Wabongo tupo bize na us
Aaaaaaaaaaaaa mkuuuuuu mkuuu mkuu mkuuu mkuuuuu mkuuuuuu mkuuuuuuu.from start
Magufuli huwa anaulizwa?????? Labda tuanzie hapo!Mzee Biden amekuwa maarufu kwa hii tabia yake mpya ya kuchomoka nduki akimaliza hotuba, Hataki kuulizwa maswali kabisa.
Akimaliza kusoma hotuba yake kwenye telepromter, huwa anaondoka bila kupokea maswali, huenda hii ni kwa sababu majibu ya maswali hayahitaji teleprompter bali kichwa.
Kama Raisi anashindwa kujibu maswali ni wazi kabisa hata kile anachokifanya kinamweka wazi kwamba ni puppet tu.
Ni juzi tu hapo kumekuwa na kashfa ya wafanyakazi wa White House kuwaomba waandishi wa habari maswali wanayotaka kuuliza lakini walikataliwa, Je Biden hawezi kufikiria kujibu maswali? Ni hadi aandikiwe majibu kwenye telepromter ndio njia pekee ya kujibu maswali?
Mzee Biden amekuwa maarufu kwa hii tabia yake mpya ya kuchomoka nduki akimaliza hotuba, Hataki kuulizwa maswali kabisa.
Akimaliza kusoma hotuba yake kwenye telepromter, huwa anaondoka bila kupokea maswali, huenda hii ni kwa sababu majibu ya maswali hayahitaji teleprompter bali kichwa.
Kama Raisi anashindwa kujibu maswali ni wazi kabisa hata kile anachokifanya kinamweka wazi kwamba ni puppet tu.
Ni juzi tu hapo kumekuwa na kashfa ya wafanyakazi wa White House kuwaomba waandishi wa habari maswali wanayotaka kuuliza lakini walikataliwa, Je Biden hawezi kufikiria kujibu maswali? Ni hadi aandikiwe majibu kwenye telepromter ndio njia pekee ya kujibu maswali?
Aaaaaaaaaaaaa mkuuuuuu mkuuu mkuu mkuuu mkuuuuu mkuuuuuu mkuuuuuuu.
Mtamkumbuka tu Trump.
Magufuli huwa anaulizwa?????? Labda tuanzie hapo!
Ana akili sana hataki kuja kutoa majibu ya hovyo katika kipindi hichi cha awali [maana jibu lake ndio msimamo wa nchi na pengine dunia ni lazima liwe na utosheleziwa kina] mnataka aropoke ropokeMzee Biden amekuwa maarufu kwa hii tabia yake mpya ya kuchomoka nduki akimaliza hotuba, Hataki kuulizwa maswali kabisa.
Akimaliza kusoma hotuba yake kwenye telepromter, huwa anaondoka bila kupokea maswali, huenda hii ni kwa sababu majibu ya maswali hayahitaji teleprompter bali kichwa.
Kama Raisi anashindwa kujibu maswali ni wazi kabisa hata kile anachokifanya kinamweka wazi kwamba ni puppet tu.
Ni juzi tu hapo kumekuwa na kashfa ya wafanyakazi wa White House kuwaomba waandishi wa habari maswali wanayotaka kuuliza lakini walikataliwa, Je Biden hawezi kufikiria kujibu maswali? Ni hadi aandikiwe majibu kwenye telepromter ndio njia pekee ya kujibu maswali?
Ana akili sana hataki kuja kutoa majibu ya hovyo katika kipindi hichi cha awali [maana jibu lake ndio msimamo wa nchi na pengine dunia ni lazima liwe na utosheleziwa kina] mnataka aropoke ropoke
bob shida nn kwan...si useme tu hiyo conference alifanya lini tuitafute tuangalie kama unashindwa kutupa link bossYou don’t know what you are talking about. Why do need to do a research? I told you that I watched the whole news conference from start to finish. JIONGEZE badala ya KUKURUPUKA na UZUSHI. ZWAZWA wewe!
Liberals bana sasa unapanic nini,fats always don't care about your feelings/emotions.Weka evidence mezani twende sawa.Njoja tukunyooshee uwnja,leta hata video kipindi cha kampeni tu,akijibu maswali ya papo kwa papo for at least 30 mnts..You don’t know what you are talking about. Why do need to do a research? I told you that I watched the whole news conference from start to finish. JIONGEZE badala ya KUKURUPUKA na UZUSHI. ZWAZWA wewe!
Trump alikuwa anakimbia press briefing??,really kipindi chote cha covid nani alikuwa anatoa briefing?,Kama ulikuwa unafuatilia vizuri,Hivi ilishapita sikun 5 hujamuona Trump kwenye press breafing??..Aisee tusiwe wanafiki,kati ya marais waliokuwa wanaulizwa maswali magumu na press ni Trump na wala hajawahi jificha kwenye basement kama Joe...Thats factUnamkashifu Biden bure kwa mapenzi yako kwa MAFIA Don Donald Trump!!! Trump alikuwa anaogopa hata kutoa press briefings kwenye press room na badala yake alikua anajificha na kutumia TWITTER; je huo ndio umahiri?
Biden juzi tu alikuwa na interview ya muda mrefu bila teleprompter na CBS news; mara nyingi reporters wa FOX news huwa wanauliza maswali ya kisenge ndio maana huwa hawajibu anaondoka nduki kama Don alivyokuwa anafanya akiiulizwa na reporters toka CNN!
Liberals bana sasa unapanic nini,fats always don't care about your feelings/emotions.Weka evidence mezani twende sawa.Njoja tukunyooshee uwnja,leta hata video kipindi cha kampeni tu,akijibu maswali ya papo kwa papo for at least 30 mnts..
Trump alikuwa anakimbia press briefing??,really kipindi chote cha covid nani alikuwa anatoa briefing?,Kama ulikuwa unafuatilia vizuri,Hivi ilishapita sikun 5 hujamuona Trump kwenye press breafing??..Aisee tusiwe wanafiki,kati ya marais waliokuwa wanaulizwa maswali magumu na press ni Trump na wala hajawahi jificha kwenye basement kama Joe...Thats fact
Kawekwa tu, wenye majibu wanakula mvinyo na remote control.Mzee Biden amekuwa maarufu kwa hii tabia yake mpya ya kuchomoka nduki akimaliza hotuba, Hataki kuulizwa maswali kabisa.
Akimaliza kusoma hotuba yake kwenye telepromter, huwa anaondoka bila kupokea maswali, huenda hii ni kwa sababu majibu ya maswali hayahitaji teleprompter bali kichwa.
Kama Raisi anashindwa kujibu maswali ni wazi kabisa hata kile anachokifanya kinamweka wazi kwamba ni puppet tu.
Ni juzi tu hapo kumekuwa na kashfa ya wafanyakazi wa White House kuwaomba waandishi wa habari maswali wanayotaka kuuliza lakini walikataliwa, Je Biden hawezi kufikiria kujibu maswali? Ni hadi aandikiwe majibu kwenye telepromter ndio njia pekee ya kujibu maswali?
Trump ni Kiongozi bora kabisa, Anajua nini anafanya, huyu hajui, na hio interview maswali yalikua yameandaliwa na majibu yako kwenye teleprompter ila hawawezi kukuonyesha, angalia macho, na anajibu kama anasoma. Hata kama Trump hatumpendi ila ukweli lazima ubaki palepale, Ni Kiongozi mzalendo sana kwa watu na Nchi Yake.Unamkashifu Biden bure kwa mapenzi yako kwa MAFIA Don Donald Trump!!! Trump alikuwa anaogopa hata kutoa press briefings kwenye press room na badala yake alikua anajificha na kutumia TWITTER; je huo ndio umahiri?
Biden juzi tu alikuwa na interview ya muda mrefu bila teleprompter na CBS news; mara nyingi reporters wa FOX news huwa wanauliza maswali ya kisenge ndio maana huwa hawajibu anaondoka nduki kama Don alivyokuwa anafanya akiiulizwa na reporters toka CNN!
Unateseka ukiwa wapi? Anyway malalamiko yako yamesikilizwa in one way or another, tutayafanyia kazi