Ni kituko kwamba Rais Biden hataki kuulizwa maswali. Je, hawezi kujibu kama Marais waliopita?

Huko Tanganyika mfalme wenu ukimuuliza swali anaamrisha "majasusi" wake wakukamate mara moja!

Kitakachofuata ni kuvunjwa meno ya mbele!
 
Mzee Biden amekuwa maarufu kwa hii tabia yake mpya ya kuchomoka nduki akimaliza hotuba, Hataki kuulizwa maswali kabisa.

Akimaliza kusoma hotuba yake kwenye telepromter, huwa anaondoka bila kupokea maswali, huenda hii ni kwa sababu majibu ya maswali hayahitaji teleprompter bali kichwa.

Kama Raisi anashindwa kujibu maswali ni wazi kabisa hata kile anachokifanya kinamweka wazi kwamba ni puppet tu.

Ni juzi tu hapo kumekuwa na kashfa ya wafanyakazi wa White House kuwaomba waandishi wa habari maswali wanayotaka kuuliza lakini walikataliwa, Je Biden hawezi kufikiria kujibu maswali? Ni hadi aandikiwe majibu kwenye telepromter ndio njia pekee ya kujibu maswali?
Magufuli huwa anaulizwa?????? Labda tuanzie hapo!
 
Mzee Biden amekuwa maarufu kwa hii tabia yake mpya ya kuchomoka nduki akimaliza hotuba, Hataki kuulizwa maswali kabisa.

Akimaliza kusoma hotuba yake kwenye telepromter, huwa anaondoka bila kupokea maswali, huenda hii ni kwa sababu majibu ya maswali hayahitaji teleprompter bali kichwa.

Kama Raisi anashindwa kujibu maswali ni wazi kabisa hata kile anachokifanya kinamweka wazi kwamba ni puppet tu.

Ni juzi tu hapo kumekuwa na kashfa ya wafanyakazi wa White House kuwaomba waandishi wa habari maswali wanayotaka kuuliza lakini walikataliwa, Je Biden hawezi kufikiria kujibu maswali? Ni hadi aandikiwe majibu kwenye telepromter ndio njia pekee ya kujibu maswali?

Unamkashifu Biden bure kwa mapenzi yako kwa MAFIA Don Donald Trump!!! Trump alikuwa anaogopa hata kutoa press briefings kwenye press room na badala yake alikua anajificha na kutumia TWITTER; je huo ndio umahiri?

Biden juzi tu alikuwa na interview ya muda mrefu bila teleprompter na CBS news; mara nyingi reporters wa FOX news huwa wanauliza maswali ya kisenge ndio maana huwa hawajibu anaondoka nduki kama Don alivyokuwa anafanya akiiulizwa na reporters toka CNN!
 

from start to finish​

Fig. entirely; throughout. I disliked the whole business from start to finish. Mary caused problems from start to finish.
Aaaaaaaaaaaaa mkuuuuuu mkuuu mkuu mkuuu mkuuuuu mkuuuuuu mkuuuuuuu.
 
Mzee Biden amekuwa maarufu kwa hii tabia yake mpya ya kuchomoka nduki akimaliza hotuba, Hataki kuulizwa maswali kabisa.

Akimaliza kusoma hotuba yake kwenye telepromter, huwa anaondoka bila kupokea maswali, huenda hii ni kwa sababu majibu ya maswali hayahitaji teleprompter bali kichwa.

Kama Raisi anashindwa kujibu maswali ni wazi kabisa hata kile anachokifanya kinamweka wazi kwamba ni puppet tu.

Ni juzi tu hapo kumekuwa na kashfa ya wafanyakazi wa White House kuwaomba waandishi wa habari maswali wanayotaka kuuliza lakini walikataliwa, Je Biden hawezi kufikiria kujibu maswali? Ni hadi aandikiwe majibu kwenye telepromter ndio njia pekee ya kujibu maswali?
Ana akili sana hataki kuja kutoa majibu ya hovyo katika kipindi hichi cha awali [maana jibu lake ndio msimamo wa nchi na pengine dunia ni lazima liwe na utosheleziwa kina] mnataka aropoke ropoke
 
Ana akili sana hataki kuja kutoa majibu ya hovyo katika kipindi hichi cha awali [maana jibu lake ndio msimamo wa nchi na pengine dunia ni lazima liwe na utosheleziwa kina] mnataka aropoke ropoke

Wamezoea kuropokewa na JIWE!!
 
Sasa
You don’t know what you are talking about. Why do need to do a research? I told you that I watched the whole news conference from start to finish. JIONGEZE badala ya KUKURUPUKA na UZUSHI. ZWAZWA wewe!
bob shida nn kwan...si useme tu hiyo conference alifanya lini tuitafute tuangalie kama unashindwa kutupa link boss
 
You don’t know what you are talking about. Why do need to do a research? I told you that I watched the whole news conference from start to finish. JIONGEZE badala ya KUKURUPUKA na UZUSHI. ZWAZWA wewe!
Liberals bana :D :D sasa unapanic nini,fats always don't care about your feelings/emotions.Weka evidence mezani twende sawa.Njoja tukunyooshee uwnja,leta hata video kipindi cha kampeni tu,akijibu maswali ya papo kwa papo for at least 30 mnts..
 
Unamkashifu Biden bure kwa mapenzi yako kwa MAFIA Don Donald Trump!!! Trump alikuwa anaogopa hata kutoa press briefings kwenye press room na badala yake alikua anajificha na kutumia TWITTER; je huo ndio umahiri?

Biden juzi tu alikuwa na interview ya muda mrefu bila teleprompter na CBS news; mara nyingi reporters wa FOX news huwa wanauliza maswali ya kisenge ndio maana huwa hawajibu anaondoka nduki kama Don alivyokuwa anafanya akiiulizwa na reporters toka CNN!
Trump alikuwa anakimbia press briefing??,really kipindi chote cha covid nani alikuwa anatoa briefing?,Kama ulikuwa unafuatilia vizuri,Hivi ilishapita sikun 5 hujamuona Trump kwenye press breafing??..Aisee tusiwe wanafiki,kati ya marais waliokuwa wanaulizwa maswali magumu na press ni Trump na wala hajawahi jificha kwenye basement kama Joe...Thats fact
 
Press briefings za Trump nani alikuwekea video hapa? Acha kubweteka! JIONGEZE!
Liberals bana :D :D sasa unapanic nini,fats always don't care about your feelings/emotions.Weka evidence mezani twende sawa.Njoja tukunyooshee uwnja,leta hata video kipindi cha kampeni tu,akijibu maswali ya papo kwa papo for at least 30 mnts..
Trump alikuwa anakimbia press briefing??,really kipindi chote cha covid nani alikuwa anatoa briefing?,Kama ulikuwa unafuatilia vizuri,Hivi ilishapita sikun 5 hujamuona Trump kwenye press breafing??..Aisee tusiwe wanafiki,kati ya marais waliokuwa wanaulizwa maswali magumu na press ni Trump na wala hajawahi jificha kwenye basement kama Joe...Thats fact
 
Mzee Biden amekuwa maarufu kwa hii tabia yake mpya ya kuchomoka nduki akimaliza hotuba, Hataki kuulizwa maswali kabisa.

Akimaliza kusoma hotuba yake kwenye telepromter, huwa anaondoka bila kupokea maswali, huenda hii ni kwa sababu majibu ya maswali hayahitaji teleprompter bali kichwa.

Kama Raisi anashindwa kujibu maswali ni wazi kabisa hata kile anachokifanya kinamweka wazi kwamba ni puppet tu.

Ni juzi tu hapo kumekuwa na kashfa ya wafanyakazi wa White House kuwaomba waandishi wa habari maswali wanayotaka kuuliza lakini walikataliwa, Je Biden hawezi kufikiria kujibu maswali? Ni hadi aandikiwe majibu kwenye telepromter ndio njia pekee ya kujibu maswali?
Kawekwa tu, wenye majibu wanakula mvinyo na remote control.
 
Unamkashifu Biden bure kwa mapenzi yako kwa MAFIA Don Donald Trump!!! Trump alikuwa anaogopa hata kutoa press briefings kwenye press room na badala yake alikua anajificha na kutumia TWITTER; je huo ndio umahiri?

Biden juzi tu alikuwa na interview ya muda mrefu bila teleprompter na CBS news; mara nyingi reporters wa FOX news huwa wanauliza maswali ya kisenge ndio maana huwa hawajibu anaondoka nduki kama Don alivyokuwa anafanya akiiulizwa na reporters toka CNN!
Trump ni Kiongozi bora kabisa, Anajua nini anafanya, huyu hajui, na hio interview maswali yalikua yameandaliwa na majibu yako kwenye teleprompter ila hawawezi kukuonyesha, angalia macho, na anajibu kama anasoma. Hata kama Trump hatumpendi ila ukweli lazima ubaki palepale, Ni Kiongozi mzalendo sana kwa watu na Nchi Yake.
 
Unateseka ukiwa wapi? Anyway malalamiko yako yamesikilizwa in one way or another, tutayafanyia kazi
IMG_20210206_213059.jpg
 
Back
Top Bottom