Ni kweli kule Tabora wanajua mapungufu yake yote ikiwemo kutokuwa na mke wala mtoto mpaka umri huo bado anaendekeza uzinzi na utitiri wa michepuko.Nadhani wao wanamfahamu vizuri kuliko sisi ndo maana hawamtaki
Kwani mtanzania namba moja yeye mwenyewe anajua anakubalika sana kwao ndo maana katoa katazo
Lipumba ki Ukweli sio Mtanzania hilo halina Ubishi ukienda Tabora yote wanajua ndiyo maana Lipumba kujipendekeza kwa magufuli Mtukufu malaika wa chato ili asije kufukuzwa Nchini na kurejeshwa congo.
Anakubalika na watz wapi?? Maana toka aanze kugombea nina shaka alishafikisha kura milioni.mwanasiasa anatakiwa kukubalika na watanzania sio kwao.
hata yesu hakukubalika nazareth alipokulia akaamua kwenda kuweka kambi carpenaumu
Ndio! Kuna mmoja anadai MTU kukubalika kwao ni ukabila, lakin nyumbani kuna umuhim sana, kama MTU hakubaliki kwao lazima ana kasoroNi kweli kule Tabora wanajua mapungufu yake yote ikiwemo kutokuwa na mke wala mtoto mpaka umri huo bado anaendekeza uzinzi na utitiri wa michepuko.
Hivi kumbe wale waganga wanaoongozana na Lipumba wanaletwa na Kambaya ?Lipumba pekee na Abdalah kambaya Dalali wa waganga wa kienyeji ndiyo watu Hatari ndiyo hawaaminiki
Kazeeka kiumri,kiitikadi,kifalsafa na kwa bahati nzuri sasa hawezi kukosoa,kuhoji wala kudadisi.Kazi akikuwanayo sasa ni kumwunga mkono mwenyekiti na kiongozi mkuu wa nchi!Kama anaota kuja kuwa rais basis si urais wa dunia na nchi hii!Na nafasi yake kama mchambuzi wa mambo ya uchumi kwa sasa imekaliwa na ZZK, yeye amepoteza mvuto kabisa anasubiri tu bajeti ya mwezi wa sita akosowe
HahahahaLakini anakubalika sana ikulu huyu mtu,kila ripoti yupo
Labda akamrithi Joseph Kabila lakini kwa hapa asahau tumechoka kuongozwa na wageni.Kazeeka kiumri,kiitikadi,kifalsafa na kwa bahati nzuri sasa hawezi kukosoa,kuhoji wala kudadisi.Kazi akikuwanayo sasa ni kumwunga mkono mwenyekiti na kiongozi mkuu wa nchi!Kama anaota kuja kuwa rais basis si urais wa dunia na nchi hii!
Ivi humu jf hamnaga watu wa tabora