George Betram
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 4,021
- 4,912
Siku hizi Twitter wajinga wamejaa mpaka mtandao unamwagika.Nature ya mtandao wenyewe na watu wake tu, ni kama humu JF kila mtu kujimwambafy ni Greater thinker.
Siku hizi Twitter wajinga wamejaa mpaka mtandao unamwagika.Nature ya mtandao wenyewe na watu wake tu, ni kama humu JF kila mtu kujimwambafy ni Greater thinker.
Hii ilikuwa zamani aisee.Twitter ni mtandao wa watu makini kwa kiasi kikubwa.
Halafu mfumo wa kureply si rafiki kwa watu wa hovyo hovyo.
Kuna forum inaitwa Quora ina kimbiza nayo
Unasema kuwa Ikulu Duninani zinatumia twiter zaidi, je kwenye Sayari zingine unajua wanatumia application softwares zinaitwaje? Nitafurahi kama utanifhaamisha hiliUkiangalia hasa Ikulu ya Marekani na Tanzania hutumia taarifa kwa watu kupitia Twitter. Hata Meko akituma salamu za rambirambi hutumia Twitter. Ni kwanini mabosi hutumia twitter zaidi kuliko Facebook au Instagram?
Sent using Jamii Forums mobile app
QUORA FOR PROFESKuna forum inaitwa Quora ina kimbiza nayo
Nimecheka kwa sauti.Coz twitter ni sehem mmoja iv ya watu smart sana huwezi kuta wakina Hamida wa buza wapo huko
Siku hizi Twitter wajinga wamejaa mpaka mtandao unamwagika.
KwannChakushangaza. Serikali za Iran na China hawataki wananchi wao watumie Twitter ila wao hutumia kuanzia Rais hadi mawaziri
Sent using Jamii Forums mobile app
Nautumia sana. Quora ni balaa sanaKuna forum inaitwa Quora ina kimbiza nayo
Hahahaha, karibu sana