Ni kiongozi gani wa kisiasa ana hotuba kali za kumbadilisha mtu?

naona hii muda imetawaliwa na hisia za uvyama, Lila mtu anajaribu kumpigia Debe kiongozi wake Wa kisiasa, Mimi hua nikimsikiliza prof. lipumba, shivj, Emanuel nchimbi, zito na Benjamin mkapa hua najiuliza hawa watu HV n vpaji au wamesomea
 
Mie hotuba za Sophia Simba napenda kumsikiliza huwa anaongea uhalisia wa mambo hivi ulishawahi kumsikiliza hotuba zake vzr?bila ushabiki?

My God! Sophia Simba? una akili timamu kweli wewe au umetoroka Mirembe? Huu nd\i MZOGO mwingine ndani ya baraza la mawaziri la JK.
 
Adolf Hitler was an emotional speaker who had a mesmerizing effect to those who listened....

Huyu jamaa alikuwa na uwezo wa kukushawishi ujitundike kwenye kitanzi mwenyewe kwa hotuba zake Tu..

Bongo bado Sana,wanaobalishwa Ni vilaza Tu wasiojitambua!!!

Kumbe hitra alikuwa bado anahutubia 2008-2010? Wonders never end!
 
Christopher mtikila nakumbuka hutuba Ya kwenya kuwatoa ma'ga'ba'cho'li nyumba za NHC haha haha haaaa!
 
wakat wa Hitler na sasa Ni generation tofauti hebu tuache kusema mambo kwa mihemko afta all Hitler alkuwa dicteta na sisi wademoctasia Ni mashariki na magharibi. hawez kuwa na hotuba ya kunibadili mm, niache democrasia niwe dicteta au?
 
Kumbe hitra alikuwa bado anahutubia 2008-2010? Wonders never end!

We PI.MBI!
Tofautisha swali na maelezo ya aliyeuliza swali.

Hiyo limitation ya 2008-2010 umeiona kwenye swali lake la msingi au Unabwabwaja Tu?

USIWE UNAKURUPUKA.
 
Kiongozi aliyekuwa akivutia sana anapohutubia ni marehemu Baba wa taifa Mwl Nyerere.Wapo watu wanaojua kucheza na hadhara wawapo jukwaani,baadhi ni hawa wafuatao; Mtikila, Mrema, Magufuli, Ana Kilango, Halima Mdee, Slaa, Mbowe, Tundu Lisu, Msigwa, Lipumba,Cheyo, Mnyika n.k. Lakini katika kizazi hiki hakuna hata mmoja anayefikia hata nusu ya uwezo wa Mwalimu. Sijui lini mungu atatuhurumia atuletee mwalimu mwingine.
 
Kati ya mwaka 2008 hadi 2010 niliwahi kumsikia Mh.Mbowe akihutubia Uwanja wa Mkendo Manispaa ya Musoma.

Alizungumzia mambo mengi ila alipoanza kulizungumzia suala Ufisadi wa EPA ndani ya BOT.

Nakumbuka siku ile watu walikuwa wengi sana walihudhuria wakiwemo wanachama na wapambe wa CHADEMA,CCM,CUF na wengi wasiokuwa wanachama wa chama chochote kile.

Kijana aliyeonekana kavalia Tisheti ya njano ikiwa inaashiria yeye ni mwana ccm aliyekunywa mpaka maji ya Bendera kama kiapo cha kutokukiuka masharti ya chama hicho.(kama wasemavyo watu)


Kijana huyo alionekana kumfuatilia Mbowe kwa makini wakati akiongea,Kijana aliyeaminiwa na ccm kuwa kamwe haitatokea akikane na kukiacha CHAMA CHA MAPINDUZI,ailiposikia fedha zile zikipangwa moja moja kutokea TZ zitafika Cairo Misri alipiga Yowe la nguvu UUWIIIII!!! HUKU AKICHANA ILE TISHITI ALIYOKUWA AMEIVAA MBELE YA HADHARA YOTE AKABAKIA KIFUA WAZI.

Kwa tukio hilo kutokea yamkini ilituthibitishia kwamba Hotuba ya Mbowe ilibeba ujumbe mzito mpaka kijana akaona haina maana ya kuendelea kuvaa Tisheti ya CCM huku akizidi kuwa masikini na Wakati huo huo Wengine wakiyala mema ya Nchi kwa kuifisidi Nchi kaa Mchwa anayatafuna Nyasi.

Wewe unaonaje? Mh. Mbowe aweza kuwa kiongozi wa Kisiasa mwenye Hotuba kali kiasi cha kuwabadili wengi na kuacha vyama vyao na kujiunga na CHADEMA?

Nawasilisha kwenu Wanajamii.

Mbowe ana style yake ya kuvutia watu akiwa anahutubia, but Mwl Nyerere ni wisho wa reli ktk hotuba zake, huwa nasikiliza hotuba zake za miaka ya sitini, utadhani zimeandaliwa juzi, jamani ile ilikuwa mashine hakuna tena!
 
JK Nyerere ni Noma shida hakuna mrithi anayefanana naye iwe kwa Hotuba au Uadilifu.
 
Mbowe ana style yake ya kuvutia watu akiwa anahutubia, but Mwl Nyerere ni wisho wa reli ktk hotuba zake, huwa nasikiliza hotuba zake za miaka ya sitini, utadhani zimeandaliwa juzi, jamani ile ilikuwa mashine hakuna tena!
Khaa!! Style ya kuongelea kooni ambayo Lema, Mnyika na vijibwa vingine hutumia??
 
Lipumba???

Miaka nenda rudi ni M/Kiti wa CUF na Amesimama kugombea Urais;Badala ya CUF kuongeza idadi ya wanachama ndio hao wanazidi kupungua.


ni vigumu kuchangia thread ya mtu asiejitambua.
Embu washindanishe hao wawili(mbowe na pro.lipumba) ktk suala la uwezo binafsi jibu utalipata.
 
Back
Top Bottom