wewe, Russia wanapopigana vita waga hawajui cha raia, wao wahanga wao wa kwanza waga ni raia halafu jeshi baadaye.Pia anatakiwa aelewe .
-Russia inapigana na inchi 26 ambazo zinatoa misaada ya kijeshi na silaha Ukraine
-Ukraine inatumia raia wake kama ngao Russia inashindwa kutoa mashambulizi ya moja kwa moja kuhofia kuua raia.
-Ukraine ni nchi yenye jeshi imara lazima itoe Upinzani mkali lkn inapigikia vibaya kila siku anatangaza kuipiga Russia pia huyo huyo analilia misaada
Je ukiwa unazitoa wapi ndio inaonyesha kashinda.Inategemea taarifa unazitoa wapi, ikiwa unazipata BBC, CNN nk ni kweli russia kapigwa Ukraine.
Yule mzee mpumbavu sana. Alifikiri wa ukraine watamuangalia tu akichukua nchi yao. Ona sasa anaua watoto wa wenzie Huku wa kwake amefungia ikulu na ulinzi mkaliUnafahamu Putin alitamba kwamba angemaliza kazi kwa siku tatu tu.!!
Nape,Makamba, RidhiwaniKikundi kama hiko Tanzania ni sawa na kipi?
Panya roadKikundi kama hiko Tanzania ni sawa na kipi?
Tutajie miji mitano ya maana ambayo ilitakiwa mrusi aichukue waswahil kweli akili zetu size ya vijoraHakuna kundi kama hilo, hizo ni hadithi tu za kijiweni, leo ni wiki tatu zimeisha wameshindwa kukamata hata mji moja wa maana ni kuharibu tu miundombinu na kuua raia.
Jeshi la Russia sio kama ilivyokuwa inadhaniwa, swagger ndio nyingi lakini combat capabilities hamna kitu.
Ngoja nikuongezee ushahidiPia anatakiwa aelewe .
-Russia inapigana na inchi 26 ambazo zinatoa misaada ya kijeshi na silaha Ukraine
-Ukraine inatumia raia wake kama ngao Russia inashindwa kutoa mashambulizi ya moja kwa moja kuhofia kuua raia.
-Ukraine ni nchi yenye jeshi imara lazima itoe Upinzani mkali lkn inapigikia vibaya kila siku anatangaza kuipiga Russia pia huyo huyo analilia misaada
Hivi wewe unafahamu kwamba vita vya nyuklia havinaga mshindi na Putin analifahamu hilo vizuri kuliko unavyofikiri.Hivi mbona hamtumii akili? Urusi ana nyuklia za kuangamiza ukrain dakika moja ispokuwa anawahurumia raia ndo maana anatumia silaha na vita vya kikawaida, hujiulizi usa na nato hawaingii kwanini km sio silaha alizo nazo zamaangamizi
Kibongo bongo Ndo tunaita wasiojulikana?Wagner ni mamluki, Mamluki kwa jumla ni hatari kwa amani. Kama ni mamluki wa Urusi au wa Marekani. Maana wanatumwa pale ambako nchi haitaki kwenda rasmi. Maana serikali itawajibika kwa jinai. Kama mamluki wanaua hovyo, basi unafunga kampuni, unabadilisha jina na sare na kuwanzisha tena kwa jina tofauti.
Kijeshi hakuna anayeogopa Wagner. Si bora kuliko komando wa kawaida. Urusi ilituma Wagner Libya na Syria. Marekani ilituma Blackwater Irak (na Afghanistan?)
Mamluki zinasaidia pia serikali kuepukana na wajibu wake mbele ya raia. Maana wakifa ni kifo cha binafsi.