the bidhaa
JF-Expert Member
- Apr 4, 2022
- 257
- 702
Wakuu,Kuna kijana anaomba ushauri wenu juu ya kozi gani akasome kati ya hizi zifuatazo kwa upande wa kuweza kujiajiri au hata kuajiriwa.
Amemaliza kidato cha 6 mwaka jana ila hakufanikiwa kwenda chuo kutokana na changamoto kadhaa.
Alipata division 2 ya 11 kwenye mchepuo wa HGK,,,KOZI ZENYEWE NI;
1; DIPLOMA IN LAND MANAGEMENT, VALUATION AND REGISTRATION (Ardhi Tabora).
2; BACHELOR DEGREE IN SHIPPING AND PORT LOGISTICS MANAGEMENT (NIT).
3; BACHELOR DEGREE IN ROAD AND RAILWAY TRANSPORT LOGISTICS MANAGEMENT (NIT).
4; BACHELOR DEGREE IN FREIGHT CLEARING AND FORWARDING MANAGEMENT (NIT).
Wakuu ushauri wenu ni muhimu sanajuu ya mdogo wenu huyu,Asanteni na karibu sana kwa ushauri wenu
Amemaliza kidato cha 6 mwaka jana ila hakufanikiwa kwenda chuo kutokana na changamoto kadhaa.
Alipata division 2 ya 11 kwenye mchepuo wa HGK,,,KOZI ZENYEWE NI;
1; DIPLOMA IN LAND MANAGEMENT, VALUATION AND REGISTRATION (Ardhi Tabora).
2; BACHELOR DEGREE IN SHIPPING AND PORT LOGISTICS MANAGEMENT (NIT).
3; BACHELOR DEGREE IN ROAD AND RAILWAY TRANSPORT LOGISTICS MANAGEMENT (NIT).
4; BACHELOR DEGREE IN FREIGHT CLEARING AND FORWARDING MANAGEMENT (NIT).
Wakuu ushauri wenu ni muhimu sanajuu ya mdogo wenu huyu,Asanteni na karibu sana kwa ushauri wenu