Ni kipi kinachowaliza WANANDOA siku ya harusi?

Ni kipi kinachowaliza WANANDOA siku ya harusi?

Shuku_

Senior Member
Joined
Sep 26, 2019
Posts
191
Reaction score
273
Habari zenu wakuu 👋🏽 👋🏽

Hivi ni kitu gani kunasababisha mmoja kati ya WANANDOA kulia machozi wakati wa HARUSI?

Maana jambo hili limekuwa likifanywa na WANANDOA wengi tu.
 

Attachments

  • AddText_04-25-04.10.11.jpg
    AddText_04-25-04.10.11.jpg
    491.6 KB · Views: 20
Hakuna kitu kinaliza kama hisia za furaha , wengi hulia kwa hisia za furaha wakijua ndoa ni tamu mno mwanzo mwisho, Angalia watu walioishi miaka zaidi ya 10 wakafunga ndoa ukiona wanalia ujue hapo kweli ndoa yao ina dalili za kuwa na furaha mno.
 
Hisia tuu, mwingine haamini km kaoa, mamba ni mengi,

Binafsi siwezi Lia wala kupiga goti
Shalom kaka

Ni hisia tu nakubali.. nilimsimamia mtu kitchen party.. wakati namsindikiza mtarajiwa meza ya Mama mzazi kupeleka keki, ule wimbo wa Mama wa Kayumba unapigwa. Machozi sijui yalitoka wapi? Yakaanza kunilenga 🤣🤣

Me nashangaaga tu Mwanaume akitoa chozi… ni kwamba alisumbuliwa sana kumpata huyo bi harusi au?
 
kwenye hiyo picha alichokifanya Diamond kwa Jux, Jux alitakiwa afanye kwa mke wake, become an absolute beacon of calming when your woman is in emotional turmoil
 
Shalom kaka

Ni hisia tu nakubali.. nilimsimamia mtu kitchen party.. wakati namsindikiza mtarajiwa meza ya Mama mzazi kupeleka keki, ule wimbo wa Mama wa Kayumba unapigwa. Machozi sijui yalitoka wapi? Yakaanza kunilenga 🤣🤣

Me nashangaaga tu Mwanaume akitoa chozi… ni kwamba alisumbuliwa sana kumpata huyo bi harusi au?
Shalom babygirl 😂😍

Mara nyingi ni hisia tuu, au kukumbuka memories flani flani tuu,

Kama ile unaona mtu kafiwa unakuta katulia akija mgeni, au ndg ama rafik ambaye hajafika bado anatokwa na machozi unajua kwann 😂

Shalom kaka

Ni hisia tu nakubali.. nilimsimamia mtu kitchen party.. wakati namsindikiza mtarajiwa meza ya Mama mzazi kupeleka keki, ule wimbo wa Mama wa Kayumba unapigwa. Machozi sijui yalitoka wapi? Yakaanza kunilenga 🤣🤣

Me nashangaaga tu Mwanaume akitoa chozi… ni kwamba alisumbuliwa sana kumpata huyo bi harusi au?
 
Habari zenu wakuu 👋🏽 👋🏽

Hivi ni kitu gani kunasababisha mmoja kati ya WANANDOA kulia machozi wakati wa HARUSI?

Maana jambo hili limekuwa likifanywa na WANANDOA wengi tu.
😅😅 Because they understand the trouble they are getting themselves into
 
Halafu utakuta wanaolia walishavuana nguo sana tu kabla ya ndoa! Ni usanii tu.
 
Back
Top Bottom