Hii ngoma ni kwa ajili ya wanaserengeti, sasa wewe mdengereko wa rufiji unatafuta nini?
Mwita Maranya
Acha hivo kule kwenye gesi ya Mtwara unatafuta nini? Ukabila umekujaa mpaka kwenye kopi za macho; ungehama Segerea ukarudi zako Serengeti; hapa nitajibu yale maoni yako kwa ufupi .
1. Ulinzi wa rasimali za nchi ni jukumu la wananchi wenyewe; serikali haiwezi kuwa kila pahala wewe kama mwananchi una jukumu la ulinzi wa rasimali zako; moja ya jukumu hilo ni kuhahakisha unachagua viongozi wataokidhi kuna ubaya gani kiongozi wako wa nchi akienda kupumzika Serengeti? Hapa unaonyesha ni jinsi ulivyokuwa mfinyu wa akili; je ulitaka aende Paris?
2. Hakuna nchi hata moja hakuipata matatizo wakati wa sheria za uwekezaji zinaanzishwa; nyingi ya hizi sheria zilikuwa hafifu kwa kigezo cha kuvutia wawekezaji; Urusi yalitokea matatizo kama haya; hivi kuna siku hata moja serikali ya CCM imesema haitaki kupitia sheria uwekezaji ambazo hazina manufaa kwa taifa? Zipo sheria nyingi zinafanyiwa marekebisho ili ziende na wakati
3. Jukumu la elimu bora haliishii kwa serikali tu; linaanzia kwa wazazi; tatizo lako kuna wakati unaongea kama pimbi kutokana na upeo mdogo wa kuelewa mambo; niliposema mwekezaji abanwe ili atoe elimu husika kwa wakazi wa maeneo ili wapate ajira naona kutokana na upeo mdogo wa kuchambua mambo umejibu utumbo; ikiwa kama wananchi wa Serengeti hawana elimu inayohusiana na biashara ya mwekezaji upo uwezekano mkubwa akaajiri watu kutoka mikoa mingine; leo mnalalamika kaajiri makaburu na wakenya; kesho utakuja na wengine na kudai mwekezaji kaajiri wahaya na wasukuma; Mwita Maranya jitahidi utembee hili akili zako umezifungia Segerea.
4. Ndani ya CCM wapo viongozi mahiri ambao wanauwezo mkubwa sana; tunao kina Hugo Chavez wapo watu wana uchungu na nchi yetu hilo halina shaka yoyote; 2015 tuna shinda kama kawaida tena kuilaini sasa hiyo do or die yako utaamua mwenyewe kunywa sumu au ujizike ukiwa hai.
Chama
Gongo la mboto DSM
cc Ritz