Jana msafara wake ulienda kuaga mwili wa "afisa" mmoja wa TISS, kila kona ya bara bara kukawa na askari wenye mitutu ya bunduki. Leo pia vivyo hivyo.
Nimejikuta najiuliza hivi ni adui au maadui gani hawa wanamtisha na kumuogofya Mkuu wetu wa nchi anayependwa na wananchi wake kiasi hiki?
Isije tokea siku tukapoteza risasi zetu kwa kuua Inzi..!
Nimejikuta najiuliza hivi ni adui au maadui gani hawa wanamtisha na kumuogofya Mkuu wetu wa nchi anayependwa na wananchi wake kiasi hiki?
Isije tokea siku tukapoteza risasi zetu kwa kuua Inzi..!