Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 8,919
- 23,242
Habari wakuu
Ni miaka mingi sana imepita tokea mchakato huu ulipoanza mpaka leo hii hauna majibu wala muendelezo. Kama tuna lugha yetu iweje tushindwe na kupata vazi la taifa?
Mfano taasisi ndogo sana ya siloam imekua na vazi lake rasmi iweje taasisi kubwa kama serikali ishindwe?
Na bahati mbaya mpango huo haupo katika ilani ya chama kilicho madarakani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni miaka mingi sana imepita tokea mchakato huu ulipoanza mpaka leo hii hauna majibu wala muendelezo. Kama tuna lugha yetu iweje tushindwe na kupata vazi la taifa?
Mfano taasisi ndogo sana ya siloam imekua na vazi lake rasmi iweje taasisi kubwa kama serikali ishindwe?
Na bahati mbaya mpango huo haupo katika ilani ya chama kilicho madarakani.
Sent using Jamii Forums mobile app