ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,109
- 49,812
Habari kubwa Leo ni uchaguzi wa Chipukizi wa CCM ambao ndio Viongozi wa kesho.
CCM wanawaandaa viongozi wao na WA Tanzania ya kesho Wangali Wachanga,wakaanza kukomazwa mapema sana.
Chadema Sasa wako kama kokolo Kila mlevi,mvuta bangi,asiye na Maadili kama Gekul,Mdude,Lisu mropokaji nk wanaokotezwa Kila mmja na alikokuwa.
Mambo kama haya ndio yanafanya msiamoniwe na Watanzania mnaishia kulalamika na Kugombea Nchi ipate majanga mkidhani mnawakomoa CCM.
My Take
Hongera ccm mnaonyesha kuwa ni chama Kiongozi na chama makini.
Rais Samia hakuokotezwa kama Chadema walivyookoyeza Mwenyekiti wao.
View: https://twitter.com/Hakingowi/status/1737630401277931634?t=-PFXNdqbP62at7qpvDcrZw&s=19
CCM wanawaandaa viongozi wao na WA Tanzania ya kesho Wangali Wachanga,wakaanza kukomazwa mapema sana.
Chadema Sasa wako kama kokolo Kila mlevi,mvuta bangi,asiye na Maadili kama Gekul,Mdude,Lisu mropokaji nk wanaokotezwa Kila mmja na alikokuwa.
Mambo kama haya ndio yanafanya msiamoniwe na Watanzania mnaishia kulalamika na Kugombea Nchi ipate majanga mkidhani mnawakomoa CCM.
My Take
Hongera ccm mnaonyesha kuwa ni chama Kiongozi na chama makini.
Rais Samia hakuokotezwa kama Chadema walivyookoyeza Mwenyekiti wao.
View: https://twitter.com/Hakingowi/status/1737630401277931634?t=-PFXNdqbP62at7qpvDcrZw&s=19