Ni kwanini watu wengi wa Tabora hawamkubali Lipumba licha ni mwenzao ?

Kifaru86

JF-Expert Member
Apr 22, 2017
1,734
3,802
Wadau kwa sasa nipo Tabora huku ambapo ndipo chimbuko la mwanasiasa profesa Ibrahim Lipumba.

Asilimia 80 ya wakazi wa mkoa wa Tabora ni wanyamwezi na kidogo wasukuma na watusi katika utafiti nimejaribu kukaa na wasukuma na wanyawezi mwenzangu katika mazungumzo ya hapa na pale nimejaribu kuwagusia kuhusu Lipumba ambaye ni mnyamwezi mwenzao wanamzungumziaje.

Kiukweli wengi wao wanaonekana hawamkubali kabisa Lipumba wengine wanadai hawajui kabisa ila wanamsikia ila hawajawahi kumuona na juzi juzi tumesikia kaenda Pemba hivi kwanini asirudi kwao kukijenga chama cha CUF anaangaika na Zanzibar.

Hebu tuyaache hayo narudi kwa ndugu zangu wanyamwezi na wasukuma mlio humu ndani toka Tabora ni kwanini mnadhani Lipumba akubaliki kwao licha ya yeye ni mnyamwezi mwenzao
 
Hahahaha. Ni 'nature tu ya kabila' lenyewe. 'unyamwezi' ni tatizo.
 
Fafanua kidogo mkuu..
mkuu kwanza nikili mimi ni huko huko. Nimezaliwa kitete hostal na kusona kitete primary school. So nazungumza practical experience. Lipumba ni mtu wa kijiji cha ilolangulu kilichopo Usoke. Kipindi nakua nilidhan kwa sbb ya uwezo wake kiuchumi na umasikini wa taboqa, siku moja angegombea ubunge pale Tabora mjini.-lakini baada ya kua 'mtu mzima' na kujua siasa hasa za Tabora , nikajua kwa nini hakugombea.

'sis' tuna tabia ya kuchukiana wenyewe kwa wenyewe ikiwa mtu amepiga hatua(ndio maana 'uchawi' mwingi sana). Tuko tayari mtu baki 'atoboe' kuliko 'wanyumban'-wanaita 'wakukaya'.

Chukua mfano ule mkoa tangu kila term ulipata 'mtu mkubwa' serikalini. Lakini bado maendeleo ni duni. Wenzetu wachaga hata wapate tu 'mfagia ofisi' wa wizara lami itapelekwa hadi kwenye migoba.

2006, wilaya ya Urambo kulikuwa na umememe wa genereta. Unawaka saa 1 jioni hadi saa 6 usiku. Bei ya Unit ilikua ni 630 per unit(jiulize leo hii bei hata 400 haufiki). Umeme huu ulikuwa una milikiwa na 'kampuni' iitwayo Urambo Electric Supply Company (UESCO). Na walikua na 'kivuli' cha merehemu '2by3'. Mtindo wao ilikuwa ni kwamba kiongozi mkubwa wa nchi anaziara, week 1 kabla umeme unawaka 24 hours. Hii lengo lake ilikuwa ni kuzima 'kelele za uhitaji wa umeme' kwa viongozi kutoka kwa wananchi, hata mb wa kaliua enzi hizo ambaye alipigana sana umeme uende pale. Lakini sbb ya 'vita' yao kubwa na '2by3' ngoma ilikua ngumu. Na kwa msaada wa 'mkwere', ndio umeme ukaingia kule 2007.

Kimsingi 'sisi' ni watu tunaopenda wote tupate msoto ila si 'mmoja' wetu aonekane shujaa. 'wakubwa' kule wanapenda 'kusujudiwa' hivyo hawapendi 'wakubwa visionary'.
 
Hmm! Utafiti huu umeufanyia wapi? Na lini umegundua kuwa hawamkubali?...
Nimegundua baada ya kukaaa huku na nimefatilia siasa za cuf chini ya lipumba mkoani tabora

Kiukweli lipumba watu wanamjua kama mnyamwezi na pia mtu wa tabora lakini hadi leo hiii sijui ni kwanini wanyamwezi wameshidwa kumuunga mkono ndugu yao.

Hebu muangalia mbowe na chadema uchagani,zitto na act kwa waha wa kigoma,magufuli mwanza kwa wasukuma ,maalim seif pemba lakini lipumba na wanyamwezi cjui tatizo nini.

Ameshidwa kutoa hata mbunge wala diwani
 
Nimegundua baada ya kukaaa huku na nimefatilia siasa za cuf chini ya lipumba mkoani tabora

Kiukweli lipumba watu wanamjua kama mnyamwezi na pia mtu wa tabora lakini hadi leo hiii sijui ni kwanini wanyamwezi wameshidwa kumuunga mkono ndugu yao.

Hebu muangalia mbowe na chadema uchagani,zitto na act kwa waha wa kigoma,magufuli mwanza kwa wasukuma ,maalim seif pemba lakini lipumba na wanyamwezi cjui tatizo nini.

Ameshidwa kutoa hata mbunge wala diwani
Labda wamemuona hana msimamo, au yeye mwenyewe hakuwakumbuka alipokuwa na nafasi. Mbona Kapuya Urambo wanamthamini sana, maana alipokuwa Waziri wa Ulinzi aliingiza vijana wengi wa Urambo jeshini...
 
Wadau kwa sasa nipo Tabora huku ambapo ndipo chimbuko la mwanasiasa profesa Ibrahim Lipumba.

Asilimia 80 ya wakazi wa mkoa wa Tabora ni wanyamwezi na kidogo wasukuma na watusi katika utafiti nimejaribu kukaa na wasukuma na wanyawezi mwenzangu katika mazungumzo ya hapa na pale nimejaribu kuwagusia kuhusu Lipumba ambaye ni mnyamwezi mwenzao wanamzungumziaje.

Kiukweli wengi wao wanaonekana hawamkubali kabisa Lipumba wengine wanadai hawajui kabisa ila wanamsikia ila hawajawahi kumuona na juzi juzi tumesikia kaenda Pemba hivi kwanini asirudi kwao kukijenga chama cha CUF anaangaika na Zanzibar.

Hebu tuyaache hayo narudi kwa ndugu zangu wanyamwezi na wasukuma mlio humu ndani toka Tabora ni kwanini mnadhani Lipumba akubaliki kwao licha ya yeye ni mnyamwezi mwenzao
Kwani Sakaya siyo Lipumba!
 
mkuu kwanza nikili mimi ni huko huko. Nimezaliwa kitete hostal na kusona kitete primary school. So nazungumza practical experience. Lipumba ni mtu wa kijiji cha ilolangulu kilichopo Usoke. Kipindi nakua nilidhan kwa sbb ya uwezo wake kiuchumi na umasikini wa taboqa, siku moja angegombea ubunge pale Tabora mjini.-lakini baada ya kua 'mtu mzima' na kujua siasa hasa za Tabora , nikajua kwa nini hakugombea.

'sis' tuna tabia ya kuchukiana wenyewe kwa wenyewe ikiwa mtu amepiga hatua(ndio maana 'uchawi' mwingi sana). Tuko tayari mtu baki 'atoboe' kuliko 'wanyumban'-wanaita 'wakukaya'.

Chukua mfano ule mkoa tangu kila term ulipata 'mtu mkubwa' serikalini. Lakini bado maendeleo ni duni. Wenzetu wachaga hata wapate tu 'mfagia ofisi' wa wizara lami itapelekwa hadi kwenye migoba.

2006, wilaya ya Urambo kulikuwa na umememe wa genereta. Unawaka saa 1 jioni hadi saa 6 usiku. Bei ya Unit ilikua ni 630 per unit(jiulize leo hii bei hata 400 haufiki). Umeme huu ulikuwa una milikiwa na 'kampuni' iitwayo Urambo Electric Supply Company (UESCO). Na walikua na 'kivuli' cha merehemu '2by3'. Mtindo wao ilikuwa ni kwamba kiongozi mkubwa wa nchi anaziara, week 1 kabla umeme unawaka 24 hours. Hii lengo lake ilikuwa ni kuzima 'kelele za uhitaji wa umeme' kwa viongozi kutoka kwa wananchi, hata mb wa kaliua enzi hizo ambaye alipigana sana umeme uende pale. Lakini sbb ya 'vita' yao kubwa na '2by3' ngoma ilikua ngumu. Na kwa msaada wa 'mkwere', ndio umeme ukaingia kule 2007.

Kimsingi 'sisi' ni watu tunaopenda wote tupate msoto ila si 'mmoja' wetu aonekane shujaa. 'wakubwa' kule wanapenda 'kusujudiwa' hivyo hawapendi 'wakubwa visionary'.
Asante sana aisee Injili inapaswa kuhubiriwa huko wapendane
 
mkuu kwanza nikili mimi ni huko huko. Nimezaliwa kitete hostal na kusona kitete primary school. So nazungumza practical experience. Lipumba ni mtu wa kijiji cha ilolangulu kilichopo Usoke. Kipindi nakua nilidhan kwa sbb ya uwezo wake kiuchumi na umasikini wa taboqa, siku moja angegombea ubunge pale Tabora mjini.-lakini baada ya kua 'mtu mzima' na kujua siasa hasa za Tabora , nikajua kwa nini hakugombea.

'sis' tuna tabia ya kuchukiana wenyewe kwa wenyewe ikiwa mtu amepiga hatua(ndio maana 'uchawi' mwingi sana). Tuko tayari mtu baki 'atoboe' kuliko 'wanyumban'-wanaita 'wakukaya'.

Chukua mfano ule mkoa tangu kila term ulipata 'mtu mkubwa' serikalini. Lakini bado maendeleo ni duni. Wenzetu wachaga hata wapate tu 'mfagia ofisi' wa wizara lami itapelekwa hadi kwenye migoba.

2006, wilaya ya Urambo kulikuwa na umememe wa genereta. Unawaka saa 1 jioni hadi saa 6 usiku. Bei ya Unit ilikua ni 630 per unit(jiulize leo hii bei hata 400 haufiki). Umeme huu ulikuwa una milikiwa na 'kampuni' iitwayo Urambo Electric Supply Company (UESCO). Na walikua na 'kivuli' cha merehemu '2by3'. Mtindo wao ilikuwa ni kwamba kiongozi mkubwa wa nchi anaziara, week 1 kabla umeme unawaka 24 hours. Hii lengo lake ilikuwa ni kuzima 'kelele za uhitaji wa umeme' kwa viongozi kutoka kwa wananchi, hata mb wa kaliua enzi hizo ambaye alipigana sana umeme uende pale. Lakini sbb ya 'vita' yao kubwa na '2by3' ngoma ilikua ngumu. Na kwa msaada wa 'mkwere', ndio umeme ukaingia kule 2007.

Kimsingi 'sisi' ni watu tunaopenda wote tupate msoto ila si 'mmoja' wetu aonekane shujaa. 'wakubwa' kule wanapenda 'kusujudiwa' hivyo hawapendi 'wakubwa visionary'.
Umeongea point sana kiongozi.

Upande wa pili unadhani ni wapi lipumba alipokoseaaa ni wapi
 
Umeongea point sana kiongozi.

Upande wa pili unadhani ni wapi lipumba alipokoseaaa ni wapi
nadhani lipumba hakua na mpango wa siasa za Tabora wa kuinvest huko. Na sababu ni kua CUF Taifa palikua 'panamlipa' zaidi. Kwenye siasa 'hupendwi' bila kuinvest!
 
Back
Top Bottom