Ni Kwanini huyu U.S. Tycoon agharamie Ujenzi wa Serengeti Airport? Je, ni Malipo kwa 350,000 acres?

IMG_1909.JPG

ilikua january 3, 2013 ambapo ili kuingia hifadhini sharti ulipie USD 150
 
Mwita Maranya
Hapa unajibizana na mwanaume wa nguvu mambo ya kidedea kulialia ovyo mtoto wa kiume acha mimi naijua Tanzania kitakotako; umeanza uongo tangu jana Think Pad amekuja na maneno mazito unaanza kulia, tatizo hiyo Serengeti huijui unamsikia tu afande Maranya akiitaja; hujawahi hata kufika; wewe umezaliwa kwenye makambi ya JWTz Serengeti unaijuaje tupe habari za Segerea hizo ndizo unazozijua; vipi lakini Kanali hajambo?
Chama
Gongo la mboto DSM

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

Tatizo lako unafanya mambo kimatakomatako kama unavyokiri mwenyewe.
Si ajabu unaishi state kimatakomatako. Pole kwa wazee wako kwa kupata hasara.
 
Last edited by a moderator:
hapa tulikuta watalii wengi wakiwa wameweka kambi kwasababu ya kumwona CHUI ambaye huwa ni nadra kumwona maeneo hayo jirani na hotel hiyo.
IMG_1952.JPG
 
Tatizo lako unafanya mambo kimatakomatako kama unavyokiri mwenyewe.
Si ajabu unaishi state kimatakomatako. Pole kwa wazee wako kwa kupata hasara.
Mkuu Mwita Maranya
Hutaki kuja kutembea North America akili yako ifunguke? Naona hii kukaa sana Segerea ni tatizo sana kwako; sema nikupe mwaliko nina uhakika ukirudi bongo utakuwa mtu mpya! Tuongee kiutu uzima haya mambo ya CCM na Chadema tuyaweke kando; wewe jamaa yangu kabisa kanali hajambo?
Chama
Gongo la mboto DSM

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Kama hoja ni mfumo basi litakuwa ni kosa pia kuwapa Chadema; nionyeshe ni kwa uzuri gani wa uliopo kwenye hicho chama chako ikiwa kitu kidogo kama ruzuku ni siri ya watendajia ambao hawazidi 4? Naona unatetea matapishi ambayo hayaliki; tafuta chama kingine ila sio Chadema chini ya slaa

Chama
Gongo la mboto DSM

Ofcoz Tatizo siku zote imekuwa mfumo, ila CCM has been dodging this core problem ns kudhania tatizo ni watu na kuanza kusack na kureshufle watu kuanzia serikalini mpka kwenye uongozi wa chama. Huku wakiendelea kuwakumbatia wanaoharibu na kuukumbatia uharibifu.

Wewe ni either mtu mwoga wa mabadiliko au unanufaika sanaaa na uongozi wa CCM. Unajaribu kujiaminisha kuwa hakuna tofauti kati ya CDM na CCM kiasi bora CCM wabakie. Wewe ni mtu wa fikra ndogo, na umeridhika na mahali ulipo.

CDM ni kama vyama vengine katika mantiki kuwa ina matatizo yake, Mimi sio mwanachama wake hivyo sina idhibitisho wa tuhuma hizo. But sito shangaa nikisikia ni za kweli kwasababu hiki ni chama kama vyama vingine Tanzania, ambavyo ndani yake vina element ya mizizi ya mfumo mbovu ulio asisiwa na CCM. that is more reason mimi kutaka CCM itoke kwenye uongozi ili tuuchimbue kabisa ule mzizi wa mfumo mbovu ulio tufikisha hapa.

Kama hiyo haitoshi, sababu nyingine kuu CCM iondoke, CCM lazima iwajibike (iwe answerable) kwa kutuharibia inchi. When mambo yakiharibika somebody must be answerable, and that is CCM. it must pay for its fair share ya hapa tulipo. Ili vizazi vijavyo na watoto wao wajifunze kuwajibika na wawe wakitambua there is no way ukaharibu na kuua evrythngna play with peoples lives and you just get away with it.

CCM kitaondoka tu, that is a fact, the big question is when?
 
Last edited by a moderator:
Kama watu wa Mtwara wanasema Gas ibaki je serengeti nao wakisema ardhi yao isiuzwe kwa hawa Manyangau wa US si itakua balaa...
 
Mundungus Fletcher
Unapoandika pumba jifundishe kufupisha hivi kwa akili yako chama ana muda wa kusoma pumba nyingi kama zile?
Chama
Gongo la mboto DSM

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Mwita Maranya
Hutaki kuja kutembea North America akili yako ifunguke? Naona hii kukaa sana Segerea ni tatizo sana kwako; sema nikupe mwaliko nina uhakika ukirudi bongo utakuwa mtu mpya! Tuongee kiutu uzima haya mambo ya CCM na Chadema tuyaweke kando; wewe jamaa yangu kabisa kanali hajambo?
Chama
Gongo la mboto DSM

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

Huu ndio ushamba unaokusumbua kudhani kwamba kutembelea north america ndio kujua kila kitu.
Mtu akisoma maandishi yako hakuna tofauti na wale waganga njaa wanaoshinda na kukesha lumumba. Huna tofauti na wale jamaa zako uliowaacha sakura na kwedihoza!
 
Last edited by a moderator:
chama mbona unakuwa obsessed sana na wanaume kulikoni? Jifunze kuishi maisha ya kujitegemea sio kutunzwa na wanaume wenzako hata ukiwa state.
.
Tatizo lako unafanya mambo kimatakomatako kama unavyokiri mwenyewe.
Si ajabu unaishi state kimatakomatako. Pole kwa wazee wako kwa kupata hasara.

Vipi kaka . Kama umeshondwa hoja basi, sio lazima uendelee kupost. Unatu disappoint watu wa serengeti.
 
Last edited by a moderator:
Vipi kaka . Kama umeshondwa hoja basi, sio lazima uendelee kupost. Unatu disappoint watu wa serengeti.

Sasa wewe umetoa hoja gani hapa tangu mjadala huu uanze? Unadhani unaweza kuifahamu Serengeti kuliko mimi? Unadhani unaweza kulifahamu hili gamba Chama kuliko mimi?
Watu wazima tukiwa tunaongea watoto wadogo msipende kujipitisha pitisha! Hiki kinachojadiliwa hapa kiko juu ya uwezo wako bwanamdogo.
 
Mark me, kuna siri kubwa nyuma yake, kwanza ardhi aliyopewa ni kubwa sana na hatujui kuna resources gani kwenye eneo hilo. Kama ulivyosema there is no free meal. Wanauza nchi kwa vipande vya shaba wanavyowekewa uswizi, damn them!!!
 
Sasa wewe umetoa hoja gani hapa tangu mjadala huu uanze? Unadhani unaweza kuifahamu Serengeti kuliko mimi? Unadhani unaweza kulifahamu hili gamba Chama kuliko mimi?
Watu wazima tukiwa tunaongea watoto wadogo msipende kujipitisha pitisha! Hiki kinachojadiliwa hapa kiko juu ya uwezo wako bwanamdogo.

Hili ni tatizo kubwa sana. Dharau, ignorance, jazba, matusi, ubinafsi, ubaguzi wa kikanda and most of all stupidity ndo zimekutawala.

Watu kibao wanatembela humu wengine wanasoma na wanachangia no matter how naive mchango wao lakini hawaweki matusi, wanajibu hoja kabla ya kutanguliza jazba.

We si ndo ulinijibu hivi
Huonekani ukiongea katika frequency wanayoongelea wanaserengeti ndio maana nikakufananisha na mdengereko wa rufiji. Kama wewe ni mwenzetu basi tunahitaji mawazo yako namna ya kuwafanya watu wetu waweze kufaidika na rasilimali za asili zilizopo kwetu kwakuwa wamezitunza kwa miaka yote lakini leo hii hata nyama pori imegeuka kuwa bidhaa adimu.

Unatatizo kubwa sana (huoni kama umechemka).
 
Sasa wewe umetoa hoja gani hapa tangu mjadala huu uanze? Unadhani unaweza kuifahamu Serengeti kuliko mimi? Unadhani unaweza kulifahamu hili gamba Chama kuliko mimi?
Watu wazima tukiwa tunaongea watoto wadogo msipende kujipitisha pitisha! Hiki kinachojadiliwa hapa kiko juu ya uwezo wako bwanamdogo.

Na swali langu lilikywa hili...
Ningependa kujua mnataka kuikomboa kivipi? What exactly do you want to do? Na muweke bayana nikipi hasa mnachopinga
 
mkuu kaa pembeni, Mwita Maranya amejishusha hadi kujibishana nawewe, mpe heshima yake...acha kuchezea sharubu zake.

Heshima ipi hiyoo...
chama mbona unakuwa obsessed sana na wanaume kulikoni? Jifunze kuishi maisha ya kujitegemea sio kutunzwa na wanaume wenzako hata ukiwa state.
Hujui chochote kuhusu Serengeti bora ukae kimya kuliko huu upoyoyo unaofanya hapa.
 
Last edited by a moderator:
Huu ndio ushamba unaokusumbua kudhani kwamba kutembelea north america ndio kujua kila kitu.
Mtu akisoma maandishi yako hakuna tofauti na wale waganga njaa wanaoshinda na kukesha lumumba. Huna tofauti na wale jamaa zako uliowaacha sakura na kwedihoza!

Tatizo lako huoni ugonjwa unaokukabili nataka kutoa usegerea ili urudi kwenye binadaamu mwenye akilini timamu; niliwahi kukwambia sitegemei na wala sitategemea posho kutoka Lumumba mimi ni mwanaume kamili najua maana ya kujitegemea. Mwaliko upo wazi hata kama tiketi itakusumbua nitatip
Chama
Gongo la mboto DSM


Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Birds of feathers......
Tunatofautiana kwamba sisi watu wa bara tulipewa 'akili' nanyi wazaramo mkapewa 'mdomo'.

chama mbona unakuwa obsessed sana na wanaume kulikoni? Jifunze kuishi maisha ya kujitegemea sio kutunzwa na wanaume wenzako hata ukiwa state.
Hujui chochote kuhusu Serengeti bora ukae kimya kuliko huu upoyoyo unaofanya hapa.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom