Ni kheri arudi urais Benjamin Mkapa kuliko uongozi wa Jakaya Kikwete: What does that tell us?

AshaDii na Azimio Jipya,

Wakuu zangu lazima mfahamu kwamba lugha mnayotumia hapa ni ya kisonmi sana na lazima mtu akafanye homework yake ili vitu vijae kichwani.. Moja kubwa ambalo nimeliona mkizungumzia ni mchanganyiko wa rangi mbili za Njano na Blue kwa ufasaha ambao msomaji lazima afahamu viwango na nini matokeo ya mchanganyiko huo..

Sasa kwa wengine wasiojua mnachozungumza, wao huona mbele yao rangi ya Kijani! na wakashangaa sana kwa nini inazungumzia mchangayiko wa rangi za njano na Blue hali kinachoonekana kwoa ni rangi ya Kijani...Kwa maana hii Wadanganyika wengi hawafahamu matokeo ya kuchanganya rangi hizo wala kwa kiwango gani hivyo hukurupuka na kuanza kupinga kwa sababu maishani mwao hawajawahi kuona rangi hizi mbili zikichanganywa na nini kitatokeo kama rangi hizi zitachanganywa..

Na ndio maana hata mimi hujaribu sana kuendelea kutetea hoja na mtazamo wangu pamoja na kwamba nafahamu fika kwamba wengi ya watu wasionielewa ni pamoja na wale ambao hawajui mchanganyiko wa rangi isipokuwa rangi (readymade) wanayoiona machoni mwao..
- PATAMU HAPO

Mkandara;

Nimejikuta na cheka sana! Kwa kweli hiyo analogy ya mfano wa rangi imenichukua muda hadi kuja kujua nini maana yake. Imenikumbusha wale wazee wetu wa zamani ..waliokuwa makini, waangalifu na wenye busara sana kwenye kujenga hoja na kupeleka ujumbe ...I wish I could Be that good!! ... Hawa Viongozi wetu wa sasa..they dont have this patient and wisdom ..nafikiri ndio maana tumefikia hata kwenye mijadala hii ya kutafuta misingi sahihi ya Ujenzi mpya wa Taifa letu!!

Back to the thread .... Mkuu umesema It could be wise if we use (readymade) ...Haha hah..! Nafikiri nimsubiri Asha Dii nione yeye atachagua Buluu au Manjano.. (Lol) ...alafu hii manjano nimeisikia leo!!
 
Asha; + Mkandara;

To me what I have just coloured blue worth a thread!! Ni muhimu tena muhimu sana ... nafikiri Mkandara atakuwa na cha kusema hapa!

Inanitatiza sana kwa nini mambo yawe kama yalivyo... yaani kuna UPOFU ..tena UPOFU very siginificant ... Hivi kweli kabisa kama Mimi napingana na wewe inaweza kufikia kukataa kuita maji maji kwa sababu mimi mpinzani wako nimatangulia kujaita maji kuwa ni maji. Hivi kweli ni lazima kuyatafutia jina lingine tu simply kwa kuwa ukijaita maji utaonekana kuwa emefungamana na Mimi mpinzania wako. Hivi kweli is it wise ... Kukataa maji kuwa si maji kwa kuwa Mpinzani wangu ameona kuwa ni maji!

Nini kitatokea kama Mpinzani akaamua Kusimamia umoja na uzalendo wa Kitaifa ... Si unaona ... Mwenzake Itabidi aukane uzalendo na Utaifa... Nini kitatokea kama Chama kimoja kina sera sahihi kabisa dhidi ya jambo fulani ....lakini .... NI MWIKO chama kingine kuliunga mkono kwani inaonekana kuwa huo ni usaliti. Hivi kweli huu si upuuzi ... does it realy make sense ... Yaani makundi mawili yanajiita vyama vya siasa vinafanya michezo ..or call it MIND GAMES ...Lakini Mind game na maisha ya Watanzania wote...

Nani haona nini kinatokea pale bungeni ...sometimes totaly nonses... Unaona kabisa Mbunge wa CCM mwingine mzuri you can tell anavyojenga hoja nk ...Lakini Unaona waziwazi akifikia mahili inabidi asifie CHADEMA au Kuunga mono Hoja iliyotolewa na CHADEMA ...anapatwa na Kigugumizi.... Akidhubutu kuruka mstari na kuonyesha kama yuko upande sahihi wa hoja ya manufaa kwa jamii lakini ya CHADEMA ..anafanyiwa KIKAO na wana CCM wenzake! Na Kwa upande wa CHADEMA mambo ni the same ...hata kama wana nafuu fulani ...lakini tungetegemea wajiamini kabisa .... Kama ni issue inayojumuisha manufaaa ya kitaifa, uzalendo, Utu na heshima ya Mtanzania hata kama imetoka upanda wa CCM wao CHADEMA bila kumumnya maneno ... Inabidi waisifu na kuisimamia na kuinga mkono with full force ..full imapact ..kama it wise to do so!!

Nani haoni kuwa CCM na CHADEMA kunawakati wanaonekana kama wanatoka nchi mbili tofauti kabisa.

Hivi nani haoni kuwa Vyama vikubwa viwili vinapofikia hapo ... vinajenga MTINDIO WA KIMAENDELEO USIOPIMIKA na kumalizika kirahisi.

CCM kingekuwa chama safi , chenye maadili na muelekeo wa kusimamia na kujenga maslahi ya Watanzania ...KINGEJIAMINI NA KUSIMAMA PAMOJA NA CHADEMA ...KAMA ambavyo CHADEMA ingefanya pia ...what is a big deal in that? Vyama hivyo havitabadilika na kuwa kimoja vikionyesha Kukomaa kwa namna hiyo ambako kumesheheni ... kujiamini, Busara, Kujali, Heshima and all moral values needed by this nation so much!!

Lakini Kilango akionekana kumuunga Mkono Zito ...ohhhhh...shida ..wala sio kaunga mkono CHADEMA ...lakini Kaunga mkono hoja yake yenye mantiki na kanuni yenye kujenga Tiafa lote kwa Ujumla. Huko CHADEMA the same!!

I am sure something need to be done in this issue baada ya sisi kumaliza to compare and contrast present and past presidents!!


Azimio... jana nilipita katika this thread... but was so tired to read this post.. but enways leo i have had time to read it... Nimependa saaana your analysis... it is perfect kwangu na Perspectives zangu ziliposimamia... I feel like i have written every single word ot it... You have written it is sucha a way i obeserve/know about Politics katika inchi yetu hii changa.... Na hii post imenifanya nikumbuke bifu la CCM Vs CDM katika suala zima la posho; particulary Makinda Vs Kabwe ambao to me woote walishindwa kabisa kutumia busara in resolving the issue - each so set katika kuhakikisha kua anasimamia Chama chake kionekane ndio kina last say.... Sad.

Your last sentence... naona kama vile ilijikuta thread ika turn out that way.. thou i do not regret for nimekusanya a lot of more infor kutoka michango mbali mbali katika this thread... imenipa picha how different members wana different views thou woote wakilenga an end of a better Tanzania....
 
AshaDii na Azimio Jipya,

Wakuu zangu lazima mfahamu kwamba lugha mnayotumia hapa ni ya kisonmi sana na lazima mtu akafanye homework yake ili vitu vijae kichwani.. Moja kubwa ambalo nimeliona mkizungumzia ni mchanganyiko wa rangi mbili za Njano na Blue kwa ufasaha ambao msomaji lazima afahamu viwango na nini matokeo ya mchanganyiko huo..

Sasa kwa wengine wasiojua mnachozungumza, wao huona mbele yao rangi ya Kijani! na wakashangaa sana kwa nini inazungumzia mchangayiko wa rangi za njano na Blue hali kinachoonekana kwoa ni rangi ya Kijani...Kwa maana hii Wadanganyika wengi hawafahamu matokeo ya kuchanganya rangi hizo wala kwa kiwango gani hivyo hukurupuka na kuanza kupinga kwa sababu maishani mwao hawajawahi kuona rangi hizi mbili zikichanganywa na nini kitatokeo kama rangi hizi zitachanganywa..

Na ndio maana hata mimi hujaribu sana kuendelea kutetea hoja na mtazamo wangu pamoja na kwamba nafahamu fika kwamba wengi ya watu wasionielewa ni pamoja na wale ambao hawajui mchanganyiko wa rangi isipokuwa rangi (readymade) wanayoiona machoni mwao..
- PATAMU HAPO


Na kweli hapo Patamu... Ha ha ha… This post is impressive aisee…. Lol… Great analogy as already said by Azimio.. yaani would have not done better my self. Jinsi tu umeielezea yahitaji mtu alotulia kichwa na akili kuweza kuelewa what the heck unazungumzia…

Kama ulivosema.. majority wangeacha ushabiki wa Ready made (Dah! Hii nimeipenda sound yake…) na kuchanganya rangi instead of playing it safe na kung’ang’ania rangi moja, ingetoa product ya end result ya watu ambao wanatoa rational thoughts na vile vile kutoa rational decisions…

In most cases I thot the majority wont get what or why I am saying what I am saying… But fortunately nimepata watu ambao wako exactly katika my line of thot which to me has been worth the thread.. Thus nimeshukukur saana kwa Michango yenu… na members woote walo husika… I can say that nipo katika kambi isiyo kua na kambi…
 
Na kweli hapo Patamu... Ha ha ha… This post is impressive aisee…. Lol… Great analogy as already said by Azimio.. yaani would have not done better my self. Jinsi tu umeielezea yahitaji mtu alotulia kichwa na akili kuweza kuelewa what the heck unazungumzia…

Kama ulivosema.. majority wangeacha ushabiki wa Ready made (Dah! Hii nimeipenda sound yake…) na kuchanganya rangi instead of playing it safe na kung'ang'ania rangi moja, ingetoa product ya end result ya watu ambao wanatoa rational thoughts na vile vile kutoa rational decisions…

In most cases I thot the majority wont get what or why I am saying what I am saying… But fortunately nimepata watu ambao wako exactly katika my line of thot which to me has been worth the thread.. Thus nimeshukukur saana kwa Michango yenu… na members woote walo husika… I can say that nipo katika kambi isiyo kua na kambi…

Nakubaliana na wewe hapo kwenye red.
Mimi binafsi sifuati itikadi ya chama chochote. I'm independent and non-partisan both huku ughaibuni na huko nyumbani. Ushabiki wa ready-made ktk siasa za nchi sio mzuri
 
Asha;

@ Blue, Nakubaliana na ukweli kuwa chini ya uongozi wa Rais Jk ..imetokea fursa... iliyowezesha mapungufu na madhaifu makubwa ya muda mrefu ndani ya serekali na Chama kujulikana hadharani... Hilo haliwezi kupingwa. Ningependa Mimi, kudadisi kuwa mafanikio hayo ya kui xpose ccm na serekali was it delibarate move kama mkakati aliojenga Rais JK? au was it just out of coincidence!! Maana kama Rais Jk ..alikaa akaiwazia nchi jinsi gani aisaidie halafu akafanya aliyofanya huo ni ushujaa na make him very strong as a Leader ..but kama ilitokea tu, bila msukumo toka akilini na moyoni kwake kama hata kama imeleta matunda mazuri ...I will always say .. Doing the right thing for a wrong reasons/motive ... !!

Naomba nikuunge mkono kwa kuuliza swali moja:
Kipi bora ufunue madudu ukae bila kuyashughulikia au uyaache chini ya carpet?

Binafsi naogopa sana kufungua "PANDORA's Box' kama huna jinsi ya kudhibiti au kushughulikia madudu yatakayoruka humo ndani ya box.

Wananchi wanapojua maovu/mabaya tena yanayohusu rasilimali zao znavyotumika kiufujaji ilhali wao hali ya maisha inazidi kuwa duni ni uchungu ulioje?!
 
Naomba nikuunge mkono kwa kuuliza swali moja:
Kipi bora ufunue madudu ukae bila kuyashughulikia au uyaache chini ya carpet?

Binafsi naogopa sana kufungua "PANDORA's Box' kama huna jinsi ya kudhibiti au kushughulikia madudu yatakayoruka humo ndani ya box.

Wananchi wanapojua maovu/mabaya tena yanayohusu rasilimali zao znavyotumika kiufujaji ilhali wao hali ya maisha inazidi kuwa duni ni uchungu ulioje?!

WOS;

.... Nimekueelwa kabisa!!

and I hope you wont mind nimefupisha jina lako kwa herufi tatu!!
 
Nakubaliana na wewe hapo kwenye red.
Mimi binafsi sifuati itikadi ya chama chochote. I'm independent and non-partisan both huku ughaibuni na huko nyumbani. Ushabiki wa ready-made ktk siasa za nchi sio mzuri


Nimefurahi... for exactly my line of thought....
 
Naomba nikuunge mkono kwa kuuliza swali moja:
Kipi bora ufunue madudu ukae bila kuyashughulikia au uyaache chini ya carpet?

Binafsi naogopa sana kufungua "PANDORA's Box' kama huna jinsi ya kudhibiti au kushughulikia madudu yatakayoruka humo ndani ya box.

Wananchi wanapojua maovu/mabaya tena yanayohusu rasilimali zao znavyotumika kiufujaji ilhali wao hali ya maisha inazidi kuwa duni ni uchungu ulioje?!


Hio hapo nina hamu nayo saana.... na najua kuna differrent schools of thought kuhusu kufungua Pandora's box na kwamba Pandora limejifungua kwa madai kua maybe ilifika time ikabidi iwe hivo... kitu ambacho nakataa for Pandora's both was not meant to be opened again thus has to be hidden far away from the face of the earth... forever.... Hata hivo kwa hili.... Only time will tell, for history is the best truth teller ya pande zoote za shillingi.....
 
Mkandara;

Nimejikuta na cheka sana! Kwa kweli hiyo analogy ya mfano wa rangi imenichukua muda hadi kuja kujua nini maana yake. Imenikumbusha wale wazee wetu wa zamani ..waliokuwa makini, waangalifu na wenye busara sana kwenye kujenga hoja na kupeleka ujumbe ...I wish I could Be that good!! ... Hawa Viongozi wetu wa sasa..they dont have this patient and wisdom ..nafikiri ndio maana tumefikia hata kwenye mijadala hii ya kutafuta misingi sahihi ya Ujenzi mpya wa Taifa letu!!

Back to the thread .... Mkuu umesema It could be wise if we use (readymade) ...Haha hah..! Nafikiri nimsubiri Asha Dii nione yeye atachagua Buluu au Manjano.. (Lol) ...alafu hii manjano nimeisikia leo!!


Azimio kicheko ulichopat hapo kwa Mkandara naona tulikua pamoja... i can almost picture you....lol

However... naona mpaka hapa ni dhahiri kua Sitaki Ready Made... sitaki Siasa za kutafuniwa... mwingine akiichambua basi nachukua kama ilivo sababu tu ni fulani ama ni chama fulani... Wala sijabahatika mpaka sasa kupata kiongozi who has my full vote of Confidence awe in power or not in power, that based on my interest in them and their actions... Whether ikiwa at an individual level or national level....
 
Hio hapo nina hamu nayo saana.... na najua kuna differrent schools of thought kuhusu kufungua Pandora's box na kwamba Pandora limejifungua kwa madai kua maybe ilifika time ikabidi iwe hivo... kitu ambacho nakataa for Pandora's both was not meant to be opened again thus has to be hidden far away from the face of the earth... forever.... Hata hivo kwa hili.... Only time will tell, for history is the best truth teller ya pande zoote za shillingi.....

AshaDii I hear you kabisa..... opening of Pandora's Box is inevitable lakini kuwe na maandalizi bwana. Utafungua tu bila kujihami na yatakayokurupuka humo? Lijoka likikurukia shingoni au manyigu wakikurukia usoni utabaki unayachekelea tu?... I thought inabidi uvae hata nyenzo za kujikinga usipate madhara na hapohapo uwe umejipanga kuponda vichwa vya nyoka na mijusi na kupuliza dawa uuwe komba mwiko!! Utafungua tu kisha ukimbie? Yakifumka humo na kukimbilia chumbani mwako je?
 
Wana JF…



“NI KHERI ARUDI URAIS BENJAMIN MKAPA KULIKO UONGOZI WA JAKAYA KIKWETE”

Miongoni mwa kauli zinazonichefua kwa sasa miongoni mwa sisi watz ni hii....
Utafikiri hicho kipindi (cha Mkapa) Tz ilikuwa ni nchi ya Asali na Maziwa....
Naweza kusema kitu kimoja kuwa hata Kikwete awe amefanya madudu kiasi gani bado haiwezi kuhalalisha dhambi kuu za Mkapa.
Ombwe la uongozi hamna aliyeweza kuliziba......
Kama alivyosema "The Boss" haitakuwa ajabu kuwa watu wenye fikra hizo wakasema "bora Kikwete kuliko rais huyu..."
Hizi ni fikra zilizokandamizwa na kujeruhiwa na umasikini uliokithiri miongoni mwetu.
 
AshaDii I hear you kabisa..... opening of Pandora's Box is inevitable lakini kuwe na maandalizi bwana. Utafungua tu bila kujihami na yatakayokurupuka humo? Lijoka likikurukia shingoni au manyigu wakikurukia usoni utabaki unayachekelea tu?... I thought inabidi uvae hata nyenzo za kujikinga usipate madhara na hapohapo uwe umejipanga kuponda vichwa vya nyoka na mijusi na kupuliza dawa uuwe komba mwiko!! Utafungua tu kisha ukimbie? Yakifumka humo na kukimbilia chumbani mwako je?

WoS myth has it the Pandora Box is never to be opened... Fpr what is stored there is not for any man to see... but because Man is most curious with what is most sacred and not to be exposed tend to follow/seek where it is hidden... However there is a group of people who already knows where it is but protects it because they know full well that due to the evil minds of man it could destroy the world... However there are special circumstances ambazo huonesha the Pandora box has to be opened - with altimate preparations... and myth pia hutuonesha kua yule wa kwanza kufungua hio sacred box na wale walo mzunguka ni lazima wadhurike vibaya mno kama sio kifo cha hapo hapo....

Hivo basi as myth kuhusiana na pandora box inavoonesha ... no matter how prepared the opener/seeker is... lazima awe affected negatively for it seems there is always something which was not known with great effects... needing immediate attending but with lack of knowledge on how to stop the sudden thou pre-prepared pop up...

Kuhusu manyigu au ama lijoka kukurukia na ukaishia kucheka... hapo ndo inatufanya watazamaji tuje na conclusion kua aidha umechanganikiwa mpaka you don't understand your reaction.. OR that umekata tamaa unajua kabisa kua it is your end, thus decide dying huku ukicheka... Sad. Kuna mambo mengine hata uwe na nyenzo gani ni kazi bure hivo kutoa inakua tu kama umejitoa sadaka.... Maana waweza fungua kitu kama mlanogo kukimbia.. But with a Pandora box... you have to face the consequences...
 
Miongoni mwa kauli zinazonichefua kwa sasa miongoni mwa sisi watz ni hii....
Utafikiri hicho kipindi (cha Mkapa) Tz ilikuwa ni nchi ya Asali na Maziwa....
Naweza kusema kitu kimoja kuwa hata Kikwete awe amefanya madudu kiasi gani bado haiwezi kuhalalisha dhambi kuu za Mkapa.
Ombwe la uongozi hamna aliyeweza kuliziba......
Kama alivyosema "The Boss" haitakuwa ajabu kuwa watu wenye fikra hizo wakasema "bora Kikwete kuliko rais huyu..."
Hizi ni fikra zilizokandamizwa na kujeruhiwa na umasikini uliokithiri miongoni mwetu.


Nakubaliana nawee... Hili suala nimelizungumzia saana na kwa upana katika past posts of the thread... Narudia... it is an insult...
 
Ikifika mwaka 2016wapo watu watasema heri ya kikwete..&lt;br /&gt;<br />
'heri ya jana' huwa ni kauli ya maskini anapokosa chakula leo hata kama jana alishindia uji huona jana ni nafuu kuliko leo ambapo hajui atapata wapi chakula.
 
Ndugu wadau hivi kati ya rais KIKWETE na MKAPA ni nani bora zaidi ya mwenzake. Nikimaanisha kiutendaji na kwa faida ya nchi yetu . NA KAMA MAZURI NI YEPI NA MABAYA NI YEPi?
 
Bora JK bana kila siku hayupo ofisii anasafiri...sisi tunaobaki hatufanyi kazi ni kupiga-deal tu. Asiposafiri huwa ananiboa!
 
bora JK per diem ni nyingi,,,mkapa alikua anabana sana........ siku hizi hata na sie tuna vigari vyetu barabarani bana............
 
Mm sioni kama nchi hii ina rais baada ya mkapa, waliotangulia kuchangia wamechangia kwa masrahi yao binafsi. Wataz wakipewa nafasi ya kuchagua kati ya jk na bwm hakika bwm atapata kura zote .
 
Back
Top Bottom