augustino ameri
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 267
- 57
kuna watu wengi sehemu mbalimbali za nchi hufanya kazi za udalali na pia wengine wana ofisi zimeandikwa kama vile dalali wa viwanja,dalali wa vyumba ,dalali wa mazao nk.naomba mnijuze hivi hawa hulipa kodi.Wengine ofisi zao ni vijiwen lakin kwa ukumla wanavipato vizuri.