Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,648
- 75,732
Pamoja mkuuAhsante charii yangu ya ara..
Huu ndio uzi wangu aisee ngoja niusevu.
Pamoja mkuuAhsante charii yangu ya ara..
Huu ndio uzi wangu aisee ngoja niusevu.
HahahahaMara ya kwanza kutumia smart phone, nimetoka dukani nimefika home nimeicharge battery full nimeingia mtaani, mtu wa kwanza ananipigia ninapress green button, kuna kaka aliniona alikuja kunisaidia kufuta na kidole, oohh.
Iliwahi nitokea hiiMara ya kwanza kutumia smart phone, nimetoka dukani nimefika home nimeicharge battery full nimeingia mtaani, mtu wa kwanza ananipigia ninapress green button, kuna kaka aliniona alikuja kunisaidia kufuta na kidole, oohh.
Mara ya kwanza kutumia smart phone, nimetoka dukani nimefika home nimeicharge battery full nimeingia mtaani, mtu wa kwanza ananipigia ninapress green button, kuna kaka aliniona alikuja kunisaidia kufuta na kidole, oohh.
Hahaha
nakumbuka na mimi niliambiwa nifunge mkanda ndani ya gari sasa nilikua sijui namna wanavyo ufunga ilikua aibu sana
aisee.. Hatari sanaMimi nilienda bank kufungua account sasa nilipokuwa mle ndani kwenye arakati za kujiandikisha na nn muda wa kutoka nakaza kuvuta mlango badala ya kusukuma daaa navuta mpk nakuja kugutuka watu wananishanga daaa kwakweli niliona aibu
Baada ya kupiga voda nkakosea nkapiga tigo
Kidogo bas
aisee.. Hatari sana
Baada ya kutembelea ukweni na kupiga menyu ya maana na kuvimbiwa mbaya,nikauliza msalani nikaonyeshwa,si nikaingia na kushusha mzigo wa hatare,sasa si unajua tena vyoo vya kizungu vyataka kufrash maji mengi,nmeshamaliza shughuli bhana,si nikavuta ile kamba,maji hola kumbe yamekatika kitaaambo!!ooh balaa hili jamani kucheki kwenye ndoo ,nmenawa yameisha!!asalaalee!!nikatoka nikatafute maji japo nimuombe beki 3 kiasi tu nikafrash!!,ile niko namnong'oneza beki 3,naona shemeji mkubwa(dada mtu) nae anaelekea msalani!!hatareee si akaingia bhana!!pliz sitaki kukumbuka zaid ile aibu!!nini kilifuata?ntarudi
pale crdb posta mupya kuna mnyaki alisema tufwilee nimepasua mlango wa watu mweeee!!Mlango wa sensor aiseee