Si ndiyo sababu ya kuvuliwa uwanachama.Kumbe naye yupo upande wa lowasa?
Ile kauli ya kwamba wataomba kibali polisi wawategue wanaopinga ...wanatakiwa waanzie ndani kabisa ya Chama.maana yake????????
Mambo yote Gamboshi baba, mlingoti cha mtoto.Lkn nasikia hawaendi mlingotini maana huko kwa sasa ni adui yao namba 1
Lowasa ni mtu mjanja sana
Mbona wanarudi na silaha, au ndo wanajua huko mbele kuna vita ya wenyewe kwa wenyewe?
Hakuna hoja zaidi ya vioja!Tukiwa bado tunaendelea na kushuhudia songombingo ndani ya lumumba leo tena msanii nguri Kipanya katuletea kikatuni kingine ambacho binafsi nimeshindwa kukielewa.
Naomba tafadhali mwenye uelewa atusaidie kutwambia alikusudia kuwakilisha ujumbe gani haswa!View attachment 1166801
,maana yake????????
Mliokuwa wafuasi wangu rudini CCM!!!!