Ni kina nani hawa wanaotishia usalama wa Rais wetu kiasi hiki?

BEHOLD

JF-Expert Member
Nov 17, 2013
5,057
10,715
Jana msafara wake ulienda kuaga mwili wa "afisa" mmoja wa TISS, kila kona ya bara bara kukawa na askari wenye mitutu ya bunduki. Leo pia vivyo hivyo.

Nimejikuta najiuliza hivi ni adui au maadui gani hawa wanamtisha na kumuogofya Mkuu wetu wa nchi anayependwa na wananchi wake kiasi hiki?

Isije tokea siku tukapoteza risasi zetu kwa kuua Inzi..!
 
Jana msafara wake ulienda kuaga mwili wa "afisa" mmoja wa TISS, kila kona ya bara bara kukawa na askari wenye mitutu ya bunduki. Leo pia vivyo hivyo.

Nimejikuta najiuliza hivi ni adui au maadui gani hawa wanamtisha na kumuogofya Mkuu wetu wa nchi anayependwa na wananchi wake kiasi hiki?

Isije tokea siku tukapoteza risasi zetu kwa kuua Inzi..!
Commander in Cheat, anaogopa hadi kivuli chake
 
Jana msafara wake ulienda kuaga mwili wa "afisa" mmoja wa TISS, kila kona ya bara bara kukawa na askari wenye mitutu ya bunduki. Leo pia vivyo hivyo.

Nimejikuta najiuliza hivi ni adui au maadui gani hawa wanamtisha na kumuogofya Mkuu wetu wa nchi anayependwa na wananchi wake kiasi hiki?

Isije tokea siku tukapoteza risasi zetu kwa kuua Inzi..!
Wazungu tuliozuia wasiondoke na mchanga, wauza unga na mitandao yao, wa meno ya tembo na mitandao yao, wapiga dili sekta za umma na matajiri mafisadi na wakwepa kodi huwa ni watu hatari sana unapoendesha vita vya uchumi
 
Jana msafara wake ulienda kuaga mwili wa "afisa" mmoja wa TISS, kila kona ya bara bara kukawa na askari wenye mitutu ya bunduki. Leo pia vivyo hivyo.

Nimejikuta najiuliza hivi ni adui au maadui gani hawa wanamtisha na kumuogofya Mkuu wetu wa nchi anayependwa na wananchi wake kiasi hiki?

Isije tokea siku tukapoteza risasi zetu kwa kuua Inzi..!
Tiss kafa nani tena?
 
Jana msafara wake ulienda kuaga mwili wa "afisa" mmoja wa TISS, kila kona ya bara bara kukawa na askari wenye mitutu ya bunduki. Leo pia vivyo hivyo.

Nimejikuta najiuliza hivi ni adui au maadui gani hawa wanamtisha na kumuogofya Mkuu wetu wa nchi anayependwa na wananchi wake kiasi hiki?

Isije tokea siku tukapoteza risasi zetu kwa kuua Inzi..!
Angalia kinachotokea Venezuela kisa Maduro anazuia mafuta kama mtangulizi wake Hugo Chavez ambaye inasemekana walimpa sumu ya kufa taratibu alipoenda mikutano ya kimataifa kwao. Hata Kim Jong Un, usipozuia maslahi yao huna haja hata ya ulinzi seriously, malawi wana tumbaku na Chai tu umeona wazungu wanahangaika nao??, Hata ziara za kuelekea Malawi hakuna. Inafaa kuwaangalia wazungu kwa upeo mkubwa, hapo Uganda kabla jamaa hajagundua mafuta kelele kila siku umekaa muda mrefu ustaafu, alivyogundua mafuta kelele Imeisha wanajua bora wanaemmudu kuliko aje mpya kama Magufuli. Unatakiwa kuwa na upeo kuwaelewa wale jamaa
 
Back
Top Bottom