LuisMkinga
JF-Expert Member
- Jan 10, 2012
- 2,958
- 5,560
kwenda ugenini enzi hzo dstv zimeingia ukakalia rimoti ya dstv na zikatoka chanel nyingi sana wakati wewe umezoea na kukariri rimoti nyumbani namba 1. ctn,2. dtv 3. itv. hahahaha
Mara ya kwanza kutumia smart phone, nimetoka dukani nimefika home nimeicharge battery full nimeingia mtaani, mtu wa kwanza ananipigia ninapress green button, kuna kaka aliniona alikuja kunisaidia kufuta na kidole, oohh.
HahahaMm nakumbuka simu, da cjui mwaka gani nikaazima simu ili nimpigie mtu, sasa nikaaandika number vizuri sikuweza kujua kama una press wapi nikaweka kunako sikio, basi nimeganda nayo mpka mwenye simu akashangaaa
Ile milango inayofunguka automatically ilipelekea nikang'oka meno yangu mawili ya mbele!
Sitosahau hata siku moja kwa sababu nilikumbana na aibu kubwa sana na maumivu ya kung'oka meno yangu!
Yaani hamna simu inanikera kama Lumia aiseedada alinipa simu yake(nokia lumia)nipige picha,,daah nilihangaika kinoma kutafuta camera ilipo
Uuuuuh!Baada ya kutembelea ukweni na kupiga menyu ya maana na kuvimbiwa mbaya,nikauliza msalani nikaonyeshwa,si nikaingia na kushusha mzigo wa hatare,sasa si unajua tena vyoo vya kizungu vyataka kufrash maji mengi,nmeshamaliza shughuli bhana,si nikavuta ile kamba,maji hola kumbe yamekatika kitaaambo!!ooh balaa hili jamani kucheki kwenye ndoo ,nmenawa yameisha!!asalaalee!!nikatoka nikatafute maji japo nimuombe beki 3 kiasi tu nikafrash!!,ile niko namnong'oneza beki 3,naona shemeji mkubwa(dada mtu) nae anaelekea msalani!!hatareee si akaingia bhana!!pliz sitaki kukumbuka zaid ile aibu!!nini kilifuata?ntarudi
kama namuona vilee na mikono kichwani!!!pale crdb posta mupya kuna mnyaki alisema tufwilee nimepasua mlango wa watu mweeee!!
Daaah siku ya kwanza kuingia kituo cha mwendokasi, nililipia nauli tena nkatoa elfu5 ili nisiambiwe nauli haitoshi, ilikuwa ni pale urafiki naenda posta nikampa mdada(mlinzi) anisaidie kuscan sasa kimbembe kupita pale mlangoni nkadhani kile kichuma kinafungukia juu. Nilinyanyua lile chuma mpaka mrembo mmoja akanionea huruma akaja kusogeza tu mlango ukafunguka. Kwa aibu nilokuwa nayo nilisubiri mpka watu wote mle ndani ya kituo wakaondoka ndo na mimi nikapanda gari
mbavu zangu jamani!!!Simu yangu ya kwanza kumiliki ilikuwa Alkatel, siku tatu za mwanzo sikuwahi kuiona iki vibrate.
The other day nilikuwa naendesha baiskeli simu nikatumbukiza kwenye back pack, sijui ilijibonyeza vipi ikaita kwa vibration, kitu ambacho nilikuwa sijakitegemea kabisa.
Nikajua ntakuwa nimebeba panya au snake kabisa. Niliruka kama ninja baiskeli ikadondokea chaka lingine mimi kwenye vumbi, begi nalo nimetupia mbali kabisa..
Nikatafuta bonge la fimbo nikaanza kutoa kichapo kwa lile begi hadi niliporidhika chochote kilichomo kitakuwa kimeshakufa.
Kuja kufungua begi duuh!! simu haifai. Nilitamani kwenda kujishtaki polisi mwenyewe
Umenikumbusha tukio fulani kwenye daladala ya ubungo 2012 ,kuna abiria alikuwa anashuka na mzigo wake ulikuwa nyuma ya mlango sasa alihitaji msaada wa waliokaribu na ule mzigo wamtole.Daaah siku ya kwanza kuingia kituo cha mwendokasi, nililipia nauli tena nkatoa elfu5 ili nisiambiwe nauli haitoshi, ilikuwa ni pale urafiki naenda posta nikampa mdada(mlinzi) anisaidie kuscan sasa kimbembe kupita pale mlangoni nkadhani kile kichuma kinafungukia juu. Nilinyanyua lile chuma mpaka mrembo mmoja akanionea huruma akaja kusogeza tu mlango ukafunguka. Kwa aibu nilokuwa nayo nilisubiri mpka watu wote mle ndani ya kituo wakaondoka ndo na mimi nikapanda gari
boss umevunja mbavu zangu asubuhi na mapemaSimu yangu ya kwanza kumiliki ilikuwa Alkatel, siku tatu za mwanzo sikuwahi kuiona iki vibrate.
The other day nilikuwa naendesha baiskeli simu nikatumbukiza kwenye back pack, sijui ilijibonyeza vipi ikaita kwa vibration, kitu ambacho nilikuwa sijakitegemea kabisa.
Nikajua ntakuwa nimebeba panya au snake kabisa. Niliruka kama ninja baiskeli ikadondokea chaka lingine mimi kwenye vumbi, begi nalo nimetupia mbali kabisa..
Nikatafuta bonge la fimbo nikaanza kutoa kichapo kwa lile begi hadi niliporidhika chochote kilichomo kitakuwa kimeshakufa.
Kuja kufungua begi duuh!! simu haifai. Nilitamani kwenda kujishtaki polisi mwenyewe
Daaah siku ya kwanza kuingia kituo cha mwendokasi, nililipia nauli tena nkatoa elfu5 ili nisiambiwe nauli haitoshi, ilikuwa ni pale urafiki naenda posta nikampa mdada(mlinzi) anisaidie kuscan sasa kimbembe kupita pale mlangoni nkadhani kile kichuma kinafungukia juu. Nilinyanyua lile chuma mpaka mrembo mmoja akanionea huruma akaja kusogeza tu mlango ukafunguka. Kwa aibu nilokuwa nayo nilisubiri mpka watu wote mle ndani ya kituo wakaondoka ndo na mimi nikapanda gari
Utakunyaje ukweni nawewe?Baada ya kutembelea ukweni na kupiga menyu ya maana na kuvimbiwa mbaya,nikauliza msalani nikaonyeshwa,si nikaingia na kushusha mzigo wa hatare,sasa si unajua tena vyoo vya kizungu vyataka kufrash maji mengi,nmeshamaliza shughuli bhana,si nikavuta ile kamba,maji hola kumbe yamekatika kitaaambo!!ooh balaa hili jamani kucheki kwenye ndoo ,nmenawa yameisha!!asalaalee!!nikatoka nikatafute maji japo nimuombe beki 3 kiasi tu nikafrash!!,ile niko namnong'oneza beki 3,naona shemeji mkubwa(dada mtu) nae anaelekea msalani!!hatareee si akaingia bhana!!pliz sitaki kukumbuka zaid ile aibu!!nini kilifuata?ntarudi
akakuta shilingi ina elea baharini malizia mkuuBaada ya kutembelea ukweni na kupiga menyu ya maana na kuvimbiwa mbaya,nikauliza msalani nikaonyeshwa,si nikaingia na kushusha mzigo wa hatare,sasa si unajua tena vyoo vya kizungu vyataka kufrash maji mengi,nmeshamaliza shughuli bhana,si nikavuta ile kamba,maji hola kumbe yamekatika kitaaambo!!ooh balaa hili jamani kucheki kwenye ndoo ,nmenawa yameisha!!asalaalee!!nikatoka nikatafute maji japo nimuombe beki 3 kiasi tu nikafrash!!,ile niko namnong'oneza beki 3,naona shemeji mkubwa(dada mtu) nae anaelekea msalani!!hatareee si akaingia bhana!!pliz sitaki kukumbuka zaid ile aibu!!nini kilifuata?ntarudi