Ni Kiongozi mzalendo sana kwa watu na Nchi Yake
Trump ni mzalendo kwa wale wanaoamini uongo wake ; huyu ni mtu mbaya sana kwa maendeleo ya nchi yao kwani ni mbaguzi wa rangi anae shabikia kuwa watu wa rangi nyeupe ndio wana haki zaidi kuliko wengine hapo kwao ili hali nchi yao ni ya Watu wa kuja[ immigrants]. Trump tofauti na waliomtangulia ulikuwa na urafiki zaidi na madikteta wa duniani na yeye alikuwa anataka kuipeleka marekani kwenye utawala wa namna hiyo; ndio maana anatumia uongo kuwarubuni wamarekani wasiokuwa na elimu kuwa yeye ndiye mwokozi wa Taifa lao linalotaka kuchukuliwa na raia wasio kuwa na rangi nyeupe.!!